Nyama za pua kwa mtoto

Ili Tatizo sio kwa watoto tu ata watu wazima.mie mwenyewe ili tatizo la vinyama puani linakera mno kwani kila siku wewe unaonekana ni mtu wa mafua tu na usiku hulali vizuri CHAFYA za kila mara yani kero mie nilikua na ili tatizo na nikawa napewa EPHRIDINE NASAL DROP naweka vimatone viwili then pua zinaachia lakini hali iliendelea ikawa kero zaidi ndo mwaka 2008 nikiwa BUKOBA akaja dr from kenya wa ENT ndo akanifanyia operation kwakweli niliumia sana na nilikaa hospital almost 7 dayz baada ya apo hali ilikua nzuri sana mafua yakakauka na kuhema kukawa vizuri...Dawa ni operation tu
 
Nyama za puani zina uhusiano na familia zenye ugonjwa wa pumu au asma kwahiyo badala ya pumu mtuanapata sinus, kikubwa zaidi ni allergies.
 
Msaada jamani. Naweza kutuliza vipi maumivu/kero ninazopata kwa kuwa na nyama za pua? At least kwa muda maana nilipo siwezi kumuona daktari.
 
Nadhani huo ugonjwa una uhusiano na allergy. I had similar problem ya pua kuziba nilimuona doctor bingwa wa pua koo na masikio Agha khan anaitwa Prof Mushi au Moshi kama sikosei, akanipa dawa ya sprey akanambia kama sitapata nafuu after six months nimuone ili anifanyie operation. But now niko fresh kabisa baada ya kutumia sprey na hiyo sprey ukiisom ni ya kusaidia allergy.


Sasa sijuhi ni kwa nini tatizo la allergy linazidi kukua Tz; labda pollution au vyakula.
Jina la hyo spray ndugu, 0715 577 628

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom