Junius, kwako kupindua serikali halali ni kitu kizuri? Mapinduzi yanaendana na umwagaji wa damu. Na ndiyo aliyotaka kuyafanya Hanga. Kumbe badala ya kumpa nafasi Hanga amwage damu ya wengi tena wasio na hatia ikabidi yeye apotezwe na mzee Karume.
Hatuwezi kumlaumu Nyerere kwa yale aliyoyafanya Karume kwani kama Rais wa Zanzibar alikuwa na uwezo wa kufanya lolote kwa wale waliokuwa chini yake. Siamini kama Nyerere alijua yale yatakayompata Hanga. Pengine alifikiri atashtakiwa na akipatikana na makosa atafungwa jela. Kumbe ikawa si hivyo! Katika jambo kama hili si rahisi na si vema kumlaumu Nyerere kwa makosa/matendo ya Karume. Kufanya hivyo si kumtendea haki.
Nyerere asingeweza kujua yaliyo moyoni mwa Karume.
Hatuwezi kumlaumu Nyerere kwa yale aliyoyafanya Karume kwani kama Rais wa Zanzibar alikuwa na uwezo wa kufanya lolote kwa wale waliokuwa chini yake. Siamini kama Nyerere alijua yale yatakayompata Hanga. Pengine alifikiri atashtakiwa na akipatikana na makosa atafungwa jela. Kumbe ikawa si hivyo! Katika jambo kama hili si rahisi na si vema kumlaumu Nyerere kwa makosa/matendo ya Karume. Kufanya hivyo si kumtendea haki.
Nyerere asingeweza kujua yaliyo moyoni mwa Karume.