Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
...michango ya mazishi napokea mie!! kwa taarifa zaidi ni-PM, sipokei chini ya $$100 (jiti la kinyamwezi)....tafadhalini naomba tujitahidi na hivyo "vijisenti" ili zoezi hili la kumsitiri mwezetu liwe lenye mafanikio na mfano wa kuigwa/ushirika wetu kana ndugu ktk shida, dhiki, misukosuko na raha hapa JF!!
asanteni...YNIM.
mkuu naunga mkono kuna jamaa anasema tumzike mwenzetu akiwa hai, maana kumsaidia kabla hajaelekea kuzimu sasa tukimpatia tutakuwa tumeonesha ushirikiano na undugu ila isije ikaishia kwako tu