Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Nakumbuka sana enzi za Headmaster Banyenza ambaye yupo Ihungo kwa sasa, ilikuwa ni Speak english kila kona. Ilikuwa ni balaa ukiongea Kiswahili ukaangukia mikononi mwa Mwl. Ngeni ama mulokozi
Mkuu shule hii ipo wapi? Ndio kwanza nasikia jina hilo leo
mnh, nyampulukano iko mkoa gani hiyo?
Mkuu shule hii ipo wapi? Ndio kwanza nasikia jina hilo leo
Nakumbuka sana enzi za Headmaster Banyenza ambaye yupo Ihungo kwa sasa, ilikuwa ni Speak english kila kona. Ilikuwa ni balaa ukiongea Kiswahili ukaangukia mikononi mwa Mwl. Ngeni ama mulokozi
hahah lakini we Mnyampulukano mbona Avatar yako ..inanipa kigugumizi