only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Ji habari reeeefu halisomeki, wala sina muda wa kulisoma, kwa kifupi:
Kwanza kabisa mimi sikubaliani na hilo "baba" wa Taifa, huo ni ukatoliki na hutumika kanisani kuwaita wachungaji "baba", kumuita "papa" "baba" mtakatifu.
Hii nchi Nyerere aliikuta ina watu wa imani tofauti na ameondoka ametuwacha watu wa imani tofauti, kwanini mtubambikie vyeo vya kikatoliki na Kikristo? hamuoni kuwa huo ni "udini" wa wazi wazi?
Hakuna "baba" wa Taifa, huo ubaba alipewa na nani na kwa ridhaa ya nani? msitujaze ujinga
Niliposema kwenye thread moja kuwa huyu mwanamke ana "pepo jeshi" wengine walinibeza na kusema nina matatizo yangu...kauli kama hii,ikitoka kwa mtanzania ni kama kuwatukana watanzania...Huyu sio mtanzania ni kikundi cha Al-shabaab aliyeajiriwa na magamba kupinga mema ya watu makini kama Nyerere...kama unapinga kuwa Nyerere hakuwa kiongozi makini,haya nipe hao viongozi wako...au unataka kuwaleta viongozi wako wa BAKWATA? Huyu mwanamke anapepo wakuu...na kama tusipochukua hatua kumkabili ataleta maafa makubwa kwa mume wake na familia yake...nimepata taarifa kuwa ni mwanachama wa Al-shaabab na anampango mkubwa sana huyu..........