chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,758
- 2,529
People are ignorance because they don't want to ask them self why god make himself invisible-CONFUCIUS.
Nadhani, kwako wewe unaielewa , ama unaichukulia kashfa kama ni matusi yale ya kitandani. naomba nikujulishe kwamba: Bangi ni taboo (Mwiko ) pia matusi, bila kujali kama ni ya mdomoni ama ya kitandani, nayo ni taboo. sasa sielewi unachokiongea hapa. kwa mfano. spika kaingiaje kwenye mada hii?. kwa taarifa yako, kulingana na sheria za Tanzania, bangi ni zao haramu. halikubaliki.
Nadhani, kwako wewe unaielewa , ama unaichukulia kashfa kama ni matusi yale ya kitandani. naomba nikujulishe kwamba: Bangi ni taboo (Mwiko ) pia matusi, bila kujali kama ni ya mdomoni ama ya kitandani, nayo ni taboo. sasa sielewi unachokiongea hapa. kwa mfano. spika kaingiaje kwenye mada hii?. kwa taarifa yako, kulingana na sheria za Tanzania, bangi ni zao haramu. halikubaliki.
Kijana kama ni mdogo hebu uliza tusi hili alilitowa nani?" Eti Rais wa nchi anashauriwa na mkewechumbani". Jee hili na Bangi lipi ungeita kashifa? Hilo ni tusi la nguoni lililotaka kumfanya Mzee Mwinyi ajiuzulu. Sasa huyo Saint wako unahisi amekashifiwa wakati yeye mwenyewe hakuona kuwa kashifa ni kosa katika kukosowa!
Kwa hakika hii ni typing error. Tusibishane kwa ajili ya typing error. Nyerere alitaifisha shule ili Waislamu waweze kusoma. Mimi nimesoma katika shule ya Kikristu na Waislamu wengi. Waislamu wanasema zamani shule za Kikristu ndizo zilikuwa nyingi,Wakristu tu ndio waliokuwa wanasoma,Wakristu tu ndio waliokuwa wanapata ajira. Na Nyerere ndiye aliyerithi huo mfuom kutoka kwa Wakoloni,eyey ndie alikuwa kiongozi,kwa hiyo,unaweza kusema, kwa hali fulani,yeye ndie mwenye makosa.
Sheikh Kassim bin Juma alikuwa ansema,''Kila unapomuona mtu maskini Tanzania,more often than not,atakuwa ni Mwislamu,ndio maana tunasema hii nchi ina mfuom-Kristu,na hayo yote yameanza wakati wa Nyerere.......''
Mina nadhani hapo ni typing error,siyo bangi la Nyerere ila BUNGE LA NYERERE!
Unaposema Baba wa Taifa langu una maana gani zaidi ya sifa tu au heshima? Hata hivyo huyo Baba hakuwa Saint kwamba hakuwa na mabaya. Sasa tunaposema mabaya yake unasema katukanwa? Naam wewe unahisi Bangi ni majani lakini kwa wengine Bangi inaweza kuwa jambo jengine na hilo jambo pengine ndilo alilolikosea na kulaumiwa, sijui ni kashfa hiyo?
haueleweki unachoongea, unaniuliza tusi katoa nani?!!! mimi sio mtu wa masijala. mimi ni mchangiaji wa mada husika. siku nyingine nakuomba uchangie mada kwa utulivu ili uweze kueleweka, lakini sasa majibu yako hayana mpangilio. naomba uniwie radhi.
Ilikwisha semwa kuwa ELIMU YA MJINGA NI MAJUNGU, sasa uandishi wa namna hii ni MAJUNGU kwa sababu alipokuwepo hawakusema lolote, sasa keshaondoka ndo wanaanza kusema na kupiga MAJUNGU!
Ila hii haishangazi sana kwani wajinga walikuwepo toka enzi na enzi, kwani hata YESU KRISTO ambaye ni zaidi ya MTAKATIFU, walimkamata na kumuua kwa kumsulubisha. Leo iwe huyo mwandishi anayetoa kashfa baada ya kula "bangi" na kulewa amani na mshikamano aliyoiacha Nyerere!
Wewe utakuwa umelewa Chimpumu , kama sikosei
Sasa si unaona kuwa ilikuwa BANGI! Kwani kuna wakati maalum wa kutajwa mtu? Iwapo alifanya makosa na ikabainika kuwa alifanya makosa basi atatajwa .
Hivyo tunapokaa tukatowa hotuba zake tuna maana gani iwapo unahisi aliekufa hana nafasi ya kujadiliwa.
Inaonyesha kuwa hiyo Bangi ilikupata sana kiasi cha kumvuta YESU kwenye mada ya binaadamu wa kawaida kama Nyerere.
Nikushauri kijana iwapo tupo dunia iliyo huru wacha tuseme yanayotukwaza kwani hizi tofauti zetu tutaziondowa vipi bila ya kuzieleza?
Kijana mambo ya dini naomba uende huko kwenye nafasi yake naogopa kukujibu ikawa natowa kashifa jambo ambalo mimi mwenyew naliepuka.
Ilisemwa na wahenga, "Small minded people discusses about people"! Kuhusu Masihi nilikuwa nakutolea mfano kuwa hata watakatifu hawakuonekana lolote si chochote machoni pa wajinga! Hayo mengine unayowaza ni uwezo wa akili yako unavyo process information!