NYARAKA: Omar Nundu ni msafi...

Again,

Kikwete kumteua Mgawe kama DG Bandari big mistake. Ama labda ni control tactic.

Kuna siri nzito hapa, na Nundu anaweza kuwa "Bangusilo" tu.

Sipendi mkataba mkubwa wa miaka 45, sipendi the fact kwamba tuna deal na Wachina (one has to only look at the record of the Chinese, particularly CCCC, in Angola, esp oil exploration, to add two and two), sipendi kwamba taratibu za tender za separation of duties hazifuatwi, sipendi kwamba hakuna transparency, sipendi kwamba Bandari hawajajifunza kutokana na historia kesi yao ya sasa.

Sipendi ukweli kwamba wananchi hawana imani na serikali kiasi cha kukubali kirahisi kwamba Nundu kakosea.

Kabla ya kufanya anything conclusive, tunahitaji habari zaidi.
tuletee an alternative basi... tuletee bank ya nchi za magharibi zitakazotoa US$ 400 mio. at interest rate 3%! we sijui nikuitaje, jamani msibishe tu alimradi tu "hupendi", kuwa realistic and open minded! BTW Nundu wizi wake haukuenda nje ya China alienda mtaa wa pili tu visiwa vya hapo Hong Kong ambayo ni party of China!
 
Hizi barua hazimsafishi Nundu bali inaonyesha kuwa alikuwa ana kaurafiki haramu na hii kampuni ya China Merchants Holdings nje ya njia zinazokubalika yaani kiofisi maana hawa wanaonekana hawafuati njia sahihi zinazotakiwa kufuatwa na kampuni bali wanatumia kiongozi mla rushwa/mlafi kama Omar Nundu kuipiga bao kampuni ya China Communications construction Ltd ambayo tayari proposal yake imakubalika na serikali imesapata fedha toka Exim Bank China! Sasa sijui ni punda gani anaweza kuacha mradi ulioiva namna hiyo wa China Cummunications Construction Ltd akaenda kwa huu wa China Merchants Holdings ambao haujasema ni kiasi gani ita-finance hiyo miradi na kwa riba kiasi gani! hapa simply hii barua inaonyesha jinsi mawaziri wetu vilaza walivyo tayari ku-take risk na ku-subotage miradi mikubwa ya maendeleo ili mradi tu wamehakikishiwa kushibishwa matumbo yao na miradi fake inayokosa transparent bali kupitia kwa vimemo viinavyoweza kui-cost nchi kama mikataba ya umeme ta Tanesco! Omar Nundu lazma ajiuzulu manina.....!

mKUU Thanks!!

Nina observations chache sana
Ukiangalia communications zote, signatories, manners, language na hata basura zilizowekwa hapa, inaonyesha wazi kwamba info beforehand haifiki haka asilimia 10 ya kilicho nyuma ya pazia... PROBING TONE KWA WATAALAM WA FRAUD AWARENESS
Ukicheki pia jinsi Mkulo, Mgawe, Nundu, Chambo nk wanavyowasilisha habari ni kama tuna miradi tofauti.... FRAUD MARKER
Ukija kwenye hoja ya HALISI (the man i respect a lot) anatoa hoja ya mtu kutokwenda CHINA kama reasoning ya usafi, amesahau kwamba the smart thieves hawaendi front,
Ninahoji zaidi weledi wa gwiji HALISI hasa pale anapoonyesha wazi kuwa hajasoma documents, bali (nahisi) amekaa na timu ya utetezi wa Nundu na kuchukuliwa na emotional attachments.... THEORIES ZOTE ZA UWAJIBIKAJI ZINAMUWEKA NUNDU HATIANI (IWE KWA MAKUSUDI AU KUTOKUJUA,, NA KUTOKUJUA SHERIA HAKUKUONDOLEI ADHABU YA KUVUNJA SHERIA

Coming the value of the project and importance, Yes, ni muhimu na efforts walizofanya na wachina (wa-CHINA, na walio SE isiyo beijing) lakini unapata picha kabisa kwamba kuna mkono mtu

My take:
Nundu is using the system kujisafisha, which is ok (labda aliteleza na hana nia mbaya) lakini system imetumia mbinu mbaya kuweka usafi kwenye kilichochacha, afterall kujiuzulu hakumchafui bali kunamuweka kundi moja na fallen heroes wa vitani, ni sacrifical lamb rather than a criminal

The time to change is now, and tuanze kwa kugundua makosa na kusawazisha kiakili zaidi ya kukana na kulindana kwa vi-memo viwili au vitatu

I know it is risky lakini nimeona niseme hayo kwa kuelewa kwamba kipindi hiki cha mpito kinahitaji zaidi watu wawazi kuliko wanafiki
 
kwa hiyo hata kama hiyo kodi itakuwa ina-apprecate na BOOT process requires those years to recover investment cost that yearly interest rate is at 3% kwako wewe ni tatizo? Then put interest rate at 10% then BOOT period of 10 years! alright? short period is costly my friend.....!

Is that the case here? Una mfano gani wa kodi ku appreciate hivyo katika makampuni/ mashirika yaliyobinafsishwa tayari kufikiri hili litafanyika hapa?

Muda wa contract hauwezi kuwa cost kwa mwenye rasilimali hata siku moja. Mwenye bandari anapotoa a short term contract (say 5 years term) anajipa muda wa kubadilisha terms. Anapotoa contract ya 45 years anarudisha ukoloni. Kama hatuna hela na kupanua bandari tunapewa masharti ya kuiweka bandari rehani kwa miaka 45 bora tusipanue bandari.

Juzi hapa tumetoka kumlaumu Mkapa kwa ku lease Container Terminal kwa miaka 15 tukaona madudu, leo tunataka kubariki mkataba wa miaka 45? Hivi tunajua kati ya sasa na miaka 30-45 uchumi wetu utakuwaje?

Hivi tumekosa kabisa mkopo mwingine wenye masharti yasiyoweka rehani bandari kwa miaka 45?

Kama Nundu ana matatizo mengine yawekeni tuyajadili, lakini hili la kukataa mkataba uliojaa ukiritimba kutokana na Wachina kuwa judge, jury and prosecution katika hii deal, itabidi mnieleze zaidi.
 
Nathani hujasoma vizuri au kiingereza kinakupiga chenga CCC iliandika proposal na ku-solicit funds (a soft loan with 3% interest with grace period of 3 years after construction is completed) from Exim Bank China kupitia serikali yao! yaani wanaaminika huko kwao na wana experince kampuni ya tano kwa ukubwa duniani kwenye uendeshaji wa bandari! sasa unapouliza uwazi wa tender hii ulipaswa kuulizia pia hao China Merchant ltd wana uwazi upi huo wa kwenda behind the scene kujaribu kumshawishi waziri kuvunja makubaliano na CCC ambao washasaini MOU na wame-secure funds! Au hasara ya fidia kutokana ujuha wa kuvunja mikataba kiholela bado hazijawafunza kitu nyie mambumbumbu? Hayo mengineyo sitaki kukujibu maana umeandika upuuzi na bali jua tu Nundu ni mwizi sura yake haijalishi....!


Pwenti sana

Kibaya zaidi watu wamehudhuria trainings nyingi sana za fraud awareness, na namna ya ku-enforce sheria zinazohusika, wakirudi wanakuja na vi "SE BUY FLY" elimu yote wanaacha viwanja vya ndege

inasikitisha sana:rofl:
 
Is that the case here? Una mfano gani wa kodi ku appreciate hivyo katika makampuni/ mashirika yaliyobinafsishwa tayari kufikiri hili litafanyika hapa?

Muda wa contract hauwezi kuwa cost kwa mwenye rasilimali hata siku moja. Mwenye bandari anapotoa a short term contract (say 5 years term) anajipa muda wa kubadilisha terms. Anapotoa contract ya 45 years anarudisha ukoloni. Kama hatuna hela na kupanua bandari tunapewa masharti ya kuiweka bandari rehani kwa miaka 45 bora tusipanue bandari.

Juzi hapa tumetoka kumlaumu Mkapa kwa ku lease Container Terminal kwa miaka 15 tukaona madudu, leo tunataka kubariki mkataba wa miaka 45? Hivi tunajua kati ya sasa na miaka 30-45 uchumi wetu utakuwaje?

Hivi tumekosa kabisa mkopo mwingine wenye masharti yasiyoweka rehani bandari kwa miaka 45?

Kama Nundu ana matatizo mengine yawekeni tuyajadili, lakini hili la kukataa mkataba uliojaa ukiritimba kutokana na Wachina kuwa judge, jury and prosecution katika hii deal, itabidi mnieleze zaidi.

Kwa case hii Tanzania ina bandari inayoperform under capacity hao wanao-invest wanaleta infrastructure (bandari/berths 13 na 16) ambayo haipo! sasa sijui rasilimali gani unaziongelea hapa? kuwa na uelewa kidogo...!
 
Kwa case hii Tanzania ina bandari inayoperform under capacity hao wanao-invest wanaleta infrastructure (bandari/berths 13 na 16) ambayo haipo! sasa sijui rasilimali gani unaziongelea hapa? kuwa na uelewa kidogo...!

Rais mpya wa Zambia alihamaki baada ya mtu kumwambia kwamba Wachina "wamejenga" uwanja wao wa michezo, akasema uwanja ule umekuwapo pale tangu uhuru, kwa nini mnasema Wachina wamejenga wakati walichofanya ni ku renovate tu?

Sawa, sikatai Bandari ina underperform. Lakini is this the best we can do? Kuwapa contract ya miaka 45? wakirudisha gharama zao katika miaka 10? Halafu usiniambie habari za kodi wakati huna precedent ya kuonyesha tunaweza kukusanya kodi kikamilifu.

Tuna bandari - sawa ina uderperform- unasema hiyo si rasilimali?

Ukiwa na nyumba inavuja paa huna rasilimali? Mtu akikuwekea paa jipya kwa masharti ya kuichukua nyumba kwa miaka 45 ukakubali utakuwa na akili kweli?

Kesho keshokutwa tukikuta huu mkataba ni kama Container Terminal, RITS, na ule wa umeme IPTL tutamlilia nani? Tusubiri miaka 45 huku tunableed kwa terms za ajabu? Mimi natetea mikataba ya kipindi kifupi kwa sababu mkiona mkataba haulipi mnaweza ku terminate, ku bleed miaka mitano si sawa na ku bleed miaka 45, miaka 45 ni ukoloni fulani hivi. Kama masharti yenyewe ndiyo haya mtu unaweza kuamua kutafuta alternative nyingine kama zipo. Ndiyo maana Nyerere aliamua kukaa na madini yake ardhini kwa sababu terms zenyewe kama ndiyo za ajabu hivi mikataba hailipi.

Ningekuwa na mamlaka na nchi hii naweka cap, hakuna kusaini mkataba wa zaidi ya miaka 10, period.

Otherwise hata huyo Sultan Mangungo wa Mzovero atakuwa na excuse hakuwa na Google, leo viongozi wetu wana excuse gani kusaini mikataba ya ajabu?
 
Rais mpya wa Zambia alihamaki baada ya mtu kumwambia kwamba Wachina "wamejenga" uwanja wao wa michezo, akasema uwanja ule umekuwapo pale tangu uhuru, kwa nini mnasema Wachina wamejenga wakati walichofanya ni ku renovate tu?

Sawa, sikatai Bandari ina underperform. Lakini is this the best we can do? Kuwapa contract ya miaka 45? wakirudisha gharama zao katika miaka 10? Halafu usiniambie habari za kodi wakati huna precedent ya kuonyesha tunaweza kukusanya kodi kikamilifu.

Tuna bandari - sawa ina uderperform- unasema hiyo si rasilimali?

Ukiwa na nyumba inavuja paa huna rasilimali? Mtu akikuwekea paa jipya kwa masharti ya kuichukua nyumba kwa miaka 45 ukakubali utakuwa na akili kweli?

hii naita ni loose talk kama huyo Rais wa Zambia hakuona tofauti ya ule uwanja wa uhuru (less than 15,000 seats) na huu uliojengwa (60,000 seats) basi ana matatizo kama wewe ya ku-discredit kila kitu wakati huna other options to counter what u oppose! In short ur argument iko so weak n based on what u perceive to be wrong but not the realities of the contract....! As for me, as long as the tax to be charged will be calculated based on appreciation of currency n value of investment sina tatizo na hiyo miaka 45....
 
Endeleeni kumwaga nondo na mimi kesho nakuja na zangu!. Jee nani anajua hao CCCC walipatikanaje?. Jee kuna tenda yoyote ilitangazwa?!. Jee walijuaje TZ tunataka kupanua bandari?. Jee nani aliwapa kibali cha kufanya feasibility study?. Wangapi mnajua kuwa good practice ni feasibility study kufanywa na mwingine, funding kutafutwa kwa mwingine, construction company iwe nyingine na consultants ni wengine for checks and balance!. Jee ni wangapi mnajua feasibility study wanefanya hao CCCC, consultants ni wao wao CCCC wakaja na hiyo figure ya dola milioni 500 plus bila any independent verification na mkopo wakaomba hao hao CCCC kutoka Exim Bank?. Why?. Tangu lini unaomba mkopo alafu banker anakulazimisha usipofanya kazi na CCCC no mkopo!.................

Mkuu Pasco.....HESHIMA MBELE SANA SANA SANA..............notwithstanding ***** wa hiyo kampuni nyingine (something Holdings)...........mkuu hiyo quote hapo juu......ni maridadi sana.........

Baada ya kukusoma wewe, nikaona ngoja nikupe HEKO.......halafu ndio niendelee kusoma michango ya wengine.......
 
Last edited by a moderator:
Ni msafi maana hajawahi kwenda China, bali aliyeenda ni Naibu wake

Kutokwenda China ndiyo kunamfanya awe msafi? Kwa vile aliyeenda ni naibu wake basi Nundu hawajibiki? If waste, corruption, or any other misbehaviour is found to have occurred within a ministry, the minister is responsible even if the minister had no knowledge of the actions. That is what we call individual ministerial responsibility. Siku wahuni watahamishia wizara China, atasema hakuhusika kuhamisha.
 
Kutokwenda China ndiyo kunamfanya awe msafi? Kwa vile aliyeenda ni naibu wake basi Nundu hawajibiki? If waste, corruption, or any other misbehaviour is found to have occurred within a ministry, the minister is responsible even if the minister had no knowledge of the actions. That is what we call individual ministerial responsibility. Siku wahuni watahamishia wizara China, atasema hakuhusika kuhamisha.
kuna haja ya kutengeneza flyer Za "accountability made simple" kwa ajili ya watu kama HALISI
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kutokwenda China ndiyo kunamfanya awe msafi? Kwa vile aliyeenda ni naibu wake basi Nundu hawajibiki? If waste, corruption, or any other misbehaviour is found to have occurred within a ministry, the minister is responsible even if the minister had no knowledge of the actions. That is what we call individual ministerial responsibility. Siku wahuni watahamishia wizara China, atasema hakuhusika kuhamisha.
Especially if he didn't have no knowledge of the actions!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
endeleeni kumwaga nondo na mimi kesho nakuja na zangu!. Jee nani anajua hao cccc walipatikanaje?. Jee kuna tenda yoyote ilitangazwa?!. Jee walijuaje tz tunataka kupanua bandari?. Jee nani aliwapa kibali cha kufanya feasibility study?. Wangapi mnajua kuwa good practice ni feasibility study kufanywa na mwingine, funding kutafutwa kwa mwingine, construction company iwe nyingine na consultants ni wengine for checks and balance!. Jee ni wangapi mnajua feasibility study wanefanya hao cccc, consultants ni wao wao cccc wakaja na hiyo figure ya dola milioni 500 plus bila any independent verification na mkopo wakaomba hao hao cccc kutoka exim bank?. Why?. Tangu lini unaomba mkopo alafu banker anakulazimisha usipofanya kazi na cccc no mkopo!.

Mbona mombasa wamejenga kwa 200 why sisi tujenge kwa 600?!.

Hivi mnajua kiburi na jeuri ya mfutakamba inatoka wapi?. Mnamjua nani anampa ruhusa kwenda kuhongwa huko nje huku akimby pass boss wake?!. Nnajua aliandika recomendation ya kuifagilia cccc na kuisubmit wapi bila kumuonyesha waziri?. Amini nawaambieni hao cccc ni yule yule ra!. Kama richmond tuu ila this time sio us ni china!. Hivi mnanuamini serukamba?!. Mnaamini ni yeye ndie aliyeomba kuwa m/kiti wa kamati ile?. No amewekwa kama alivyo pewa ubunge!. Yeye ni remote tuu ya ra!.

Endeleeni kumwaga mboga kesho na sisi tunamwaga ugali wakose wote!. Kusema ukweli napandwa na hasira sana mpaka natamani nchi hii tungekuwa kama china, mafisadi wana kula bullets soonest possible na kusahaulika!.

Mchukua nundu na mfutakamba uwapime nani fisadi na nani sio!. Tatizo la ufisadi ni kubwa kuliko nilivyodhania maana mpaka humu jf vibaraka wao, wametamalaki sana!.

Mungu ibariki tanzania!. Nawahakikishia kama 2015 watanzania wataamua kufanya kweli, kuna wenzetu humu humu watatafuta pa kutokea maana kwao pia ni kilio na kusaga meno!.

pwenti nzuri mkuu....
 
kuna haja ya kutengeneza flyer Za "accountability made simple" kwa ajili ya watu kama HALISI

Kama aliyosema Zitto it is all about accountability. Hii nchi hakuna accountability kabisa. Kila mtu anafanya atakavyo. Lakini Mawaziri ndiyo wenye mamlaka na mkurugenzi wa shirika, katibu mkuu wa wizara au mkurugenzi wa halmashauri. Mawaziri ambao wameshindwa kuwajibika ipasavyo na kuliingizia hasara taifa wanatakiwa kuwajibika kwa kuachia ngazi whether or not walihusika na hao madudu.

Bila kumwajibisha waziri hao walioko chini yake hawatajirekesbisha na wasipojirekebisha madudu haya yatakuwa yanajirudia. Kwa muda mrefu mrefu madudu kama haya yamekuwa yakijirudia kwa sababu mawaziri hawawajibiki. Yakitokea madudu mtu anahamishiwa wizara nyingine.
 
Tatizo kubwa hapa haya mambo hayafanyiki kwa uwazi kwa sababu ya maslahi binafsi ya watu waliokabidhiwa jukumu la kusimamia sekta hii. Tulitarajia kabla ya hiyo MOU kusainiwa wadau wote wangekaa na kutathmini fiada na hasara zake kwa kulinganisha njia zote mbili ya mkopo na hiyo ya BOOT. Lakini kwa sababu tamaa na njaa za watawala zimetangulizwa mbele kila mmoja alifanya kivyake jambo ambalo ni hatari kwa maslahi ya taifa. Sasa matokeo yake ni kuwa wananchi wataendelea kukosa maendeleo yaliyokusudiwa kwa kuwa miradi hii sasa itacheleweshwa na pia hao wafadhili nao watakimbia baada ya kuona usanii na utapeli unaotaka kufanyika.


Tanzania nchi yenye neema kila kitu kinawezekana.

Nilishasema sana kuhusu uwazi, mfano ni hapa A campaign for greater transparency: Tanzania government contracts

Kuna sababu kubwa gani zinazofanya michanganuo hii ya mikataba muhimu isiwekwe wazi?

Kwa nini hiyo mi document yote ni "Secret" ?

Kwa nini huyu baba anapanga kukodisha rasilimali za familia kwa kificho? Hataki familia ijue?
 
The bottom line hapa baada ya kusoma documents zote....na kwa uzoefu wangu......Waziri plus Naibu wake, Katibu Mkuu Omar Chambo, Shallanda, Dr, Nshama, Eng Fungafunga, Ngosha Magonya na DG wa TPA Mr. Mgawe........THEY MUST GO.....

Ramadhani Kijjah yeye apewe ONYO KALI..........
 
Kama aliyosema Zitto it is all about accountability. Hii nchi hakuna accountability kabisa. Kila mtu anafanya atakavyo. Lakini Mawaziri ndiyo wenye mamlaka na mkurugenzi wa shirika, katibu mkuu wa wizara au mkurugenzi wa halmashauri. Mawaziri ambao wameshindwa kuwajibika ipasavyo na kuliingizia hasara taifa wanatakiwa kuwajibika kwa kuachia ngazi whether or not walihusika na hao madudu.

Bila kumwajibisha waziri hao walioko chini yake hawatajirekesbisha na wasipojirekebisha madudu haya yatakuwa yanajirudia. Kwa muda mrefu mrefu madudu kama haya yamekuwa yakijirudia kwa sababu mawaziri hawawajibiki. Yakitokea madudu mtu anahamishiwa wizara nyingine.
And that is the point we need to question understanding ya watu wetu wa system kwenye system protection when it comes to manage performance, expectations and governance

tusiishie kulinda aliyepo madarakani kutawala... TUNATAKIWA TUMSAIDIE KUWEKA MFUMO WA UTAWALA BORA

kwa sasa nachelea kusema kwamba sioni, pamoja na a lot of milions zinazotumika kwenye governance,
 
The bottom line hapa baada ya kusoma documents zote....na kwa uzoefu wangu......Waziri plus Naibu wake, Katibu Mkuu Omar Chambo, Shallanda, Dr, Nshama, Eng Fungafunga, Ngosha Magonya na DG wa TPA Mr. Mgawe........THEY MUST GO.....

Ramadhani Kijjah yeye apewe ONYO KALI..........
tena wafungwe jela kabisa wakakutane na wanaume kule gerezani
 
ok, let's cut to the chase. Hilo deal la bandari kikwete kala ngapi? Wachina rekodi yao wanatuliza wakulu kwanza ili huku chini kuwe na urahisi. Tumeona hawa cccc wakifanya hivyo angola kwa nini tanzania iwe any difference?
shhhhhhhhhhhhhhh...., WEWE mbona hivyo??
 
Back
Top Bottom