BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,148
- 2,160
Ili Tatizo sio kwa watoto tu ata watu wazima.mie mwenyewe ili tatizo la vinyama puani linakera mno kwani kila siku wewe unaonekana ni mtu wa mafua tu na usiku hulali vizuri CHAFYA za kila mara yani kero mie nilikua na ili tatizo na nikawa napewa EPHRIDINE NASAL DROP naweka vimatone viwili then pua zinaachia lakini hali iliendelea ikawa kero zaidi ndo mwaka 2008 nikiwa BUKOBA akaja dr from kenya wa ENT ndo akanifanyia operation kwakweli niliumia sana na nilikaa hospital almost 7 dayz baada ya apo hali ilikua nzuri sana mafua yakakauka na kuhema kukawa vizuri...Dawa ni operation tu