Ladslaus Modest
JF-Expert Member
- Jun 27, 2008
- 635
- 20
Wewe ni ignorant, na hujui kuwa kanisa katoliki lina taratibu zake na sio kama akili zako matope zinavyodhani. Kwa kifupi jaribu kugoogle ujifunze mchakato ukoje. USIDANDIE GARI KWA MBELE NA KUCHEKESHA WALIONUNA.
Unataka ujadili hili wewe kama nani? Inakuhusu nini?Swali lako linaonesha upeo wako wa kufikiri ulivyo FINYU. Utakatifu una mahitaji yake, na hakuhusiani na kuwafanyia chochote waTZ.
Nadhani unahitaji zaidi ELIMU kuliko maoni yetu.
Mpendwa Abdulhalim, Watu wa Mungu (Yesu) huwa hawatukani wenzao hata hawamtukani Shetani bali huwa wanamkemea katika Jina lipitalo kila Jina yaani JINA LA YESU.
Mpendwa, ingependeza kama ungemuelewesha zaidi ya kumtolea maneno makali namna hii. Watu wote wa Mungu Yesu ni Wajanja kama Nyoka na wapoke kama Hua.
kama unaijua biblia vizuri huwezi kumuambia mtu ni mtakatifu! Kuna mahala pameandikwa hivi " wote wamefanya dhambi na kupungukiwa na utukufu wa MUNGU" ndo maana tunaenda makanisani na misikitini kutubu dhambi zetu na kumuabudu MUNGU.... au yeye alikuwa haendi
Mpendwa Kimbweka, nakushauri usome biblia zaidi kuanzia kitabu cha Mwanzo hadi Ufunuo {Vitabu 39 agano la kale, Vitabu 27 Agano Jipya na ukipenda soma Vile vitabu 7 vya Deuterokanoni} Ubarikiwe.
Kulikuwa na mchakato wa kumtangaza kuwa mwenyeheri na sidhani kama ameshatangazwa kwani baada ya hilo ndiyo anaweza tangazwa mtakatifa au la.
Hivyo viongozi wakatoliki wanaweza kulitolea maelezo kuwa limefikia wapi.
Lakini pia kuna mtu ameandika kuwa biblia imeandika kila binadamu ni mdhambi! Hiyo ni kweli, lakini usafi tunaupata wapi? Maana huo usafi ndiyo unapelekea utakatifu. Hivyo watakatifu wapo na biblia imewataja vinginevyo wasingetajwa.
Nyerere alikuwa kiongozi mzuri lakini pia kuna maamuzi yake mengine hayakuwapendeza watu. Lakini JE MENGI YA MAMBO ALIYOFANYA YALIKUWA MEMA AU MABAYA? NA JE WAKATOLIKI KUTAKA KUMTANGAZA KWANI NI LAZIMA AWE? Inawezekana kwa vigezo vyao asiwe hivyo tusubiri tuone kwani wakimtangaza kweli watatoa maelezo.
HAPA JAMVINI KUWA WATU WANATUMIA LUGHA ZISIZO ZA KISTAARABU NA HII JF TUNASEMA HOME OF GREAT THINKERS SASA HAIINGIII AKILINI KUWA NA WATU WANAOBWABWAJA MATUSI BILA MPANGO. PLEASE WE HAVE TO CHANGE FOR THE BETTER.
Mpendwa Mugerezi Suala la kumtangaza Mpendwa wetu Hayati Julius K. Nyerere kuwa Mwenyeheri lipo mbioni kukamilika. Tuzidi kuomba ili Mungu aendelee kujidhirisha.