Nyerere fit to be a saint - Museveni

Mazee ni vizuri kuelewa kwanza unacho-respond. Nachelea
kuwa unayo tayari conclusion yako na kudhani inaaply kufit maelezo yangu. Just ushauri tu mazee..

Mazee sipo kwenye hiyo panel ya kuchagua watakatifu na wala sijasema popote kuwa nasapoti wanachofanya. Msimamo wangu upo wazi toka mwanzo kama ulisoma na kuelewa trend ya thread. Nachelea kurejea nilichokwisha kukisema. Take your time kuelewa wengine wanachoongea mazee..its free but priceless.

Why do you think that I didn't take my time: kuelewa wengine wanachoongea ?
 
mazee ustaarabu hauuzwi dukani. Unaharibu mjadala kwa kutuletea maelezo mareeeefu yasiyohusiana na mada na bado unaongezea komentsi zako zenye matege.

Jaribu kutumia akili na busara kidogo.

ha ha ha! You nailed him!!! Ha ha ha!
 
Kati ya Ukristo/ Uislamu upande mmoja na kutoamini ukristo/uislamu kipi kimeazimwa kwa "mijitu mieupe"? You are just exposing your racist disposition.

Naona mada inaanza kupiga kona kuelekea "kusikojulikana".
Hivi kati ya hizo dini mbili ni ipi ndo waafrika wameazima kutoka kwa "mijitu mieupe".
 
I'm not an authority to create versions mazee.

You don't have to create a version to have a version, you don't have to be a windows programming guru to have a version of windows XP. I need to know the version you are using in order to understand better your thinking.

Sasa kama unaadvocate sheria ambazo huwezi kuzi articulate unashindwa hata ku communicate, utaweza kuniconvince ni ishi kwa "sheria ya dhahabu"?

Acha kuchekesha.
 
Naona mada inaanza kupiga kona kuelekea "kusikojulikana".
Hivi kati ya hizo dini mbili ni ipi ndo waafrika wameazima kutoka kwa "mijitu mieupe".

Umeshindwa kuona contrast si ukristo/uislam bali ni Ukristo/Uislam on one hand na kutoamini Ukristo/Uislam on the other.

Kuhusu ipi waafrika wameazima kutoka kwa "mijitu mieupe" inategemea definition yako ya "mijitu mieupe" ni nini.
 
Acha kuchekesha.

Wewe ndio unayechekesha..How can you ask me to provide my own version of Pythagoras theorem ... Hivi unaelewa maana ya version weye?

Nadhani una matatizo ya msingi kuliko nilivyofikiria hapo awali.
 
1243882645zulu.jpg

Mkapa, Lwanga, Baharagate and Magige after the prayers. Behind them are President Museveni and First Lady Janet
By Raymond Baguma

PRESIDENT Yoweri Museveni has supported the ongoing campaign in the Catholic Church to have former Tanzanian President Julius Nyerere recognised as a saint.

The campaign to bestow sainthood on Nyerere began on January 26, 2006 when the Vatican accepted a request from the Bishop of Musoma in northern Tanzania to canonise the late leader. The Vatican then granted him the title of ‘Servant of God.’

Museveni yesterday praised Nyerere for uniting the different religious groups in Tanzania and advancing Swahili as a common language to unite the ethnically diverse country. Today, Tanzania is the most peaceful country in Africa with no civil wars, Museveni observed.

He was speaking during special prayers, held at Catholic Martyrs’ shrine in Namugongo, for the beatification of the late Mwalimu.

Mass was celebrated by the Archbishop of Kampala, Cyprian Kizito Lwanga, and Bishop Emeritus Edward Baharagate. Former Tanzanian president Benjamin Mkapa was among the dignitaries present. The Nyerere family was led by the widow, Maria Gabriel Magige.

The family and many Tanzanians donned scarves with Kiswahili messages calling for Nyerere’s canonisation. They also wore uniform wrappers. The choir from Marian Faith Healing Centre in Dar-es-Salaam sang Kiswahili hymns.

After mass, Museveni narrated his first meeting with the former leader when he was still a student at Dar-es-Salaam University in 1968. “He was blessed with extraordinary wisdom and compassion for the oppressed. He loved freedom and unity for all people, and he was a fearless freedom fighter.”

He said during the 1970s, Nyerere supported freedom movements in Vietnam, Mozambique, Zimbabwe, South Africa, Angola, Namibia as well as Uganda. Museveni also pointed out that Nyerere’s role was instrumental in the restoration of peace in Burundi.

“He was like the Ugandan martyrs who stood for truth against sin; even at the expense of their lives. I join those who are praying for the canonisation of Mwalimu as a saint. He was not only a freedom fighter, he was also a man of God.”

Mkapa, who was Tanzania’s third President, praised the fact that Nyerere always remained humble. “I stayed with him from 1966 until his passing away. He was a leader of the independence struggle. He abhorred being worshiped. He knew he was human and lived like any other being.”

Prayers for Nyerere’s canonisation, organised by the widow, have been conducted at the Namugongo shrine since 2007.

Hundreds of Tanzanian, Kenyan and Rwandan pilgrims are currently in the country to commemorate Uganda Martyrs’ Day, celebrated annually on June 3.
Penye ukweli uongo hujitenga.Hawakubaliki na Kanisa TZ ila Uganda ruksa kuimba? Ninini tena hiki? Au ni personal vendetta za baadhi ya wahusika kwenye sakata la maombi?
 
Kati ya Ukristo/ Uislamu upande mmoja na kutoamini ukristo/uislamu kipi kimeazimwa kwa "mijitu mieupe"? You are just exposing your racist disposition.

Ahaa!
Sijataja hizo dini! wewe wasema. Mie kwangu kama wanadamu (hapa hasa watanzania) undugu, kuishi pamoja,kusaidiana na mambo kama hayo ndilo la msingi,...mtu yeyote anaeleta imani yake inayotaka kututenganisha undugu wetu,kuheshimiana kwetu nk kwangu mimi anastahili kuitwa jitu (tena jitu ovu)!
 
Ahaa!
Sijataja hizo dini! wewe wasema. Mie kwangu kama wanadamu (hapa hasa watanzania) undugu, kuishi pamoja,kusaidiana na mambo kama hayo ndilo la msingi,...mtu yeyote anaeleta imani yake inayotaka kututenganisha undugu wetu,kuheshimiana kwetu nk kwangu mimi anastahili kuitwa jitu (tena jitu ovu)!

Collectivism at its best! What do you think we are, some borgs?
 
Collectivism at its best! What do you think we are, some borgs?

Enheehee!! hili lilugha la wakoloni wakati mwingine linanisumbua mkuu.
Kwanini usitumie tu lugha yetu ili watu wa kada zote waliomo humu waelewe umesema nini na mie najibu nini!? tusiwabague, tafadhari Bw Bluray!
 
Enheehee!! hili lilugha la wakoloni wakati mwingine linanisumbua mkuu.
Kwanini usitumie tu lugha yetu ili watu wa kada zote waliomo humu waelewe umesema nini na mie najibu nini!? tusiwabague, tafadhari Bw Bluray!

Mazee kama una muda wa ziada, nenda kakamate laga na nyamachoma. Hapa naona hoja zimeisha vimebaki vioja.
 
As great as Nyerere was I don't think he should be called a "saint". Sidhani kama kuna mtu yoyote anastahili kupewa utakatifu na binadamu wenzie kwanu utakatifu mtu hupewa na Mungu. Mna wapa watu utakatifu kumbe Mungu mwenyewe anajua dhambi zao. Halafu one of the processes for one becoming a saint is if two people pray for you to ask God for help on your behalf then if the prayer is answered then that part of the process is complete. Do they really believe a dead ordinary man can ask God for something on your behalf? And why not Go straight to God instead of using a "middle" man?

Mkuu Mwanafalsafa,
Kuna giza totoro la ufahamu wa kiroho katika kanisa katoliki. Biblia hawaifuati wao wameamua kufanya kama waonavyo kuwa ni vyema machoni pao. Ndo maana YESU anasema;

Marko 7: 6-8
6Akawaambia (YESU), watu hawa huniheshimu kwa midomo, ila mioyo yao iko mbali nami 7Nao waniabudu bure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu, 8 Ninyi mwaiacha amri ya MUNGU, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Kuhusu kuombewa na waliokufa Bibilia inasemaje?

Mhubiri 9:5-6
5Kwa sababu waliohai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana ijara tena, maana kumbukumbu lao limesahauliwa. 6Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao imepotea yote pamoja, wala hawana sehemu tena katika jambo lolote linalofanyika chini ya jua

Nani mwombezi wetu?

Waebrania 7:25
25Naye (YESU) kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai siku zote ili awaombee

Je zaidi ya YESU kutuombea tunahitaji intermediate person called saint? The answer is no.

Waebrania 10:19-22
19Basi ndugu kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, 20 njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani mwili wake, 21na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya MUNGU 22na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya; tumeoshwa miili kwa maji safi.

MUNGU awasaidie macho yao ya rohoni yatiwe nuru wapate kuona.
 
..mwalimu angechukia sana huu upumbavu,wana muda wa kupoteza sana hawa!
 
Mkuu Mwanafalsafa,
Kuna giza totoro la ufahamu wa kiroho katika kanisa katoliki. Biblia hawaifuati wao wameamua kufanya kama waonavyo kuwa ni vyema machoni pao. Ndo maana YESU anasema;

Marko 7: 6-8
6Akawaambia (YESU), watu hawa huniheshimu kwa midomo, ila mioyo yao iko mbali nami 7Nao waniabudu bure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu, 8 Ninyi mwaiacha amri ya MUNGU, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Kuhusu kuombewa na waliokufa Bibilia inasemaje?

Mhubiri 9:5-6
5Kwa sababu waliohai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana ijara tena, maana kumbukumbu lao limesahauliwa. 6Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao imepotea yote pamoja, wala hawana sehemu tena katika jambo lolote linalofanyika chini ya jua

Nani mwombezi wetu?

Waebrania 7:25
25Naye (YESU) kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai siku zote ili awaombee

Je zaidi ya YESU kutuombea tunahitaji intermediate person called saint? The answer is no.

Waebrania 10:19-22
19Basi ndugu kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, 20 njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani mwili wake, 21na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya MUNGU 22na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya; tumeoshwa miili kwa maji safi.

MUNGU awasaidie macho yao ya rohoni yatiwe nuru wapate kuona.

Una jua mimi sielewi kabisa mtu ana pewaje utakatifu na binadamu wenzake. Mungu si ndiyo anaye jua nani mwenye haki na nani asiye na haki kutokana na maandishi? Sasa iweje binadamu wenzie waji pangie kumpa utakatifu. Una mpa utakatifu kumbe kwa Mungu siyo mtakatifu. Huku ndiyo kufanyana miungu mtu. Mi nakubaliana na wewe, kama haya ndiyo mawazo yao basi kunatatizo. utamuombaje binadamu mwenzio akuombee rehema au msamaha kwa mwenyezi Mungu? Hata hii ya kumuabudu bikira Maria sielewi kabisa. Sema haya bwana ngoja tuwaachie wenyewe, ukisema sana utaambiwa una ingilia imani za wengine.
 
Una jua mimi sielewi kabisa mtu ana pewaje utakatifu na binadamu wenzake. Mungu si ndiyo anaye jua nani mwenye haki na nani asiye na haki kutokana na maandishi? Sasa iweje binadamu wenzie waji pangie kumpa utakatifu. Una mpa utakatifu kumbe kwa Mungu siyo mtakatifu. Huku ndiyo kufanyana miungu mtu. Mi nakubaliana na wewe, kama haya ndiyo mawazo yao basi kunatatizo. utamuombaje binadamu mwenzio akuombee rehema au msamaha kwa mwenyezi Mungu? Hata hii ya kumuabudu bikira Maria sielewi kabisa. Sema haya bwana ngoja tuwaachie wenyewe, ukisema sana utaambiwa una ingilia imani za wengine.

Mazingira said:
Mkuu Mwanafalsafa,
Kuna giza totoro la ufahamu wa kiroho katika kanisa katoliki. Biblia hawaifuati wao wameamua kufanya kama waonavyo kuwa ni vyema machoni pao. Ndo maana YESU anasema;


Marko 7: 6-8
6Akawaambia (YESU), watu hawa huniheshimu kwa midomo, ila mioyo yao iko mbali nami 7Nao waniabudu bure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu, 8 Ninyi mwaiacha amri ya MUNGU, na kuyashika mapokeo ya wanadamu.

Kuhusu kuombewa na waliokufa Bibilia inasemaje?

Mhubiri 9:5-6
5Kwa sababu waliohai wanajua ya kwamba watakufa, lakini wafu hawajui neno lolote, wala hawana ijara tena, maana kumbukumbu lao limesahauliwa. 6Mapenzi yao na machukio yao, na husuda yao imepotea yote pamoja, wala hawana sehemu tena katika jambo lolote linalofanyika chini ya jua

Nani mwombezi wetu?

Waebrania 7:25
25Naye (YESU) kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; maana yu hai siku zote ili awaombee

Je zaidi ya YESU kutuombea tunahitaji intermediate person called saint? The answer is no.

Waebrania 10:19-22
19Basi ndugu kwa kuwa tuna ujasiri wa kupaingia patakatifu kwa damu ya Yesu, 20 njia ile aliyotuanzia iliyo mpya, iliyo hai, ipitayo katika pazia, yaani mwili wake, 21na kuwa na kuhani mkuu juu ya nyumba ya MUNGU 22na tukaribie wenye moyo wa kweli, kwa utimilifu wa imani, hali tumenyunyiziwa mioyo tuache dhamiri mbaya; tumeoshwa miili kwa maji safi.

MUNGU awasaidie macho yao ya rohoni yatiwe nuru wapate kuona.
__________________
Mzalendo halisi hufanya biashara zake kwa uwazi na kulipa kodi kwa usahihi
Mazee imani ya kanisa na mafundisho yake, watu huwa wanakaa chini wanafundwa na kufuhitimu. Iwe seminari au parokiani watu husoma katekisimu na mafunzo mengine.

Wewe na mwenzako hapo juu inaonesha si waumini na hamna mafunzo ya dini ya kikatoliki. Ungefanya vyema hoja zako ukaziweka in terms of maswali, badala ya in terms of conclusion kama ulivyofanya. Matokeo yake ni kuwakosea wengine adabu, kudhihiridha rigidity ya akili yako, na kuingilia imani za wengine na kujitia ujuaji wa mambo usiyoyaelewa.

Mambo kama haya ndiyo yanayoleta mafarakano ya kidini mazee.
 
Mazee imani ya kanisa na mafundisho yake, watu huwa wanakaa chini wanafundwa na kufuhitimu. Iwe seminari au parokiani watu husoma katekisimu na mafunzo mengine.

Wewe na mwenzako hapo juu inaonesha si waumini na hamna mafunzo ya dini ya kikatoliki. Ungefanya vyema hoja zako ukaziweka in terms of maswali, badala ya in terms of conclusion kama ulivyofanya. Matokeo yake ni kuwakosea wengine adabu, kudhihiridha rigidity ya akili yako, na kuingilia imani za wengine na kujitia ujuaji wa mambo usiyoyaelewa.

Mambo kama haya ndiyo yanayoleta mafarakano ya kidini mazee.

Ndiyo maana nikasema imani yao tuwaachie wenyewe kwa vile sina mamlaka ya kuihoji.
 
Back
Top Bottom