Eeeh NYAMBARI NYANGWINE & PUBLISHERS...
mungu akuope neema,baraka zikushukie kama mvua,mungu akuepusha na laana,mikosi na chuki za maadui zako.Mungu akuongezee nguvu ya kuendelea kuinua elimu yetu iliyozorota...!!
Tunatambua sana mchango wako adhimu,tunachokifanya ni kukupiga vijembe na majungu tu....
Udumu nyambari nyangwine....
Nyangwine nimesoma literature ya advance tu, vitabu vingine ni PRINCIPLE OF PHYSICAL GEOGRAPHY(Monk house) , PRICHARD, WALTER RODNEY ,
Mtoto wa kiume...??
Wewe mjingaa namba1 ,nilipataA Mpaka ya physics na chemistry , nikachagua HGL uelewa wangu ni mkubwa kwenye masomo yotee!! ,nakushangaa wewe hata point 5 hukufika aibu sana dogo !! watu wenye heshima kama prof.shivji,prof.kabudi,dr.mwakyembe ,mh.lissu ,prof.baregu wamesoma hgl ndezi kabisa wewe
utakua mhaya wewe
utakua mhaya wewe
kwani we ulikuwa hujui? niulize mimi classmate wake napajua had kwao!