Kwa maneno yake mwenyewe mwaka 1995, Julius Nyerere alitamka kwamba anatembea na vitabu viwili yaani BIBLIA na AZIMIO LA ARUSHA.
Biblia hakuitunga hivyo ana mengi ya kujifunza kilichomo. Lakini kuna siku Pius Msekwa aliweka wazi kwamba Azimio la Arusha ni kitabu alichokiandika Julius Nyerere kwa mkono wake. Azimio likatinga mtaani mwaka 1967.
Hapa linakuja swali langu hasa kwa wana-saikolojia. Iweje kitabu ulichokitunga miaka 28 iliyopita, kikasomwa na wengi halafu usibanduke nacho mkononi, yaani kila wakati uwe unakipitia kama vile unafanya research?
Nisaidieni kuelewa?
Biblia hakuitunga hivyo ana mengi ya kujifunza kilichomo. Lakini kuna siku Pius Msekwa aliweka wazi kwamba Azimio la Arusha ni kitabu alichokiandika Julius Nyerere kwa mkono wake. Azimio likatinga mtaani mwaka 1967.
Hapa linakuja swali langu hasa kwa wana-saikolojia. Iweje kitabu ulichokitunga miaka 28 iliyopita, kikasomwa na wengi halafu usibanduke nacho mkononi, yaani kila wakati uwe unakipitia kama vile unafanya research?
Nisaidieni kuelewa?