Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,754
Kumbukumbu zangu zinanituma kuamini hivyo. Katika Afrika ni wachache wamewahi kupata tuzo hii yenye hadhi nadhani kushinda zote. Kapata Mandela, Tutu, Wathari, n.k. Nyerere hakuwa na mchango unaostahili hii tunzo? Tunahitaji kufahamu hili toka kwa wajuvi