Kwa jamaa zake wa karibu. Hakuwa na kitu hapa. Angebaki kuadhirika tu na kutunzwa na misikiti. Unamkumbuka Timothy Apiyo yule CS wa muda mrefu wa Mwalimu?Amir Jamal muadilifu? Kwa nini alipostaaf alikimbilia Canada?
Kwa jamaa zake wa karibu. Hakuwa na kitu hapa. Angebaki kuadhirika tu na kutunzwa na misikiti. Unamkumbuka Timothy Apiyo yule CS wa muda mrefu wa Mwalimu?Amir Jamal muadilifu? Kwa nini alipostaaf alikimbilia Canada?
sera za kikatili za Adolph hitler, zaingia tanzania kilaini! mtoa mada hajajifunza kwa nini german ilipoteza usafu mwamba wa dunia kwa kutumia sera za uzawa. waliwatimua wayahudi wote na wengine milion sita kuuwawa . hili liliwacost wajerumani kumpoteza mwanasayansi Alberto Aistein ambaya alikuwa myahudi aliyekimbilia marekani na kutengeneza bomu liliwapa usafu mwamba wa dunia marekani.
kero ya wahindi tanzania naijua, lakini kinachotakiwa ni katiba yetu sisi ambayo ikiwa kali hata hao waliopo kizamiaji watajikuta ni vibarua ndani ya chi ya watu weusi. siku zote raisi akiwa ana sauti kubwa kuliko katiba, nchi haiheshimiki kamwe na huisha kuibiwa mali na wageni. tiweka kifungu cha kuwa raisi lazima shitaki mara baada ya kumaliza muda wake, adhabu ya kifo kwa wala rushwa na wahujumu uchumi, matatizo ya uhamiaji na tabia yao ya kuomba rushwa itatoweka mara moja.
halafu mwamndishi kajichafua mwenyewe aliposema nyerere alikuwa na chuki na uislamu na kuupenda ukatoliki. sasa maada hii imekujaje na hili swala la uzawa?
mwisho. lazima ujue kuwa dar es salaam, haikujengwa na mkoloni bali ni mhindi. unajua hilo? sehemu zote tanznaia alipata kukaa mhindi ni bomba kijadi, ila ambazo mhindi hakukaa ni debe tupu. Ona Songea, singida, lindi na mtwara ni ziii kabisaa. Ona mbeya, mwanza , arusha, Dar na tanga. hivyo hawa wahindi nao wana faida zao kuliko hata swala lako la uzawa.
halafu ukija katika shule , agakhan kajenga sana shule tanzania . kwa kifupi sera zako za chuki na uzawa hapa si mahali pake.
uvivu wa kifikra ndo unaofanya tuwalalamikie wahindi, laiti tungekuwa na collective strategies katika kuwezeshana kama hawa wenzetu tungefika mbali sana ila sisi tumebaki kuwa selfish na ndio zao la ufisadi wa sasa katika Tanzania yetu.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake
Wewe unawaita "wahindi" na unachambua kuwa nyeree aliwabeba. kuna wengine hao unawaita wahindi kitendo cha shule zao kutaifishwa kuna watu humu wamendika unyanyasaji wa nyerere kwa "waislam" na alivyodumaza maendelo ya waislam. hapo wanatumia mifano ya shule za aghakhan. Utaawaambiaje watu hao
NHC ya sasa na kabla ya hapo kulikuwa na Msajili wa Majumba ziliundwa na nyumba alizotaifisha Mwalimu kwa WAHINDI. Nyumba hizi zingekuwa za Wachagga, Wakurya, Wanyakyusa, Wahehe,...., ingekuwaje? Kumbuka pia ni nyumba hizi walijenga kwa jitihada zao na mbaya zaidi hawakufidiwa.
Wahindi waliondoka kwenye UTUMISHI wa UMMA miaka mingi iliyopita pia. Wakabaki wanasiasa wachache akina Amir Jamal waadilifu kwelikweli kuliko wazawa wenu wengi.
Unapaswa kujua tu kuwa wahindi waliletwa na mfumo wa Ukoloni, baada ya Uhuru na pia walipaswa kuondoka kama wakoloni wengine walivyondoka. Kuhusu nyumba, hizo nyumba ni za Taifa kama vile wazungu walivyoziacha quarters za Oysterbay na Masaki, pia hizo nyumba za Upanga, kisutu, n.k zilitakiwa zibaki kama zilivyo, waafrika tungeamua hata kufuga kuku ni sawa ni mali ya watu weusi. Hizo nyumba wahindi hawakujenga kwa fedha zao ukumbuke wakati wa mkoloni ilikuwa marufuku kwa mtu mweusi kupata hata mkopo bank, niwahindi na wazungu ndio waliruhusiwa. Jaribu kutambua nafsi yako ulikotoka
Mtikira ameshafariki. Anyway am from the future.... I know this is 2011, i am from the year 2019. Magufuri is the president now....Nimekuwa muumini mkubwa wa Mwalimu Nyerere baba wa Taifa hili kwenye mambo mengi aliyofanya Tanzania wakati wa utawala wake. Kama mtanzania mweusi wa Taifa la Tanganyika naomba tu nilikili kuwa katika vitu ambavyo Mwalimu aliboronga katika utawala wake, ama kwa makusudi kabisa au kwa wivu wake ni hili kukataa kuwanyima uraia watu wa jamii ya kihindi, Pakstani na South Asians baada ya uhuru, aumuzi ambao ulikuwa ukipingwa vikali na chama cha ANC ambacho kabla ya Uhuru kilikuwa na slogan ya Africa for Africans.
Ndugu zangu kwa wale Political Scientists, Sociologists, Lawyers, Economist n.k Napenda kuwakumbusha Theories za Structural Functionalism ambazo hasa msingi wake ilikuwa ni kujenga matabaka katika jamii na kila tabaka likiwa na kazi zake za kufanya katika jamii. Utaratibu huu ulitumika sana kwenye makoloni na kwa Upande wa Tanganyika kulikuwa na matabaka matatu, ya Wazungu (Rulers), Waasia (Busnessman and assistants in white collar jobs) na weusi (vibarua). Utaratibu huu pia ulitumika kwa nchi za Uganda, na Kenya kwa ukanda wa Africa Mashariki. Kwa upande wa Zanzibar waliamua kuretain waarabu kama tabaka la kati. Kama tunavyojua nchini Rwanda na Burundi Wabeligili waliwatumia watu wa jamii wa kitutsi kama tabaka la kati ili kuweza kufanikisha mambo yao
Mwandishi Erik W. Larson katika makala yake ya mwaka 2007 yenye kichwa cha makala NATION-STATES CONFRONT THE GLOBAL: Discourses of Indigenous Rights in Fiji and Tanzania akielezea jinsi gani Tanzania na Fiji zinavyotekeza maazimio ya Umoja wa Mataifa katika tafsiri tofauti na ilivyokusudiwa na UN, anaeleza wazi mgogoro uliokuwepo Tanganyika wakati wa harakati za Uhuru , pale ambapo Wahindi na jamii nyingine ya watu wa Asia alivyokuwa ikionyesha dharau, kejeli kwa watu weusi kuwa waafrica hawazi kujitawala.
Baada ya Uhuru kulikuwa na vyama vingi, kama ANC vilivyokuwa vikishauri kuwa kazi ya kuondoa tabaka la wazungu ilikuwa ya ya kwanza sasa kilichokuwa kikifuata ni kuondoa pia tabaka la Waasia. Nyerere hakukulibali kabisa wazo lile na hapo ndipo ninapomlaani Nyerere na kuona alikuwa mpenda sifa, na madaraka wala hakuenda kukomboa tabaka la weusi wa Tanyanyika. Akijua wazi kuwa wahindi walikuwa waki-ocuppy tabaka la wafanyabiashara, akaleta policy kuwa Tanganyika ni nchi ya wakulima na wafanyakazi kwa maana nyingine badala ya serikali kuanza kujenga tabaka la wafanyabiashara weusi baada ya uhuru Nyerere alichofanya ni kuhubiri na kujenga Taifa la wakulima na wafanyanya kazi, huku akiacha jamii ya watu wa asia wajiimarisha kwenye biashara na weusi wakiwa maskini wa kutupwa. Kuna watu wengi walimpinga kwa hili, hata jaribio la mapinduzi la mwaka 1964 linaelezewa kuwa ndio sababu hasa iliyosababisha mapinduzi yale, kwani waafrika wengi walichukia kitendo kile kama kinavyoeleza kipande hiki cha Aminzade(2000) "Julius Nyerere's 1964 declaration that Africanization was dead and that Asians and Europeans would be allowed to join TANU generated intense protest, including an abortive military uprising, the repression of which temporarily put an end to the public debate over racial issues. Individuals and political parties advocating racial nationalism fell victim to laws instituting a single-party state and restricting freedom of association and assembly".
Hii hali ilikuwa tofauti kabisa kwa nchi za Uganda na Kenya. Hawa walifanya effort za wazi kabisa kuhahakisha tabaka la hawa cockroach linaondoka. Kenya waliwapa wakati mgumu sana kupata uraia na Uganda waliwatimua kabisa. Nchi hizi zemeweza kujenga tabaka la middle class weusi wa kutosha licha ya mapungu ya kikabila ambayo yapo lakini kuna weusi wengi ambao wanaweza ajiri weusi wenzao. Angalia Tanzania ya sasa kila kitu kimeshikwa na Wahindi na waarabu, sio biashara ya mafuta, viwanda, mahotel, mpaka tender za serikali. Watanzania weusi tumekuwa vibarua tu katika nchi yetu, opportunity zote mpaka ufundi mchundo sasa unachukuliwa na waasia na waarabu, weusi tunapeana sumu wenyewe kwa wenyewe, wengine wanasema tupo kama senene ndani ya chupa, hatupumui hatutoki, wale walibahatika kureplace tabaka la wazungu nao wako busy kujiweka sawa ili wabaki kwenye tabaka hilo pamoja vitukuu vyao, nao pia wanashirikiana na tabaka la watu jamii ya ki-Asia katika kufadhiri hizo wanaita kampeni ambazo wanagawa vi tshirt na kanga kwa akina mama weusi vijijini na kuwasahau mpaka baada ya miaka mitano, nchi imegeuka jina inaitwa bongo, hakuna mtu anastuka kuwa hili jina baya au zuri kwa nchi.
Watu tulilishwa sumu na Nyerereism, wala hatuoni mbele wala Nyuma mtu akitetea haki za watu weusi kama Mtikila huwa wanachekwa, (sijui huko wapi huyu mzee maskini, mzee nae kaona ale kivyake). Iddi Simba aliwahi anzisha mambo ya uzawa alienda kubanwa huko wanakoita kikao cha NEC naye kimya sasa. Lakini tutake tusitake hili swala Nyerere alifanya makosa makubwa, hata yeyé waatalamu wa mambo wanasema aligundua makosa na mpaka alifikilia Azimio la Arusha. Lakini mtu mzima hakupenda ona naye aonekane anakosea akaamua kula ganzi na ndio sasa tunaumia. Inasigitisha sana Nyerere alikuwa kinara katika mapinduzi ya Zanzibar katika kung'oa utawala wa waarabu ila hakuweza ona kama Wahindi ndani ya Tanganyika ni tatizo mpaka anaenda kaburini. Sasa aanza kuamini kuwa mwalimu wala hakuwachukia waarabu ndani Zanzibar bali aliuchukia uislam na kuona utawala wa sultani ni kitisho kwa ukatoliki katika ukanda huu.
Ukiwa Dar es Salaam kwa mwananchi wa kawaida kwa siku lazima utumie bidhaa ya jamaa mmoja anaitwa Azam, lakini ukijaribu kuuliza ni vijana wangapi wanafanya kazi kwa azam atleast wamejenga nyumba za kuishi atleast yenye standard flan, ni almost hakuna. Kitu kama kama hiki kwa nchi ambazo nimewahi ishi kwa uzoefu wangu ni lazima kungekuwa na watu middle class ambao wanafanya kazi huko kweye viwanda vya juice, unga, ice cream. Ukiuliza unaambiwa wapo lakini si weusi.
Kwa kuwa weusi wa Tanganyika wamekuwa ni vibarua wa muda mrefu sasa imefikia hatua tunaogopa shirikisho la ajira la Africa Mashariki. Hili kweli kabisa kwa kuwa watu ndani ya Tanganyika tumekuwa vibarua katika nchi yetu kwa muda mrefu. Yatupasa kuvuta pumzi kabla hatujajichanya na wakenya lasivyo hata ile subordínate position tuliyonayo kwa wahindi sasa itachukuliwa kiulaini sana Wakenya pamoja na Waganda.
Ningependa kusema Nyerere alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kutuungasha watu weusi kuwa kama kabila moja lakini hakufanikiwa kuaanzisha middle class baina ya watu weusi na badala yake aliacha ngedere wale mahindi shambani huku watu weusi wanapiga jembe vijijini, aliacha wahindi watambe kwa biashara, huku ikiwa marufuku kwa watu weusi kufanya hivyo. Hakika alirithi utaratibu wa wazungu na pia inaoneysha wazi alikuwa na wivu hakupenda aonekane mtu mweusi ana hela Tanzania, tena mbaya zaidi akiwa na hela zaidi yake. Ni wazi kabisa aliona bora mhindi aonekane ana hela na anatumikisha watu weusi, hakupenda ona mwafrika anaajili mwafrika mwenzake, alipretend aonekane kuwa yeye ni Marxist huku ikijulikana wazi kuwa hakuwahi kuwa Marxist, aliweza tu kutumia Marxism katika kukandamiza mtu mweusi asimwajiri mweusi mwenzake,uku ikiwa halali kwa mhindi kuajiri mtu mweusi, wala hakuweza tambua kuwa communism iliyohusudiwa Russia na China iliwahusu watu wa race moja na wala hakutambua kuwa wahindi waliletwa na wakoloni. Mpaka sasa ametuacha vibarua ndani ya nchi yetu tukiendelea kutumikia wahindi viwandani miaka hamsini ya uhuru, ameacha wakati mgumu sana kwa marais walimfuatia maana tayari walishabanwa na sheria za kimataifa kibao.Hili swala ni kama taboo kwa Tanzania, ukiliongelea kwenye public unaonekana muasi, watawala weusi wameamua kufumba macho vibarua weusi wanapata shida na wala hakuna Chama cha Siasa kinacholizungumza kwa wazi na kuona kama ni tatizo. Debate zimediverge kwenye mambo ya udini,muungano na shirikisho la Afrika Mashariki, lakini kirusi kinachoangamiza watu weusi tangu Uhuru ndani ya Tanzania hakiongelewi. Mimi kuanzia mwaka 2012 naahidi kutumia elimu yangu katika kuandika jinsi gani TABAKA LA WAASIA "RAIA WA TANZANIA" WANAVYOIRUDISHA NYUMA TANZANIA TOKA UHURU NA KIPI KIFANYIKE ILI KUNUSURU RAIA WEUSI.
Ndugu zangu mabadiliko yanaanzia kwako, usione uko upo kwenye kiti cha kuzunguka na kiyoyozi au uko kwenye gari umefunga vioo unawaona watanzania wako nje ya mageti ya viwanda vya wahindi wakisubiri kuitwa ndani kama itakuwa bahati yao kwa siku hiyo, ukafikiri wewe umesalimika. Usione Zimbabwe mpaka leo wanasumbuka kuling'oa tabaka la settlers ndani ya nchi yako wewe wajiona uko salama. Tena afadhari ya Zimbabwe kwani mpaka hii makala inaandikwa tayari kuna malalamiko kuwa watu wa jamii ya Asia wanazidi kuingia Tanzania kwa kutumia procedure dhaifu za Uhamiaji. Hao watu wanaingia wala hawaonekani wanayoondoka, ikiwa na maana wapo na wanazidi kujazana. Tabaka hili halina mpango wowote kwa maendeleo ya Tanzania bali kuvuna chochote watakachoona mbele yao wakitumia njia nyeupe ambayo Nyerere aliwatangenezea tangu Uhuru
Hatuna tabaka la watetezi wa waafrika hapa Tanzania. Hata akina zitto hawa ni kelele tu wanapiga....Wasomi kama Shivji pamoja na kuandika vitabu vingi na maaruku kama Class Struggle in Tanzania, hajawahi andika kuhusu race struggle in Tanzania na jinsi gani mfumo uliopo unavyowabeba wahindi kwa kuwa na yeye ni Mhindi. Waafrika amkeni tusilishwe pumba tu muda wote,
Mzee! Uzi Wa Miaka Nane Iliyopita, We Unatambaa Nao Leo, Huna hata WasiwasiHatuna tabaka la watetezi wa waafrika hapa Tanzania. Hata akina zitto hawa ni kelele tu wanapiga....
Hua inaniuma sana kila siku jioni nikipita pale mtaa wa kisutu kwenda kupanda gari posta kuelekea nyumbani Tandika kwa walalahoi. Jamaa wanafaidi nchi balaa. Na kinachosikitisha zaidi, licha ya kupata faida kubwa hawana mpango na maendeleo ya Tz wanaenda kujenga na kuendeleza nchi yao hapa ni pa kuchumia tu.
niliwahi kusikia story kua wahindi wageni hua wanakuja nchini na kufadhiliwa chakula na malazi pamoja na pesa kwa muda flani. Muhindi mgeni atafungua akaunti benki halafu kila siku asb atapeleka pesa na kuitoa mchana kwa muda wa miezi 6 au zaidi. Baada ya hapo, akiwa tayari ameshapewa jengo la biashara ataenda benki na kuomba mkopo kwa kigezo cha kua na ofisi na biashara inayomwezesha kuingiza na kutoa pesa benki kwa kiasi kikubwa kila siku. Then atapewa mkopo wa kufa mtu!
kuna muhindi mmoja alikua anatudharau wa Tz kua alipokuja wakati bado mgeni alianza kuvaa mashati ya kijani na suruali nyeusi. Uhamiaji na police hawakumgusa kuhusu kibali
#wewe nenda India uone utakavyopokelewa.
Ukitaka kujua wanavyofaidi, nenda South Beach au sehemu nyingine nzuri ya kula raha uone utofauti au tembelea mtaa wa kisutu saa 1 usiku
wahindi ndio sumu ktk nchi hii
Unapaswa kujua tu kuwa wahindi waliletwa na mfumo wa Ukoloni, baada ya Uhuru na pia walipaswa kuondoka kama wakoloni wengine walivyondoka. Kuhusu nyumba, hizo nyumba ni za Taifa kama vile wazungu walivyoziacha quarters za Oysterbay na Masaki, pia hizo nyumba za Upanga, kisutu, n.k zilitakiwa zibaki kama zilivyo, waafrika tungeamua hata kufuga kuku ni sawa ni mali ya watu weusi. Hizo nyumba wahindi hawakujenga kwa fedha zao ukumbuke wakati wa mkoloni ilikuwa marufuku kwa mtu mweusi kupata hata mkopo bank, niwahindi na wazungu ndio waliruhusiwa. Jaribu kutambua nafsi yako ulikotoka