BULOLE BUKOMBE
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 488
- 109
Zanzibar ni nchi mzee, nenda majuu, TANGANYIKA haipo wala haijulikani. Hivi pakiwepo na ugonvi kati ya yako na jirani yako juu ya mambo ya kimaisha na msuluhishi akasema kila mtu aweke katiba yake mezani ili apate mwongozo wa kupatanisha; hivi wewe isiyekuwa na katiba, jina na hata utambulisho (nembo) si utaonekana *****?. Utapatanishwa utafanywa vipi kati yako usiyekuwa nakatiba na mwenye katiba? Tanganyika isiyokuwepo na Zanzibar ni ipi chi? jibu ni rahisi -Zanzibar huru na bara siyo nchi ni Koloni la Zanzibar.
Samahani kabla sijachangia hivi CAPTAIN MAHFUDHI YUKO WAPI?