Nyerere: Watanzania wasipoyapata mabadiliko ndani ya CCM, watayatafuta nje ya CCM

NIMEANDIKA MENGI HAKUNA KADA WA ccm AU MPENDA ccM ALIYENIJIBU HOJA ZANGU,SASA LEO NAMALIZIA KWA KUWEKA UKWELI NA ANAYEBISHA AJE HAPA KWA HOJA TUONGEE...MLIMSEMA LOWASA NI FISADI SAWA,MCHAFU SAWA NA MKASEMA MLIMKATA ASIGOMBEE,ILA THE TRUTH IS AMEAMUA KUTOKA ccm NA HAJAFUKUZWA..MMEMTAJA MPAKA HAYATI MWL NYERERE KUA ALISEMA LOWASA NI MWIZI,HAFAI NA KUTUONYESHA KWA MAVIDEO,SAWA ILA MWL MPAKA ANAKUFA HAJAWAI KUTOA NENO LA KUSEMA LOWASA ONDOKA CCM,ALICHOFANYA NI KUWAPA HAWA MKAPA AGOMBEE,AKAMKATAA KIKWETE NA LOWASA,MWL ALIWAI KUTAMKA CCM INA HAZINA YA VIJANA NAO NI MKAPA,KIKWETE NA LOWASA,MWL AKAMKATAA KIKWETE KWA HILA KWA MAANA ALIKUA NA MAPENZI NA MKAPA. MKAPA AKATAWALA KWA KUJITAHIDI,AKAJA KIKWETE AKAPITA NA KUTAWALA,HAO NI MIONGONI MWA VIJANA 2 AMBAO NYERERE ALIWASIFIA,KUMBUKA ALIMKATAA KIKWETE KABLA HAJAJA MKATAA LOWASA,NYERERE AKAJA AKASEMA KAULI MOJA AMBAYO CCM HAWATAKI KUISIKIA,ALISEMA CCM SIO BABA YAKO AU MAMA YAKO,NA WATU WANATAKA MAENDELEO WASIPOYAPATA NDANI YA CCM WATAYAPATA NJE YA CCM....LEO HUU USEMI UNA MAANA NA WALE VIJANA WATATU ALIOWAONA WANAFAA KUA VIONGOZI WAWILI WAMESHAKAA KWENYE KITI CHAKE KWA CHAMA CHAKE,MABADILIKO HAYAPO,LEO KIJANA MMOJA ALIYEBAKIA AMBAO CCM WANAHAHA KUMZUIA NDIO ANAGOMBEA URAIS NJE YA CCM,JAMAANI TUACHE KUPINGANA UKWELI,HAWA WATABIRI NA CHAGUO LA MHASISI WA HILI TAIFA NDIO WALITABIRIWA WATALETA TANZANIA MPYA,WAWILI WAMEFELI SASA NI ZAMU YA WA MWISHO.....TUKUMBUKE,WATANZANIA WANATAKA MAENDELEO,WASIPOYAPATA NADI YA CCM WATAYAPATA NJE YA CCM.....UTABIRI WA MWL UNATIMIA MSIPOTEZE KURA NA KUTOONA UKWELI...km alikua fisadi,km alikua mwizi ni ndani ya ccm,nje ya ccm ni msafi,mfumo wa ccm ulimjengea fisadi....mkapa anajua,kikwete anajua na ccm wanajua,jiulizeni kwa nn kingunge alimnadi..kwa nn ccm wanamuogopa na kwa nn watu wote wanamuongelea yeye,YESU alitabiriwa km mkombozi,ALITUKANWA SANA,ALIPIGWA SANA,ALIITWA MWIZI,ALIITWA ANAHANGAIKA NA MALAYA NA AKAFA KIFO CHA AIBU,LOWASA AMEFANYIWA HIVYO NA CCM MATESO,MATUSI NA KUULIWA KISIASA,naam wakati wa ukombozi ni sasa,watanzania ccm sio baba yetu wala mama yetu,IMETOSHA SASA.

Nasemaje (huku nimebana Pua)....TUTAMCHAGUA HIVYO HIVYO.
 
Ndio maana ninawashauri Mara kwa mara hawa viongozi vijana kwa wazee ndani ya ccm wapandapo jukwaani kuacha matusi ya moja kwa moja kwa Lowasa. Sio jambo zuri kwa mtu unayetegemea siasa kama kazi yako ya kuishi kujikuta Rais anakufahamu kabisa kuwa ulikuwa unamtukana matusi ya nguoni au kumdhalilisha hadharani.
 
ukawa wana kelele kene mitandao .wenzenu washaacha siasa za mitandaoni mnabaki wenyewe humu jitambueni aseee
 
NIMEANDIKA MENGI HAKUNA KADA WA ccm AU MPENDA ccM ALIYENIJIBU HOJA ZANGU,SASA LEO NAMALIZIA KWA KUWEKA UKWELI NA ANAYEBISHA AJE HAPA KWA HOJA TUONGEE...MLIMSEMA LOWASA NI FISADI SAWA,MCHAFU SAWA NA MKASEMA MLIMKATA ASIGOMBEE,ILA THE TRUTH IS AMEAMUA KUTOKA ccm NA HAJAFUKUZWA..MMEMTAJA MPAKA HAYATI MWL NYERERE KUA ALISEMA LOWASA NI MWIZI,HAFAI NA KUTUONYESHA KWA MAVIDEO,SAWA ILA MWL MPAKA ANAKUFA HAJAWAI KUTOA NENO LA KUSEMA LOWASA ONDOKA CCM,ALICHOFANYA NI KUWAPA HAWA MKAPA AGOMBEE,AKAMKATAA KIKWETE NA LOWASA,MWL ALIWAI KUTAMKA CCM INA HAZINA YA VIJANA NAO NI MKAPA,KIKWETE NA LOWASA,MWL AKAMKATAA KIKWETE KWA HILA KWA MAANA ALIKUA NA MAPENZI NA MKAPA. MKAPA AKATAWALA KWA KUJITAHIDI,AKAJA KIKWETE AKAPITA NA KUTAWALA,HAO NI MIONGONI MWA VIJANA 2 AMBAO NYERERE ALIWASIFIA,KUMBUKA ALIMKATAA KIKWETE KABLA HAJAJA MKATAA LOWASA,NYERERE AKAJA AKASEMA KAULI MOJA AMBAYO CCM HAWATAKI KUISIKIA,ALISEMA CCM SIO BABA YAKO AU MAMA YAKO,NA WATU WANATAKA MAENDELEO WASIPOYAPATA NDANI YA CCM WATAYAPATA NJE YA CCM....LEO HUU USEMI UNA MAANA NA WALE VIJANA WATATU ALIOWAONA WANAFAA KUA VIONGOZI WAWILI WAMESHAKAA KWENYE KITI CHAKE KWA CHAMA CHAKE,MABADILIKO HAYAPO,LEO KIJANA MMOJA ALIYEBAKIA AMBAO CCM WANAHAHA KUMZUIA NDIO ANAGOMBEA URAIS NJE YA CCM,JAMAANI TUACHE KUPINGANA UKWELI,HAWA WATABIRI NA CHAGUO LA MHASISI WA HILI TAIFA NDIO WALITABIRIWA WATALETA TANZANIA MPYA,WAWILI WAMEFELI SASA NI ZAMU YA WA MWISHO.....TUKUMBUKE,WATANZANIA WANATAKA MAENDELEO,WASIPOYAPATA NADI YA CCM WATAYAPATA NJE YA CCM.....UTABIRI WA MWL UNATIMIA MSIPOTEZE KURA NA KUTOONA UKWELI...km alikua fisadi,km alikua mwizi ni ndani ya ccm,nje ya ccm ni msafi,mfumo wa ccm ulimjengea fisadi....mkapa anajua,kikwete anajua na ccm wanajua,jiulizeni kwa nn kingunge alimnadi..kwa nn ccm wanamuogopa na kwa nn watu wote wanamuongelea yeye,YESU alitabiriwa km mkombozi,ALITUKANWA SANA,ALIPIGWA SANA,ALIITWA MWIZI,ALIITWA ANAHANGAIKA NA MALAYA NA AKAFA KIFO CHA AIBU,LOWASA AMEFANYIWA HIVYO NA CCM MATESO,MATUSI NA KUULIWA KISIASA,naam wakati wa ukombozi ni sasa,watanzania ccm sio baba yetu wala mama yetu,IMETOSHA SASA.

Wataongea naye akiwa palace ndio wataamini hakuna haja ya kuwalazimisha kudandia safina.Waaache wapotee.
 


"WATANZANIA HAWA WANATAKA MABADILIKO, WASIPOYAPATA CCM WATAYATAFUTA NJE YA CCM" JK. NYERERE....."LAZIMA CCM TUWAPE WATANZANIA MABADILIKO WAYATAKAYO ILI TUENDELEE KUONGOZA" Nnauye (mtoto wa kuli).

NIMEKUTA KWENYE WALL YA NAPE YA FB, ANAYAAMINI HAYA?
Mtu kubadilika ni sekunde hasa kama anacho kikusudia na nia yake ni thabiti.
 
Hayo maneno kweli ni ya Mwl. Nyerere bt kitendo cha kuyakuta ktk wall ya Nape nadhan kaamua kupendezesha Facebook wall yake bt kiukwel sidhani km anayaamin hayo. Nape ajivue gamba, ajibu tuhuma zake zote au akiri yasemwayo tumwamini. USHAURI WANGU: NAPE TOA HIYO QUOTE, UNAMDHALILISHA MWL. Nyerere!
Mkuu hakuna marefu yasiyo na ncha na hivyo hivyo ujue Nape ni binadamu dhaifu pia.

Anaweza akabadilika kutokana na upepo unavyo vuma ndani ya chama.
 
mnafki huyo! na ikumbukwe tayari too late to catch the train na anajua ...mwl. Nyerere aliwambia watz wakikosa uongozi bora ccm watautafta nje ya ccm na watz wengi washaanza kuutafuta nje ya ccm na kurudi nyuma hapana, sababu ni moja tu haya mabadiliko wanayosema CCM hayana lengo la kutusaidia sisi watanzania bali yana lengo la wao kuendelea kututawala na kuendeleza umangi meza wao, kulindana na kujilimbikizia mali, tumeshawastukia hatudanganyiki tena! Washatudanganya sana kwa muda mrefu
Asante sana mkuu huu ujumbe wako utawagusa wengi sana hata kwa wale walioshupaza shingo zao.
 
Alyewakaa Nyerere wakati wa uhai wake ndo wameshika Tanzania.
Awe mtu anayechukia Rushwa kutoka Moyoni mwake. Hii inawashinda wengi sana ndani ya CCM.
Ccm ilikufa na baba wa taifa letu mwl JK Nyerere.
 
Bravoooo!!!!
Nakupongeza kwa nukuu nzuri ya baba wa taifa na kuileta wakati muafaka.
Tatizo wenzetu wamesha kata fuse zote hakuna kinacho ingia wala kutoka kichwani, akili yao yote iko kusaka urais kusudi watengeneze mitandao yao ya kifisadi kama dhaifu anavyofanya. Cdm kaza kamba ukombozi wa nchi yetu uko mikononi mwenu!!!
Unampongeza nani sasa hapo mleta uzi au muongeaji wa hayo maneno?
 
CCM lazima mtambue wananchi wanataka mabadilko ambayo yameshindwa kupatikana ndani ya ccm kwa hiyo ni muda muafaka wa kuyatafuta nje ya ccm lazima mkubali ukweli nchi hii mmeifanya kama shamba la bibi kila mtu anafanya anavyotaka yeye kama maswala ya rushwa imekuwa ndo sera ya chama tawala sekta zote ni rushwa mpaka hospitali mgonjwa anaweza kufa kwa kukosa panadol kwa sababu ya madaktari kutaka rushwa kama huna basi maisha yako yanakuwa hatari.

Hakuna sekta ambayo inaendeshwa bila rushwa uozo kila mahali bado CCM mna ndoto za kuendelea kutawala tena mnapoteza muda wenu miaka 50 ya uwongo na dhuluma imeisha wananchi wameshaelimika kwa sasa wanajua pumba na mchele siyo wale wa kuwadaa ni kanga au kofia tena bado mnaendelea kuchezea pesa zetu kwenye bunge la katiba wakati uwezekano wa kupata katiba mpya hamna inatia uchungu sana

Vijana wenzetu muda wa kuogopa umeisha tujiandae kwa maandamo ya nchi nzima kupinga unajisi unaoendelea kule bungeni kwa pamoja tutafanikiwa kuwaondoa hawa wahuni wa CCM kule bungeni. UKAWA ni sumu ya kuuwa ccm na vibaraka wake wote

View attachment 185811
Wanajivunia mabavu waliyo nayo
 
Back
Top Bottom