Smahani mkuu Njovu, wasiwasi wangu ni hapo kwenye nyekundu kwa kuwa ninajua Idd Amin alikuwa ni mwislamu mbona alimpa mwanaye jina la Moses, naomba ufafanuzi please.Nakumbuka kwamba hapa ilikuwa mjini Mwanza wakati huo Mwalimu alikuwa ziarani mkoani humo, na Idd Amin alikuja bila taarifa tena kwa ndege ya kivita aliyokuwa akiiendesha mwenyewe. Inasemekana kwenye ndege hiyo walikuwa wawili tu yeye na mwanawe kipenzi akiitwa Moses ambaye wakati huo alikuwa mtoto wa miaka kama kumi hivi. Habari hii ilipatikana kwenye redio mbao miaka hiyo na ilikuwa kabla ya vita na Uganda ingawa uhasama ulishapamba moto.
Wanaongea kama Kikwete na Joyce banda walivyoongea jana kuhusu mpaka wa Malawi huku wote Joyce na Jakaya wakicheka kwa furaha.
IVI ULIFIKIRIA NA HAWA KWANZA! . Je ni Maadui au Marafiki..?
IVI ULIFIKIRIA NA HAWA KWANZA! . Je ni Maadui au Marafiki..?