Nyerere hakuwahi kupata tunzo ya Nobel

Naongea nilichokishuhudia na sio kukisikia au kukisoma. Nilikuwepo, jee wewe ulikuwepo?


I have realized that you can't be changed by TRUTH even when the facts negate what you think you you know!

So stick to what you THINK is the truth to you pal!
 
haijalishi kama nampenda au simpendi Nyerere. I am actually neutral kwenye ishu ya Nyerere. Hizo contribution za Nyerere unazosema katika bara la Africa si uziandike hapa tusome. Mbona unazitaja juu juu tu? weka data kama unazo. Au utadai pia na hizo 'west' walichakachua?
Aliyekuwa mwiba wa siasi za kibepari ni nani zaidi kati ya hawa wawili Che Guevera au Nyerere? Now how would you compare the two katika u-mwiba wao?
Ivi siasi ya kupora wananchi mali zao ni haki? Nyerere alizuia maendeleo sana katika hii nchi. Ivi kweli tunasahau watu kupanga foleni kwa ajili ya sabuni? Sabuni yenyewe ni ile ya mche!! Ukitoka Kenya mpakani unapekuliwa kama nini, na usikutwe na sabuni au toilet paper. Ivi kweli mtu mwenye sera za kijinga ivyo utaweza kumwelewa? He simply had pathetic economical policies.
Further, wewe hata siku moja usijaribu kujifananisha na Kenya. Kenya wametuacha mbali mno kiuchumi na kielimu. Na walitupiga gap kubwa kutokana na hizo sera za Nyerere. Ivi unaweza kunitajia wasomi wakubwa watano Tanzania ambao ni product ya system ya Nyerere.People who have actually done something in Tanzania? Actually nipe mmoja tu...Born and Bread in Tanzania. Kikwete is a classical example of Nyerere's products katika sera yake ya elimu. Ona jinsi alivyo hovyo.
Na kutokana na ujinga mwingi uliokithiri Tanzania, ambao umejengwa na sera za Nyerere hakuna mtu anayeweza kuona haja ya mabadiliko. Akili zimepumbazwa na proganda kibao kama 'zidumu sera za mwenyekiti', nk.
Sijasema kuwa tuzo haina upendeleo. Lakini nasema Nyerere did not deserve it!!


I could give you the right and very satisfying answers to these questions/issues. But I have a feeling that your perception can't be changed.

You see sometimes, people decide to stick even to false conclusions created out of false speculations, the false conclusions that they think is the truth. To such people, the refusal to accept the truth can be very strong even when the facts are so obvious.

So for now, you can just stick to what you think is the truth.
 
I have realized that you can't be changed by TRUTH even when the facts negate what you think you you know!

So stick to what you THINK is the truth to you pal!

Hujajibu swali, Jee wewe ulikuwepo wakati wa nyerere?
 
kumbukumbu zangu zinanituma kuamini hivyo. Katika afrika ni wachache wamewahi kupata tuzo hii yenye hadhi nadhani kushinda zote. Kapata mandela, tutu, wathari, n.k. Nyerere hakuwa na mchango unaostahili hii tunzo? Tunahitaji kufahamu hili toka kwa wajuvi

nyerere ulijulikana kama dikteta fulani duniani kote...hata hapa Tanzania wengi walimfahamu hivyo. Hakua malaika wala mtakatifu (saint) kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini...he deserves no nobel prize,that is the fact...
 
Albert_Lutuli_%28458603639%29.jpg

Albert John Lutuli (commonly spelled Luthuli;[1] c. 1898 – 21 July 1967), also known by his Zulu name Mvumbi, was a South African teacher and politician. Lutuli was elected president of the African National Congress (ANC), at the time an umbrella organisation that led opposition to the white minority government in South Africa. He was awarded the 1960 Nobel Peace Prize for his role in the non-violent struggle against apartheid. He was the first African, and the first person from outside Europe and the Americas, to be awarded the Nobel Peace Prize.





225px-Anwar_Sadat_cropped.jpg


Muhammad Anwar Al Sadat (Arabic: محمد أنور السادات‎ Muḥammad Anwar as-Sādāt, Egyptian Arabic pronunciation: [mæˈħæmmæd ˈʔɑnwɑɾˤ essæˈdæːt]; 25 December 1918 – 6 October 1981) was the third President of Egypt, serving from 15 October 1970 until his assassination by fundamentalist army officers on 6 October 1981. He was a senior member of the Free Officers group that overthrew the Muhammad Ali Dynasty in the Egyptian Revolution of 1952, and a close confidant of President Gamal Abdel Nasser, whom he succeeded as President in 1970.
In his eleven years as president he changed Egypt's direction, departing from some of the economic and political principles of Nasserism by re-instituting the multi-party system and launching the Infitah.
He led the Yom Kippur War of 1973 against Israel, making him a hero in Egypt and, for a time, throughout the Arab World. Afterwards he engaged in negotiations with Israel, culminating in the Egypt-Israel Peace Treaty. This won him the Nobel Peace Prize but also made him unpopular among some Arabs, resulting in a temporary suspension of Egypt's membership in the Arab League,[1][2][3][4] and eventually his assassination.




400px-Archbishop-Tutu-medium.jpg


The Most Rev. Dr. Desmond Mpilo Tutu (born 7 October 1931) is a South African activist and Christian cleric who rose to worldwide fame during the 1980s as an opponent of apartheid. He was the first black South African Anglican Archbishop of Cape Town, South Africa, and primate of the Church of the Province of Southern Africa (now the Anglican Church of Southern Africa). Archbishop Tutu has been active in the defense of human rights and uses his high profile to campaign for the oppressed. He has campaigned to fight AIDS, tuberculosis, homophobia, transphobia, poverty and racism. Tutu received the Nobel Peace Prize in 1984, the Albert Schweitzer Prize for Humanitarianism in 1986, the Gandhi Peace Prize in 2005,[1] and the Presidential Medal of Freedom in 2009. Tutu has also compiled several books of his speeches and sayings.




Soyinka%2C_Wole_%281934%29.jpg



Gonga hapa









245px-Nelson_Mandela-2008_%28edit%29.jpg

Nelson Rolihlahla Mandela (Xhosa pronunciation: [xoˈliːɬaɬa manˈdeːla]; born 18 July 1918)[1] served as President of South Africa from 1994 to 1999, and was the first South African president to be elected in a fully representative democratic election. Before his presidency, Mandela was an anti-apartheid activist, and the leader of Umkhonto we Sizwe, the armed wing of the African National Congress (ANC). In 1962 he was arrested and convicted of sabotage and other charges, and sentenced to life in prison. Mandela served 27 years in prison, spending many of these years on Robben Island. Following his release from prison on 11 February 1990, Mandela led his party in the negotiations that led to multi-racial democracy in 1994. As president from 1994 to 1999, he frequently gave priority to reconciliation.
In South Africa, Mandela is often known as Madiba, his Xhosa clan name; or as tata (Xhosa: father).[2] Mandela has received more than 250 awards over four decades, including the 1993 Nobel Peace Prize.




450px-Kofi_Annan.jpg

Kofi Atta Annan (/kəʊfɪ ɑˈnɑn/;born 8 April 1938) is a Ghanaian diplomat who served as the seventh Secretary-General of the United Nations from 1 January 1997 to 31 December 2006. Annan and the United Nations were the co-recipients of the 2001 Nobel Peace Prize for his founding the Global AIDS and Health Fund to support developing countries in their struggle to care for their people


Wangari_Maathai_portrait_by_Martin_Rowe.jpg

Wangari Muta Maathai (born April 1, 1940 in Ihithe village, Tetu division, Nyeri District of Kenya) is a Kenyan environmental and political activist. She was educated in the United States at Mount St. Scholastica and the University of Pittsburgh, as well as the University of Nairobi in Kenya. In the 1970s, Maathai founded the Green Belt Movement, an environmental non-governmental organization focused on the planting of trees, environmental conservation, and women's rights. In 1984, she was awarded the Right Livelihood Award, and in 2004, she became the first African woman to receive the Nobel Peace Prize for "her contribution to sustainable development, democracy and peace." Maathai was an elected member of Parliament and served as Assistant Minister for Environment and Natural Resources in the government of President Mwai Kibaki between January 2003 and November 2005.




and



Nyerere_Julius.jpg



Gonga hapa


Why not Mwalimu too?

he deserves nothing....he was a dictator ...that's the fact.
 
Lakini wakuu kwani zaidi ya propaganda zinazofanywa humu ndani ya nchi na baadhi ya watu kumtukuza kwa malengo maalumu amefanya nini cha maana. Maana hata kule kwetu mikoa ya kusini Mwalimu Nyerere hakubaliki kabisa maana alibomoa uchumi wa kusini na pia kusababisha umasikini wa hali ya juu mafanikio makubwa yaliyokuwa yamefikiwa kabla ya uhuru aliyaporomosha kupitia nadharia zake za Vijiji vya ujamaa, Azimio la Arusha, mara sijuwi Ulanguzi. Kwa kweli simkubali kabisa Huyu Marehemu JK Nyerere na nikisikia kiongozi yeyote wa chama chochote kile cha siasa au taasisi yoyote ile akitaja maneno yake tu basi najua ni mbabaishaji.

Kimataifa sifa aliyonayo nadhani ni ya ubishi na kupenda kupigana hii niliisikia huko nchi za asia niliambiwa baada ya kueleza kuwa natokea Tanzania.

Kwa kweli kipengere cha kumpatia hiyo Nobel hakipo maana hakuna WaTz huko kwenye Jopo la majaji.
Unabwabwaja kiswahili hapa sababu ya nyerere kuondoa ukanda la sivyo ungeandika kimakonde. Haya, mkapa kafanya nini kuondoa umasikini kusini?
 
Just goes to show you how worthless these awards are. Yule nut Waathari ilikuwa wakati wa mambo ya gender balance pamoja na environmentalism, wakatafuta Mwanamke muafrika (disgraceful conspiracy theorist), we unaenda kumpa zawadi De Klerk? baada ya ubaguzi wote? Na Mandela kuikubali zawadi kawa sellout. Mwenzake Le Duc Tho wa Vietnam ya Kaskazini enzi hizo alipewa tuzo ya amani ya Nobel pamoja na Dr. Henry Kissinger, mchizi akaikataa kwa kuona ni uzushi tu.

Obama kapewa tuzo kabla hata ya kufanya chochote substantial.

Tuzo yenyewe politics tupu, bora hata alivyokosa kaenda kujiunga na kina Gandhi huko.

"To be Noble" si lazima uwe na mlolongo wa mambo uliyoyafanya, moja tu linatosha kukufanya uwe "noble" na upate tuzo hiyo. Nyerere hana hata hilo moja na wala hawajakosea:

Obama: Kuukwaa uRais tu wa Merekani kumetosha kumpatia hiyo tuzo.

Mandela: Kusamehe

De Klerk: Kumwachia Mandela

Kissinger: Kusaidia kuondowa "cold war" na mihangaiko ya kuwatafutia amani wayahudi.

And so on and so forth.

Nyerere: Nil

Angojee utakatifu kwa kusaidia mfumo kiristo Tanzania, hana zaidi.
 
"To be Noble" si lazima uwe na mlolongo wa mambo uliyoyafanya, moja tu linatosha kukufanya uwe "noble" na upate tuzo hiyo. Nyerere hana hata hilo moja na wala hawajakosea:

Obama: Kuukwaa uRais tu wa Merekani kumetosha kumpatia hiyo tuzo.

Mandela: Kusamehe

De Klerk: Kumwachia Mandela

Kissinger: Kusaidia kuondowa "cold war" na mihangaiko ya kuwatafutia amani wayahudi.

And so on and so forth.

Nyerere: Nil

Angojee utakatifu kwa kusaidia mfumo kiristo Tanzania, hana zaidi.

Majishindo, sijui una matatizo gani ndugu yangu. Nimebahatika kutembelea nchi nyingi duniani na pamoja na Mwalimu kuachia madaraka miaka zaidi ya 25 iliyopita, jina la Kiongozi anayefahamika kutoka nchi ya Kilimanjaro na Serengeti, ni Mwalimu Nyerere peke yake. Pamoja na Kikwete kuitembelea Marekani hadi wakamchoka, hakuna mmarekani anayemfahamu kama Raisi wa Tanzania labda asome kitabuni.

Juzi nimekuwa na bahati ya kukutana na mcheza sinema maarufu wa Marekani anayeitwa Dan Glover. Aliniuliza mimi ni raia wa wapi na nilipomtajia tu Tanzania akanitamkia maneno sita, ooh the land of my hero ! Nilimshangaa nikamuuliza huyo hero wake ni nani na bila hata kusita akasema Mwalimu Nyerere. Anasema Nyerere ali inspire weusi wengi alivyopambana na ubeberu nyakati hizo. Dan Glover hivi sasa ana umri wa miaka 65 na alizaliwa mwaka 1946.
 
kwa hawa wadau wanaompinga Nyerere wanaweza kutuambia iweje viongozi wote nchini hufanya nukuu zao toka kwa Mwalimu pindi wanapohutubia ama kutafuta kukubalika?
 
kwa hawa wadau wanaompinga Nyerere wanaweza kutuambia iweje viongozi wote nchini hufanya nukuu zao toka kwa Mwalimu pindi wanapohutubia ama kutafuta kukubalika?

Mimi simpingi Nyerere, napinga au kuunga mkono issues. Na sipo katika hili la hero worship ya kumfanya binadamu kuwa demi god. Mwalimu Nyerere mwenyewe kama intellectual angeelewa na kufurahia watu wa aina yangu.

Kwani kufanya nukuu kuna maana gani wakati hamna kinachofanyika? Nukuu zina prove nini? Mbona white supremacists mpaka kesho wanam-quote Hitler, ina maana Hitler ni valid hivyo?

Let's give credit where it's due. Nyerere ana mengi tu ya kusifika, lakini huu uzembe wa kuchukua tradition ya kumuenzi first president na kuifanya kuwa merit kunampunguzia umuhimu. Na wengine tunaweza kukuambia viongozi wote wa kisiasa wa Tanzania hawana imagination ya kuwa Nyerere wengine, ndiyo maana wanaishia kuwa stuck on Nyerere. Hili halionyeshi kwamba Nyerere alikuwa giant, bali labda viongozi wetu wa sasa ndio midgets.

Nyerere's achievements will never be heightened or diminished by an arranged award.
 
"To be Noble" si lazima uwe na mlolongo wa mambo uliyoyafanya, moja tu linatosha kukufanya uwe "noble" na upate tuzo hiyo. Nyerere hana hata hilo moja na wala hawajakosea:

Obama: Kuukwaa uRais tu wa Merekani kumetosha kumpatia hiyo tuzo.

Mandela: Kusamehe

De Klerk: Kumwachia Mandela

Kissinger: Kusaidia kuondowa "cold war" na mihangaiko ya kuwatafutia amani wayahudi.

And so on and so forth.

Nyerere: Nil

Angojee utakatifu kwa kusaidia mfumo kiristo Tanzania, hana zaidi.

From my understand the Noble is not an award for nobility. Au una confuse Noble na Nobel mkuu?
 
Mwalimu hakutunukiwa hiyo nishani ya Nobel kwasababu ya msimamo wake thabiti juu ya ukombozi wa bara la Africa; wazungu hawakupenda sana misimamo yake hasa aliposimama kidete dhidi ya Ian Smith alipojitangazia Uhuru kule Zimbabwe, kwa kumsaidia sana kwa hali na mali Mugabe na ZANU yake; pia msimamo wake dhidi ya makaburu wa Afrika Kusini na sera zao za ubaguzi zilimfanya MWALIMU atumie muda wake mwingi kuwasaidia wakina Oliver Tambo wakati huo na chama chao cha ANC. Harakati zote hizi za kumkomboa mwafrika hazikuwapendeza wazungu{ waswede wanaotoa Nobel] kwani nyuma ya pazia walikuwa ni supporters wakubwa wa APARTHEID!!

Mkuu unaweza kutuelimisha WaSwede wali support apartheid kivipi? Una mifano ya kuonyesha hilo wazi katika level ya accusations zako?
 
kwa hawa wadau wanaompinga Nyerere wanaweza kutuambia iweje viongozi wote nchini hufanya nukuu zao toka kwa Mwalimu pindi wanapohutubia ama kutafuta kukubalika?

Bwana Raia Fulani:

Wengi wao ni wale ambao kwa HISIA zao walijaribu kuhusisha matatizo yao na Nyerere. Wanatumia hisia hizo kujijengea umoja kwa hiyo wanajilazimisha kuziamini kuwa ni ukweli. Hawawezi kukubali kuwa kuna baadhi ya mambo mazuri yaliyoletwa na Nyerere au misingi mizuri iliyowekwa na Nyerere. Wengine hawataki hata kuamini kuwa si ajabu Nyerere asingejenga misingi fulani, hata wao wasingeweza kwenda shule au hata kuandika haya wanayoandika.

Wengi wao ni wale wale ambao wanaweza kumwona Gadafi ni kiongozi bora kuliko Nyerere (Hata hawajui jinsi Nyerere alivyokataa kubadilisha mateka wa kivita wa Libya kwa misaada). Hata kwa hili hawawezi kukubali kuwa Nyerere alikuwa "noble" zaidi kuliko Gadafi.

Hata ukiwaeleza vipi, hawatakubali, kwasababu wakikubali, hisia zao walizonazo dhidi ya Nyerere zitabadilika, na zikibadilika mambo yao mengi yatabadilika kuhusu umoja wao.

Lakini cha muhimu ni kuwa umoja hauwezi kujengwa kwenye hisia za uongo. Umoja wa namna hiyo utadumu kwa muda mfupi tu. Umoja wa kudumu hujengwa kwenye ukweli na sio "twisted facts". Nyerere was a human being. Kama viongozi wengine, alifanya mazuri na mabaya. Wao wanasema alifanya mabaya tu.

Important Note:
Regardless of how people like to stick to lies for whatever short run benefits, In long run it is the TRUTH that PREVAILS
.
 
Mimi ni kati ya watu ambao siyo mshabiki sana wa Nyerere. Nilianza shule wakti Tanzania ndiyo mwanzo imepata uhuru. Maisha ya Tanganyika/Tanzania kwa kweli yalikuwa duni sana. Wakati Tanganyika tunapata uhuru hali yetu ya kiuchumi haikuwa tofauti sana na ile nchi za South East Asia – Malaysia, Singapaore, Thailand, etc. Leo tumeachwa mbali sana.
Nyerere alikuwa na tatizo kubwa na kudhani kuwa wengine hawajui kitu. Kila kitu anajua yeye na ukimbishia basi wewe ni adui yake wa maisha. Hawezi kukusamehe kabisa. Hakuwa mtu anayependa kuonea watu lakini alipenda sana kulipiza kisasi. Mifano ipo mingi. Akina Tuntemeke Sanga ambaye aliambiwa asitembee nje ya wilaya ya Njombe, Oscar Kambona alimpa baba yake (an Anglican Pastor) gari la Landrover. Oscar alipokimbilia UK yule mzee aliambiwa lile gari lisitembee hata nchi moja. Liliozea lilopoegeshwa.
Katika Africa yeye alijipatia sifa nyingi katika kuongoza vita za kulikomboa bara hili. Wazungu wengi hawakupenda siasa yake ya ujamaa wakidhani kuwa itaenea bara zima. Lakini katika Afrika Nyerere vilevile aliwahi kufanya vitendo ambavyo alikuja kuvijutia baadaye kama kuunga mkono kwa kujitenga jimbo la Biafra kule Nigeria. Tulipeleka pesa nyingi na inawezekana hata ushauri wa kivita.
Mafanikio ya Nyerere kwenye uchumi wa Tanzania ni sifuri, au tuseme “negative”. Watanzania tulipata shida sana asana. Kwa wale ambao hawakuwepo wakati huo wasiombee maisha kama yale yawafike. Ilifika wakati ilibidi sukari, sabuni ya mbuni, mchele, unga wa mhogo(makopa), betri, viberiti,n.k vyote vilipatikana kwa mjumbe wa nyumba kumi. Kuwa nyumba kumi wakati huo ulikuwa umeukata. Wakati Nyerere anaachia ngazi pale Benki kuu walikuwa na dola laki tano tu. Walishindwa kununua mafuta na nchi nzima magari yalisimama. Wakati huo magari hayakuwa mengi kwani watu hawakuwa wanruhusiwa kuwa na magari na wale waliokuwa nayo walikuwa hawaruhusiwi kuendesha Jumapili kuanzia saa nane mchana.
Kuhusu “villagilisation” Nyerere hawezi kukwepa lawama. Tamaa ya Nyerere ilikuwa ni kuweka watu pamoja na kudhani watabadilika kuwa wajamaa. Kwa vile alizungukwa na wapamabe tu kama akina Kawawa, Songambele, etc. basi walifanya chochote kumfurahisha. Nakumbuka kijijini kwangu kuna mzee wa zaidi wa miaka 60 alihamishiwa umbali wa chini ya kilomita moja kutoka kwenye nyumba yake wakati nyumba zake zote alikuwa ameezeka bati na ikabidi ajenge vibanda vya miti na kueezeka majani. Nyumba zake za zamani walichoma moto kwa vile alikuwa hataki kuhama. Alikufa katika hali ya umasikini sana. Kule Tabora kuna watu wanaitwa Mgaya kumkumbuka mkuu wa mkoa wa wakati huo Philemon Mgaya ambaye alikuwa kinara wa kuchoma nyumba zao moto na wengi waliliwa na samba.
Kuna mtu anazungumzia kuwa wakati wa Nyerere hakuna ” intelletuals” waliosomeshwa. Hiyo siyo kweli. Nitataja mmoja ambaye ndiye mtu mweusi wa kwanza kupendekezwa kupewa tuzo la Nobel kwenye Science, Dr. Hezekeiah Kamuzora ambaye alikuwa anafanya kazi kama Biochemist pale Muhimbili. Hata hivyo kielime Tanzania tulididimia sana wakati wenzetu walikuwa wanendelea. Mpaka miaka ya 80 Nyerere alikuwa hataki Watanzania wengi waingie kwenye elimu ya sekondari wakati majirani zetu walikuwa wanapanua elimu ya vyuo vikuu. Kwa mfano, alipinga sana mikakati ya kujenga shule za sekondari za tarafa kule wilayani Njombe ambazo zilijulikana kama NDDT akisema kuwa badala yake wajenge “vocational colleges”
 
Majishindo, sijui una matatizo gani ndugu yangu. Nimebahatika kutembelea nchi nyingi duniani na pamoja na Mwalimu kuachia madaraka miaka zaidi ya 25 iliyopita, jina la Kiongozi anayefahamika kutoka nchi ya Kilimanjaro na Serengeti, ni Mwalimu Nyerere peke yake. Pamoja na Kikwete kuitembelea Marekani hadi wakamchoka, hakuna mmarekani anayemfahamu kama Raisi wa Tanzania labda asome kitabuni.

Juzi nimekuwa na bahati ya kukutana na mcheza sinema maarufu wa Marekani anayeitwa Dan Glover. Aliniuliza mimi ni raia wa wapi na nilipomtajia tu Tanzania akanitamkia maneno sita, ooh the land of my hero ! Nilimshangaa nikamuuliza huyo hero wake ni nani na bila hata kusita akasema Mwalimu Nyerere. Anasema Nyerere ali inspire weusi wengi alivyopambana na ubeberu nyakati hizo. Dan Glover hivi sasa ana umri wa miaka 65 na alizaliwa mwaka 1946.

Kujulikana na kuwa "hero" kwa baadhi ya watu hakukufanyi kuwa noble. Hata hitler ni nani asiyemjuwa na hayupo toka lini? Na wengi mpaka leo ni hero wao na wanatumia mpaka "symbol" yake ya swastika.

Hayo uliyosema hayamfanyi nyerere kufuzu tuzo yoyote ile. Alikuwa ni dikteta aliesababisha vifo vya wengi tu na kuitia nchi kwenye kila tatizo ulijuwalo na usilolijuwa. Simkubali hata kidogo na hana sifa zaidi ya kulitumikia kanisa katoliki na ndio linataka kumpa utakatifu. Kwa jema lipi zaidi?
 
From my understand the Noble is not an award for nobility. Au una confuse Noble na Nobel mkuu?

No confusion, its the same Noble or Nobel, its only a matter of language and where you are. Noble forms the name of the award and it is not an award for nobility but if you are not noble you can't win the award. Nyerere was not.
 
Kujulikana na kuwa "hero" wa baadhi ya watu hakukufanyi kuwa noble. Hata hitler ni nani asiyemjuwa na hayupo toka lini? Na wengi mpka leo ni hero wao na wanatumia mpaka "symbol" yake ya swastika.

Hayo uliyosema hayamfanyi nyerere kufuzu tuzo yoyote ile. Alikuwa ni dikteta aliesababisha vifo vya wengi tu na kuitia nchi kwenye kila tatizo ulijuwalo na usilolijuwa. Simkubali hata kidogo na hana sifa zaidi ya kulitumikia kanisa katoliki na ndio linataka kumpa utakatifu. Kwa jema lipi zaidi?

Sasa unataka kuaribu, hapo kwenye nyekundu inahusiana nini na tuzo la kimataifa stick to the relevant please. Hizo chuki zako za kidini embu tuliza kiasi we kila saa fujo tu daah.

 
From my understand the Noble is not an award for nobility. Au una confuse Noble na Nobel mkuu?

Yes, he does.

No confusion, its the same Noble or Nobel, its only a matter of language and where you are. Noble forms the name of the award and it is not an award for nobility but if you are not noble you can't win the award. Nyerere was not.

Have you ever heard of this name, Alfred Bernhard Nobel?
 
Back
Top Bottom