Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi
Episodes, kumshutumu Nyerere kuwa na uchu wa madaraka bila kufanya ulinganifu na Marais baada yake kunafanya hoja yako kuwa dhaifu.
Sasa tuambie, walokuwa baada yake na Nyerere, nani anatamaa? Nyerere hakuanda familia yake kushika madaraka baada yake. Nyerere hakuandaa familia yake kuwa mamilionea mafisadi.
JK wa sasa ameandaa royal family; mkewe na watoto wake soon watakuwa watawala (ili kumlinda?), wamekuwa wajumbe wa NEC bila kupigiwa kura! Riz ni milionea wa kutupwa, mtaji alikopa benki gani Be fair
Nathubutu kusema Nyerere hakuficha bali hakujua! Misingi ya kung'gatuka aliyoiweka, imefanya Watawala wa leo waogope kung'ang'ania madara, hizi royal families unazoona sasa ndio wenye uchu wa madaraka.mkuu udhaifu wa huyu dhaifu wetu unaonekana dhairi,hasa kitendo chake cha kuwaingiza mke na watoto kwenye nafasi za mbele za chama chake,lakini udhaifu wa mwalimu ulijificha sana kiasi kwamba ilikuwa vigumu wazee wetu kuujua,hapo unaonaje?
mkuu udhaifu wa huyu dhaifu wetu unaonekana dhairi,hasa kitendo chake cha kuwaingiza mke na watoto kwenye nafasi za mbele za chama chake,lakini udhaifu wa mwalimu ulijificha sana kiasi kwamba ilikuwa vigumu wazee wetu kuujua,hapo unaonaje?
MKUU naomba kuuliza,Kawawa alikuwa anajua kiingilishi?
Kama binadamu wote tulivyo ndivyo na Nyerere alivyokuwa,Biblia inasema wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,Nyerere alikuwa na tamaa ya madaraka kwa sababu hakuwa mkamilifu,hakuna binadam aliye mkamilifu,udhaifu wa Nyerere unaonekana dhahiri alipoachia madaraka ya kuongoza chama cha Tanu na kumkabidhi mtu aliyekuwa dhaifu wa kutupwa Kawawa
kulikuwa na watendaji wengi wenye uwezo mzuri kama wakina Kambona,Msekwa,Mwanjisi wengi tu ambao walikuwa very intelligent,Nyerere aliogopa kuwaachia mmojawapo wa hao kwa sababu alihofia watakuja kumzidi na kuchukua nafasi yake,kama binadamu naye alikosea mambo mengi hasa hili la kumpa uenyekiti wa chama mtu ambaye ni dhaifu
Nyerere alifanya kazi na watu wote hao na alijua uwezo wao,Rashidi Kawawa alikuwa hana sifa hata kidogo ila kutokana na woga wa Nyerere kumpa mwenye uwezo aliamua kumwachia
kumbe nyerere naye ni binadam na alijaa madhaifu kama binadamu sisi