mabadilikosasa
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 379
- 85
Ilikua vipi nyerere badala ya kufanya unguja na pemba kuwa sehemu ya Tanganyika kama mikoa na wilaya-wilaya/ mkoa wa pemba na unguja, badala yake akadanganywa na Karume eti waunde serikali za Zanzibar ndani ya serikali ya Tanzania? Je karume alikua na uchu sana wa madaraka? Kwanini kwa sasa tusitafute visiwa hivi viwe mikoa au wilaya kwa kufanya majadiliano na watu wa kisiwa cha pemba na kisiwa cha unguja tuachane na Zanzibar?