KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mwalimu Julius K.Nyerere alifanya makosa makubwa sana ambayo hadi sasa yanatugharimu kuhusu swali la Muhungano!
Nasema kitu kilichokosewa ni Kuwa na Mabunge mawili ndani ya nchi moja!.
Kuruhusu kuwepo na Maraisi wawili ndani ya nchi moja!
Kuruhusu katiba mbili katika nchi moja!
Japo lengo lake lilikuwa zuri lakini akuangalia maswala ya kitaalamu ategemea kuongoza kwatumia mkono wachuma nakudhani watu ni wajinga!
Leo tunashuhudia matatizo ya Muungano yanavyoisumbua serikali ya Muungano,leo Uhamusho mara Baraza,hivi nibaadhi ya vitu vinavyovuruga muungano!Na hainajinsi yakuendelea kuabudu serikali moja wakati kuna maraisi wawili na mabunge mawili na katiba mbili!Kwa jinsi hiyo ninchi mbili serikali isipepese macho ikubali serikali tatu hakuna cha kuogopa!
Nasema kitu kilichokosewa ni Kuwa na Mabunge mawili ndani ya nchi moja!.
Kuruhusu kuwepo na Maraisi wawili ndani ya nchi moja!
Kuruhusu katiba mbili katika nchi moja!
Japo lengo lake lilikuwa zuri lakini akuangalia maswala ya kitaalamu ategemea kuongoza kwatumia mkono wachuma nakudhani watu ni wajinga!
Leo tunashuhudia matatizo ya Muungano yanavyoisumbua serikali ya Muungano,leo Uhamusho mara Baraza,hivi nibaadhi ya vitu vinavyovuruga muungano!Na hainajinsi yakuendelea kuabudu serikali moja wakati kuna maraisi wawili na mabunge mawili na katiba mbili!Kwa jinsi hiyo ninchi mbili serikali isipepese macho ikubali serikali tatu hakuna cha kuogopa!