Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Acha unafiki wewe,mbona mwenyekiti wa Chadema mheshimiwa alikuwepo kwenye msiba na alienda kuwapa pole wafiwa pia jana kwenye mazishi mheshimhwa Mbowe alikuwepo,uwe unaandika vitu ulivyo na uhakika navyo sio unaamua kusema uongo bila kuwa na uthibitisho.Chadema bwana wanafiki kweli sijui kwa nini wanachagua misiba mpaka msiba ukiwa na maslahi juzi kafariki Sheikh Yahaya, hakuna ata kiongozi wa Chadema alifika msibani, ata kwenda nyumbani kwa Sheikh Yahaya kutoa pole wakati mtoto wa Marehemu Sheikh Yahaya, Hassana Yahaya Hussein ndio mpambananaji wa Chadema Magomeni, na alikuwa mgombea kiti cha Udiwani kata ya Mikumi Magomeni kupita Chadema, kwenye uchaguzi wa mkuu, hamna lolote wanafiki tu