Nyerere, Tanganyika tunatukanwa na tukae kimya?

Status
Not open for further replies.
wajitenge ili wafe na njaa! ila watakula pweza

Mkuu, majuto mjukuu. hawa kwa njaa wataleta magaidi, na hapo mtu anaweza kuja hata kwa kuogelea, pia watatusumbua kwa uharamia na ujambazi wa kuja na kurudi usiku, Nyerere hakumfukuza Sultani bure, na kwanini aliwatumia wageni wawili kumtimua Sultani, Karume wa Malawi na John wa Uganda aliyeongoza mapigano akiwa na kundi kubwa na wanyamwezi na wamakonde waliopo zanzibar mpaka leo.
 
Hahahaha wewe lazma utakuwa mguu pandeeee, mguu rejeshaaa

wana JF hebu punguzeni jazba
mshasema wazanzibar mmetulea,mnatulisha,mmetukomboa ..mtoa mada anauliza JESHI LIKO WAPI, hiiiiiii yote hayo nikwa kijisiwa mlichoomba kuungana nacho 1964.ss tunasema
Wazanzibari katiba tunayo, tunachotaka nchi yetu sio katiba, zanzibar kwanza shengesha baadae
kama mnahisi mnazo nguvu za kutosha kutuzuia tusidai chetu haya azeni sisi tumalize mkimwaga mboga tunamwaga ugali tutawafanya msahau vita vya uganga ''we will give u a leason''
Yap wacjigambe kuwa zanzibar haina jeshi walokua nalo ni la tanzania sio la tanganyika
 
Sisi Watanganyika turejee misemo ya wahenga isemayo "Tenda wema uende zako, usingoje shukrani" na "Mtoto akililia wembe mpe"

Kama Wazenji wamechoka na muungano tusiwang'ang'aze tuwaache wajiite Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar.
 
Sisi Watanganyika turejee misemo ya wahenga isemayo "Tenda wema uende zako, usingoje shukrani" na "Mtoto akililia wembe mpe"

Kama Wazenji wamechoka na muungano tusiwang'ang'aze tuwaache wajiite Jamuhuri ya Watu wa Zanzibar.
Wanataka Jamhuri ya Kiislamu ya Zanzibar.
Mkuu kwa taarifa yako hao wanaodai Uhuru wa Zanzibar (Uamsho) wanadai pia kuwa pwani ya Tanganyika ni himaya yao na ushahidi wanao, iliwahi tawaliwa na Sultani, nakupa uhakika kuwa wataidai pwani ya Tanganyika Tanga mpaka Mtwara
 
Nyerere mnadhubutu kumuita Baba wa Taifa anatukanwa kuliko Mbwa na bado Serikali na Majeshi yake inatulia?

Watanganyika (Watanzania bara) wanatukanwa na kubaguliwa kuliko Mbwa na bado kimya?

Visiwa vyetu tulivyovikomboa kwa jitihada ya Mwalimu Nyerere ndio leo vinatuita koti linalobana kwa hiyo wanatuvua?

Wamenona kumbe, baada Nyerere kumtimua sultani kwa nguvu na jasho letu Watanganyika, wananchi (watumwa) walioachwa na sultani tukawalisha mpaka hivi leo wamenona wana maendeleo kuliko Bara, wana umeme wetu toka Ubungo kwa masaa 23 mpaka 24 wakati Watanganyika wengi wakihangaika, vingi wanavyonufaika kutoka kwetu (hebu wakuu jaribuni kuorodhesha wanatutapeli) wao wanaona tunawahonga au kujipendekeza wabaki ndani wakati wao ndio wana deni la kukombolewa, jamani mbona serikali kimya, jeshi kimya?

Na sisi wananchi mbona kimya? Wenzetu wangapi kule Zenji wamepigwa, wamebakwa, wamekamatwa, wamechomewa, wamefukuzwa na manyanyaso mengi tu, kwa nini kisehemu cha nchi yetu cha watu laki 6, kwa sababu laki 6 wengine wako Bara watuibie na kutunyanya watu milioni 48? Tuwape ushindi makundi ya Uamsho wa Kiislamu yanayofadhiliwa na Iran yanajifanya yanatumia dini ili kuvunja Muungano? Au tukabili hili janga lingali bichi?

DAWA NI SERIKALI MOJA TU, JAMHURI YA TANZANIA (SIO YA MUUNGANO) MUUNGANO NI MIAKA HIYO, SASA HAMNA CHA KUUNGA TENA WA KUGAWA, NCHI SIO KOTI KAMA MIDEBWEDO INAVYODAI.

VIVA JAMHURI YA TANZANIA!!!

Mimi nilidhani unamawazo ya kuikomboa Tanganyika kumbe unatuletea serikali 1, kama 2 ni hivi, hiyo 1 si itakuwa kiama chetu, TAFAKARI MKUU!!
Wazeji wachukue chao hakuna cha muungano wala muungwana tumechoka nao hawa jamaa.
 
Mimi nilidhani unamawazo ya kuikomboa Tanganyika kumbe unatuletea serikali 1, kama 2 ni hivi, hiyo 1 si itakuwa kiama chetu, TAFAKARI MKUU!!
Wazeji wachukue chao hakuna cha muungano wala muungwana tumechoka nao hawa jamaa.
Shehe wangu Mzaire,
sisi watanganyika wastaarabu tunawapendeni sana, na kama kuna mambo ya kujadili jamvi lolote unalotaka wewe, kwa nini uhasama? sie ni ndugu tayari, hivi Shekhe mkipewa uhuru mkubwa kama ule wa Hong Kong na China ni inshaallah barka neema ya mafuta ikabaki ya zanzibar si maisha bukheri? weye unasemaje?
 
Wanataka Jamhuri ya Kiislamu ya Zanzibar.
Mkuu kwa taarifa yako hao wanaodai Uhuru wa Zanzibar (Uamsho) wanadai pia kuwa pwani ya Tanganyika ni himaya yao na ushahidi wanao, iliwahi tawaliwa na Sultani, nakupa uhakika kuwa wataidai pwani ya Tanganyika Tanga mpaka Mtwara

Mkuu mtumzima haifai kuitwa muongo, lakini hapo umeongea pumba kabisaa katiba yao inasema Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake ambayo ni bahari na visiwa vidogodogo vilivyozunguka ndani ya visiwa vya Zenji na wala haijazungumza kuhusu pwani ya Tanganyika.
Mkuu kama hujui katiba yao kaa kimya usiwazungumzie mambo yao.
 
Shehe wangu Mzaire,
sisi watanganyika wastaarabu tunawapendeni sana, na kama kuna mambo ya kujadili jamvi lolote unalotaka wewe, kwa nini uhasama? sie ni ndugu tayari, hivi Shekhe mkipewa uhuru mkubwa kama ule wa Hong Kong na China ni inshaallah barka neema ya mafuta ikabaki ya zanzibar si maisha bukheri? weye unasemaje?

Mimi au wewe ndio shehe au unanitafuta ?
 
Hoja za muungano zitasuluhishwa na katiba mpya.Lazima mambo yote yawekwe wazi na au ipigwe kura ya uwepo au kutokuwepo Muungano, hata hivyo muungano lazima uwepo for whetever the cost,Misimamo ya kidini ikitua zanzibar kwa sababu ya mitandao ya Imani kali basi tija za kiusalama hata bara zitaathirika.Vyema mjadala huu ukaangaliwa upya..Wazanzibar lazima wafahamu ni kizazi cha bara na kwa namna yeyote ile lazima Muungano uendeleee..Marekebisho madogo tuu...Katika chaguzi kuu.. MGOMBEA wa Urais akitokea Bara basi Ranmate wake atokee Visiwani and vicevers...Ila Muungano lazima uwepo na hakuna Nchii iitwaya Zanzibar wala Tnanganyika bali tuna Nchi iitwayo Jamhuri a Muungano wa Tanzania.Hatuwezi kuwa watu wa mijadala ya aina hii, bali lazima tuangalie namna ya kuboresha kwa kufuta nyufa za muungali...Forget about spliting apart...Kikundi cha Uamsho ni ugaidi mtupu..they have no real stable mision and they should be surendered
 
Mkuu mtumzima haifai kuitwa muongo, lakini hapo umeongea pumba kabisaa katiba yao inasema Zanzibar ni nchi yenye mipaka yake ambayo ni bahari na visiwa vidogodogo vilivyozunguka ndani ya visiwa vya Zenji na wala haijazungumza kuhusu pwani ya Tanganyika.
Mkuu kama hujui katiba yao kaa kimya usiwazungumzie mambo yao.
Naam Mkuu wangu Mzaire,
Katiba hii iliofutilia mbali neno Tanzania ni ya mwaka juzi, aliandika Karume na Hamid Mahmoud ilikuwa Jaji wa Zanzibar ambaye sasa ulaji wake uko dar ni makamu mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi.
Hii katiba mwaka juzi wakati wa ujotoujoto wa ugomvi wa mafuta na nishati kuondolewa kwenye Muungano ndipo zanzibar ikaunda katiba na kufuta mwanzo katiba yao tangu zamani ilianza hivi ZANZIBAR NI SEHEMU YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA mwaka juzi bila kushauriana na serikali kuu serkali ya Karume ambae ndie mlezi wa vikundi vya kuvunja muungano pamoja na viongozi wake kama mafisadi ndugu zake kina Manzour Himid Yussuf ambae sote twajua ni CUF lakini yupo serikalini kwa tiketi ya CCM, na ndio waliojadili pia swala la kagawa chama ili zanzibar iwe huru toka uenyekiti wa CCM taifa, na wallahi kama Karume angebaki japo siku kumi nyengine hilo swala lilikuwa tayari, ndio wakaandika katiba inayosomeka ZANZIBAR (ETI) NI NCHI. na wakajaribu kuepuka kutaja hata kuwa kuwa iko mbele ya Tanzania.
Kumbuka hata watalii au wawekezaji hawaambiwi kuwa tuko mbele ya Tanzania japo, isipokuwa tupo bahari ya hindi si mbali na east afrika
 
Hoja za muungano zitasuluhishwa na katiba mpya.Lazima mambo yote yawekwe wazi na au ipigwe kura ya uwepo au kutokuwepo Muungano, hata hivyo muungano lazima uwepo for whetever the cost,Misimamo ya kidini ikitua zanzibar kwa sababu ya mitandao ya Imani kali basi tija za kiusalama hata bara zitaathirika.Vyema mjadala huu ukaangaliwa upya..Wazanzibar lazima wafahamu ni kizazi cha bara na kwa namna yeyote ile lazima Muungano uendeleee..Marekebisho madogo tuu...Katika chaguzi kuu.. MGOMBEA wa Urais akitokea Bara basi Ranmate wake atokee Visiwani and vicevers...Ila Muungano lazima uwepo na hakuna Nchii iitwaya Zanzibar wala Tnanganyika bali tuna Nchi iitwayo Jamhuri a Muungano wa Tanzania.Hatuwezi kuwa watu wa mijadala ya aina hii, bali lazima tuangalie namna ya kuboresha kwa kufuta nyufa za muungali...Forget about spliting apart...Kikundi cha Uamsho ni ugaidi mtupu..they have no real stable mision and they should be surendered
Na katika Baraza la wawakilishi wawepo japo 10 kutoka Mainland ili kulinda maslahi ya Taifa
 
wana JF hebu punguzeni jazba
mshasema wazanzibar mmetulea,mnatulisha,mmetukomboa ..mtoa mada anauliza JESHI LIKO WAPI, hiiiiiii yote hayo nikwa kijisiwa mlichoomba kuungana nacho 1964.ss tunasema
Wazanzibari katiba tunayo, tunachotaka nchi yetu sio katiba, zanzibar kwanza shengesha baadae
kama mnahisi mnazo nguvu za kutosha kutuzuia tusidai chetu haya azeni sisi tumalize mkimwaga mboga tunamwaga ugali tutawafanya msahau vita vya uganga ''we will give u a leason''
Yap wacjigambe kuwa zanzibar haina jeshi walokua nalo ni la tanzania sio la tanganyika
Mimi natamani mjitenge halafu ndio mtajua umuhimu wa bara ni nini lakini naingiwa na huruma kidodo, najua mnapelekwa tu na hao akina jusa wenu kwa sabubu mass kubwa ya wazanzibar hamna elimu, acheni kuwa sikiliza hao viongozi wenu wanaochochea mjitenge kwa sababu ya maslahi yao binnafsi msikubali kupandikizwa udini, dini zililetwa na wakoloni tu ,sisi ni waafrica, sisi niwamoja, taasisi za serikari zizuie hao wanaaohadaa wazanzibar ili wauone muungano haufai, naomba kuwasilisha.
 
mimi natamani mjitenge halafu ndio mtajua umuhimu wa bara ni nini lakini naingiwa na huruma kidodo, najua mnapelekwa tu na hao akina jusa wenu kwa sabubu mass kubwa ya wazanzibar hamna elimu, acheni kuwa sikiliza hao viongozi wenu wanaochochea mjitenge kwa sababu ya maslahi yao binnafsi msikubali kupandikizwa udini, dini zililetwa na wakoloni tu ,sisi ni waafrica, sisi niwamoja, taasisi za serikari zizuie hao wanaaohadaa wazanzibar ili wauone muungano haufai, naomba kuwasilisha.

hivi watanganyika milioni 40 ,wangapi wana college/ university degree ? Kwa elimu gani waliyonayo watanganyika hata nchi yenu inawashinda kuiongoza? Mali asili zimejaa lakini hawajui ni chakufanya, hivi hii ni elimu au ?
 
Unamshtakia Nyerere yupi> Nyerere ndio alioleta huu Muungano feki.

Kama Muungano unatukanwa ujuwe ni nani aliyeleta muungano huu wa kijinga!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom