Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Mazee ni vizuri kuelewa kwanza unacho-respond. Nachelea
kuwa unayo tayari conclusion yako na kudhani inaaply kufit maelezo yangu. Just ushauri tu mazee..
Mazee sipo kwenye hiyo panel ya kuchagua watakatifu na wala sijasema popote kuwa nasapoti wanachofanya. Msimamo wangu upo wazi toka mwanzo kama ulisoma na kuelewa trend ya thread. Nachelea kurejea nilichokwisha kukisema. Take your time kuelewa wengine wanachoongea mazee..its free but priceless.
Why do you think that I didn't take my time: kuelewa wengine wanachoongea ?