Nyerere VS Kikwete

payuka

JF-Expert Member
Jun 17, 2010
829
127
Tafadhali fungua attachment ujionee mwenyewe tofauti kati ya J.K Nyerere na Jakaya Mrisho Kikwete
 

Attachments

  • Nyererre.doc
    393 KB · Views: 45
Kwa kweli ni kumdharirisha Mwl. Nyerere kumlinganisha/ kumtofautisha na Kikwete. These two are uncomparable! it is just like tembo na sisimizi! compare / contrast Nyerere with Nkwame Nkrumah ? Mandela not kikwete please. Even the photos show that.
 
Kila mmoja alikuwa na wakati wake.Nyakati zao ni tofauti na mazingira ya mwaka 1960 na ya 2010 ni tofauti kabisa.Hizi picha zina nia ya kumdhalilisha Kikwete tu na wala si Nyerere.
 
Kila mmoja alikuwa na wakati wake.Nyakati zao ni tofauti na mazingira ya mwaka 1960 na ya 2010 ni tofauti kabisa.Hizi picha zina nia ya kumdhalilisha Kikwete tu na wala si Nyerere.

Si kumdhalilisha...bali ni kusema hali halisi............. Kwa mfano Nyerere alishika udongo kwa mikono yake na huku akisimama/chuchumaa juu ya udongo lakini huyu JeyKey kashika udongo kupitia sepetu na kapiga magoti juu ya jamvi............... Do you think this is bacause of time............ Noooooo ndugu.............
 
Nakubaliana kabisa na Ngalikihija. JM anajali hali wakati JKN anajichanganya. Asante mkuu kwa hii post, inanikumbusha mbali sana mwaka 47 ......... Ujamaa na Kujitegemea
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom