Nyani

NATA

JF-Expert Member
May 10, 2007
4,492
1,311
Jamani nini mtego wa nyani wezi
Kila nikipanda mihogo shambani kwangu wanachimba yote hata kabla haijakomaa

Na wananiotea inapoanza kukomaa tu hao wanavuna bila huruma
 
Fanya kutega na mtego aina yoyote pindi utakapo mkamata mfunge kengele shingon afukaa nae pindi ukiwasiki wenzake wapo kwenye mavuno mwachie akiwakimbilia wenzake na wenzake watakua wanamkimbia na mwisho wake watajua wamehama eneo lako na kwenda mbali sana
 
Heshima kwako NATA.

Mkuu bahati mbaya swali lako umeuliza wakaazi wa maghorofani au ukipenda wamjini wanajua kuchagua mhogo mzuri sokoni hawajawahi kulima wala hawajui hadha wanazokumbana nazo wakulima.

Mkubwa kwanza sijui ukubwa wa shamba lako ?,Lipo maeneo gani ?,Unapakana na majirani ? Kuna msongamano wa watu ?.

Ipo mitego inatengenezwa kwa mataruma ya reli.Ni hatari sana kwani inaweza kukuvunja mguu usipokuwa mwangalifu,ndiyo maana nimekuuliza shamba lako liko maeneo karibu na mjini kwenye msongamano mkubwa wa watu.Mtu asipokuwa na taarifa akapita sehemu uliyoweka mtego anaweza kuvunjika mguu.Mtego unategewa sehemu wapitayo Nyani kwa kawaida Nyani wanakuwa na njia yao waliyozoea kupita[kama Nyani wanatembea kwa makundi makubwa].Nyani akikamatwa na mtego Nyani wenzake lazima wamsaidie mwenzao kwa kuung'ata mtego lakini kamwe hawataweza kumnasua.wakinaswa Nyani wawili watatu lazima watalihama eneo hilo na utakuwa na uhakika wa kuvuna mhogo.Ukubwa wa shamba ni muhimu shamba linapokuwa kubwa sana utahitajika kuweka mitego mingi zaidi.

Angalizo sina uhakika ila nimewahi kusikia idara ya wanayama pori wameipiga marufuku hoyo mitego.NB Mtego wa Nyani pia hutumika kutega Nguruwe pori,Ngiri na wanyama wengine waharibifu wa mazao.


Jamani nini mtego wa nyani wezi
Kila nikipanda mihogo shambani kwangu wanachimba yote hata kabla haijakomaa

Na wananiotea inapoanza kukomaa tu hao wanavuna bila huruma
 
Heshima kwako NATA.

Mkuu bahati mbaya swali lako umeuliza wakaazi wa maghorofani au ukipenda wamjini wanajua kuchagua mhogo mzuri sokoni hawajawahi kulima wala hawajui hadha wanazokumbana nazo wakulima.

Mkubwa kwanza sijui ukubwa wa shamba lako ?,Lipo maeneo gani ?,Unapakana na majirani ? Kuna msongamano wa watu ?.

Ipo mitego inatengenezwa kwa mataruma ya reli.Ni hatari sana kwani inaweza kukuvunja mguu usipokuwa mwangalifu,ndiyo maana nimekuuliza shamba lako liko maeneo karibu na mjini kwenye msongamano mkubwa wa watu.Mtu asipokuwa na taarifa akapita sehemu uliyoweka mtego anaweza kuvunjika mguu.Mtego unategewa sehemu wapitayo Nyani kwa kawaida Nyani wanakuwa na njia yao waliyozoea kupita[kama Nyani wanatembea kwa makundi makubwa].Nyani akikamatwa na mtego Nyani wenzake lazima wamsaidie mwenzao kwa kuung'ata mtego lakini kamwe hawataweza kumnasua.wakinaswa Nyani wawili watatu lazima watalihama eneo hilo na utakuwa na uhakika wa kuvuna mhogo.Ukubwa wa shamba ni muhimu shamba linapokuwa kubwa sana utahitajika kuweka mitego mingi zaidi.

Angalizo sina uhakika ila nimewahi kusikia idara ya wanayama pori wameipiga marufuku hoyo mitego.NB Mtego wa Nyani pia hutumika kutega Nguruwe pori,Ngiri na wanyama wengine waharibifu wa mazao.

Asante mkuu shamba heka 4 ni huko mashamabani sasa huu mtego unategwaje ?
Maana wananivunja nguvu ya kuendelea na kilimo na mbiu yetu ni kilimo kwanza.
Nilitegemea mavuno mema sana mwezi huu lakini hawa nyani balaa!
 
Asante mkuu shamba heka 4 ni huko mashamabani sasa huu mtego unategwaje ?
Maana wananivunja nguvu ya kuendelea na kilimo na mbiu yetu ni kilimo kwanza.
Nilitegemea mavuno mema sana mwezi huu lakini hawa nyani balaa!


Ushauri alokupa ngongo zingatia,nijuavyo kwa ukubwa huo unahitaji kama minne
mara nyingi wankuwa na direction ya kujirudia hivyo upande huo wanaotokea ndo mzuri wa kutega
hii mitego iko kama kitabu na hufunguka the same ila juu inakuwa na meno yenye mwingiliano ka ya mamba au pig
ukishafungua ina simple lock ambayo ndo unatumia kuweka prey whether mhogo au mhindi basi wakija wajifanya kuutoa
wameliwa.
angalizo: -lazima uufunike hata kwa majani wkiona chuma tu hawataugusa
-ni lazima uufunge kwa mnyororo mrefu na kufunga kwenye mti la sivyo
wanaweza ondoka nao mbali ukapotea au ukaibiwa
 

Mkubwa kumbe JF ina wakulima wengi ........Maelezo yako ni sahihi kabisa.


Ushauri alokupa ngongo zingatia,nijuavyo kwa ukubwa huo unahitaji kama minne
mara nyingi wankuwa na direction ya kujirudia hivyo upande huo wanaotokea ndo mzuri wa kutega
hii mitego iko kama kitabu na hufunguka the same ila juu inakuwa na meno yenye mwingiliano ka ya mamba au pig
ukishafungua ina simple lock ambayo ndo unatumia kuweka prey whether mhogo au mhindi basi wakija wajifanya kuutoa
wameliwa.
angalizo: -lazima uufunike hata kwa majani wkiona chuma tu hawataugusa
-ni lazima uufunge kwa mnyororo mrefu na kufunga kwenye mti la sivyo
wanaweza ondoka nao mbali ukapotea au ukaibiwa
 
Back
Top Bottom