Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Nilijua tu na mie lazima nipate cha kuanzishia sred kufuatia kifo cha Msanii Maarufu.
Inasemekana, kuna uwezekano wa tarehe 7 April kuitwa :A S newouble K's Day.:A S new:
Hii inatokana na kwamba Kanumba na Karume walipumzika tarehe hiyo.
Na ni Public Holiday, kazi kwenu kununua nguo za siku kuu na mapilau. Ndo hivyo!:smash:
Inasemekana, kuna uwezekano wa tarehe 7 April kuitwa :A S newouble K's Day.:A S new:
Hii inatokana na kwamba Kanumba na Karume walipumzika tarehe hiyo.
Na ni Public Holiday, kazi kwenu kununua nguo za siku kuu na mapilau. Ndo hivyo!:smash: