Abunwasi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 5,486
- 3,468
Ninafahamu kuwa humu ndani ya jamvi kuna hazina kubwa ya watu wenye uwezo, ujuzi na uzoefu wa mengi.
Wazo langu ni kuwa kwa kuenzi siku hii kwa nini kwa wale waliokuwa wanamfahamu/ kumjua etc tukajuzana alikuwa ni mtu wa aina gani??
kama mtu wa kawaida tu, kama baba, kama mwanasiasa, kama rais wa nchi
ili vijana waweze kuelewa zaidi kwa nini tunamzungumza na kumuenzi hadi leo???
Nawasilisha.
Wazo langu ni kuwa kwa kuenzi siku hii kwa nini kwa wale waliokuwa wanamfahamu/ kumjua etc tukajuzana alikuwa ni mtu wa aina gani??
kama mtu wa kawaida tu, kama baba, kama mwanasiasa, kama rais wa nchi
ili vijana waweze kuelewa zaidi kwa nini tunamzungumza na kumuenzi hadi leo???
Nawasilisha.