NYARAKA: Omar Nundu ni msafi...

Wengine tumeshindwa kuifungua hiyo attached file.

hata kama Nundu ni msafi lakini uwezo wake kuisimamia wizara ni mdogo. majukumu aliyo nayo yanahitaji mc ya giga byte 2(2GBs) yeye ana 256MB hapa lazima computer ijam na yeye ameonyesha hivyo ubishi wa nini nundu kaka si ukae kimya!!!!!!!!!. nchi yetu haijapungukiwa kiasi cha kukosa watu competent wa kuchukua nafasi yake awe muungwana aache ubishi. chini ya usimamizi wake reli imekufa treni kwa mara ya I inaishiwa mafutakatikati ya mistu halafu yeye anasema hawezi kujiuzulu. hata watawa hawana dhambi lakini hawaongozi wizara. tunamshauri ajitoe kwa nia njema kabisa ya kulinda maslahi ya nchi hii
 
Kaaz kwel!

Baada ya awamu hii tutarudi hapa kulinganisha "wingi wa madudu" kati ya awamu hii na iliyotangulia!

Eee Mola endelea kutupa pumzi!
 
Mkuu Kiranga, there you are!, jana nilipomsikiliza Nundu, nilimhurumia kujaribu kuzuia deal la ulaji kwa nia njema kabisa ili kuliokoa taifa, bila ya kujua who is behind!. Hao CCCC wameshaanzia juu!. Sasa huyu Nundu kutia kauzibe atageuzwa mbuzi wa kafara!.

Comonsense logic inalazimisha kuamini ile deal ya rada, gulf stream, richmond etc sio tuu zilikuwa na baraka kutoka juu, bali pia mgao ulitangulia na ndio final benefisharies wa ile tozo!.

Kuna watu naona wana manipulate namna system inavyofanya kazi.
Kwa hiyo kama Nundu angeamua kukubaliana nao, na mambo yakaja kuharibika mbele ya safari tatizo lingeonekana ni la kwake. Na hata sasa alipoamua kupingana nao bado amaeundiwa zengwe na kuonekana ana matatizo!
Sasa ni kwa nini aendelee na wadhifa wa namna hii? Kiongozi mzuri angeamua kujiuzulu, halafu akawaambia wenye nchi kitu halisi kilichotokea.
Kwa kung'ang'ania kwake madaraka katika mazingira haya, ndio kuna create doubt as to whether nae alikuwa na interest fulani kwa hao China Merchants, kwani katika mazingira yale yale ya CCCC: tenda ilitangazwa wapi?!. Jee China Merchants walijuaje TZ tunataka kupanua bandari?...
 
Mkuu Kimbunga, mambo mengine wee acha tuu!.

Nimeuliza nani anaejua hao CCCC wamepatikanaje?, hakujatolewa tangazo lolote hata la EOI tuu achilia mbali tender!.

Laiti watu wangelimjua who is behind Mfutakamba, mtagundua Nundu ni mtu wa kuhurumiwa tuu!.

Nchi hii inajengwa na wenye moyo kama Nundu na inaliwa na wenye meno kama Mfutakamba!.


Dr kama kweli kafanya haya ameniangusha sana,maana before hajawa mbunge alikua na mipango lukuki kichwani mpaka tukajipiga piga mfukoni kumchangia kama member mwenzetu pale kt shop kwenye barza ya chai ya jioni kapata ubunge na hatimae unaibu waziri leo anajiunga na mafisadi,uwaziri wenyewe kaupata kwa mbeleko ya kusoma ud na jk,bora mama ntimizi angemshinda tena tu angebaki na ukuu wake wa wilaya huko iringa tu,kweli hakuna mtz anaeaminika tatizo linakuwaga ni kuipata tu nafasi aiseee,dr mfutakamba!!bahati niko mbali tu ningemsaka kila kona leo hapo dar
 
kuna kamgongano kaulaji, kuna kuzidiana kete kwenye issue za ulaji na utafunaji wa KIFISADI.
 
Jamaa hawana huruma hata kwa watoto wao wenyewe! Sijui wanajiona wao ndo watawala wa mwisho wa Tanzania?

A%20S%2041.gif
..... watoto wao kwa muda wote na wajukuu wao, wamehakikishiwa maisha mazuri nje na ndani ya Tz:mad2:
 
Mwana miaka 45 unaijua? Mie ujanja wangu wote sijaifikisha. Mtu anaweza kuzaliwa leo, akaenda shule, chuo, akawa rais na kuwa rais mstaafu ndani ya miaka 45!

Voyager imekuwa launched 1977 kufikia 2011, takriban miaka 34 (miaka kumi na moja kabla ya kufikisha miaka 45) ilikuwa inatoka nje ya solar system.

Hivi miaka 45 tunaielewa? Tangu uhuru wetu ndiyo kwanza tumefikisha miaka 50, tunataka kusaini mkataba wa miaka 45 kweli? Si tunarudi kwenye ukoloni tena tu hapa?
Kiranga, na bado watadai tuna chuki, tuna wivu na wavivu wa kufikiri.

Naam, wao ndo wasafi!
 
Last edited by a moderator:
kwangu ni kama sinema, lazima kutakua na mkono wa mkuu wa nchi hapa, na huyu waziri kwa nini anajua yote asianze kumwajibisha aliye chini yake na WHY NOW? baada ya wabunge kustua? si habari hii ingeenda kimyakimya?
 
Tanzania hii imelaaniwa. Kila kukicha afadhali ya jana. Kwa madudu haya si bora serikali ya Nche Nkapa.
 
Wewe una assume Wachina wanajali fairness ndiyo maana unashindwa kuwaelewa. Hawajali. Wanajali economic interests zao tu. Ndiyo maana wanawekeza popote pale, kwa Gaddafi, Mugabe, Al-Bashir, Ahmadinejad etc.Human Rights na fairness kwao si jambo kubwa.

Wachina hawana tatizo na kampuni ya kichina kutoa rushwa kwa mtendaji wa kampuni/ serikali ya Tanzania ili kupata tender kirahisi Tanzania.Sina hakika hata kama Wachina wana sheria za kubana makampuni yao yasitoe rushwa nje kama sheria za Kimarekani zilivyo kwa mfano "Foreign Corrupt Practices Act" Foreign Corrupt Practices Act - Wikipedia, the free encyclopedia (Wal-Mart wana scandal kwa kutoa rushwa ili wapate competitive advantage Mexico, rushwa imetolewa Mexico na Wal-Mart Mexico lakini kwa kuwa kampuni tanzu ni la Kimarekani wanataka kushtakiwa Marekani)

Ila kama unatoa rushwa kwa mtendaji wa Kichina ili kampuni ya Tanzania ipate tenda kirahisi rahisi China, ikijulikana huyo mtendaji wa kichina anaweza hata kupewa adhabu ya kifo.

Mambo ya mkuki mtamu kwa nguruwe kidizaini fulani hivi. Wanacheza rafu sana lakini hawataki kuchezewa.

Kiranga

nadhani huwaelewi wachina vizuri

serikali ya uchina inahitaji kuwekeza afrika kwa wakati huu,na ipo makini sana na makampuni ambayo yanatoka uchina kuja afrika kuwekeza,hawataki hata siku moja nchi yao kuwekwa DOA la mambo ya RUSHWA,kwani kama itatokea itaharibu malengo yao waliojiwekea juu ya kuishika afrika yote ktk uwekezaji.

sasa kama huamnini subiria,kama kweli hii CCC inatoka China nitakutumia ujumbe kutoka magazeti ya china nini kimefanyika juu ya CCC
 
Habari inasikitisha tuu, yeye alikuwa wapi kumlipua naibu wake kabla ya sakata hili? Wote ni walewale hawezi kujitoa kabisa, Kuhusu uwezo Kuchagua kwa urafiki nafasi za kiutendaji zina madhala
 
Kiranga, na bado watadai tuna chuki, tuna wivu na wavivu wa kufikiri.

Naam, wao ndo wasafi!

Maisha ya Watanzania wameyafanya jukwaa la maigizo ya mfumo [Analysis & Synthesis of the system] ndio maana wakiingia wengine kuwaamba mchezo wao ni kifo kwa maisha ya wengine wao utwaambia tuna chuki, tuna wivu na wavivu wa kufikiri. Yani hapa nilipo nina miaka kumi 15 kufika 45,nikijitazama na kutizama makubaliano hayo HAKIKA KWELI NI UNYAMA ULIOPITILIZA.
 
Back
Top Bottom