kuwa nimeshakula nyama ya nyani,,,,,,,,haiwezekani..:shock:
sili tena nyama!
Mleta habari amezungumzia nyani na nguruwe pori. Sasa mbona mnazungumzia nyama ya nyani tu, hao nguruwe vipi nyama zao jamani?
Nini kisichowezekana hapo?...........kbali tu uwe na amani! na has kama ni mtumiaji mzuri wa usafiri wa barabara za Tanzania!
Malila ni inbox your contacts tafadhali nije kukusindikiza kuwala nungunungu!
Kama ni tamu kama ya mbuzi haina neno. Asante kwa kutujuza.
Nitawaunga mkono kwenye kutokula nyama ila ile kitu ya Arusha sintatumiaAngalia usije ukatumia cha arusha :bange: kama wale wenzetu Jah people wanavyofanya
Kumbe ukiingia sehemu na kuomba mbuzi ya kuchoma unaletewa nyama ya Nyani
Ila kama madhara hayapo ,haina neno