samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,954
Ni kawaida ukienda kwa Doctor ukiwa na magonjwa fulani,basi Doctor atawaaambia huyu mgonjwa wenu jaribuni kuacha kumpa nyama nyekundu (ng'ombe,mbuzi, kondoo na n.k) na badala yake kama anataka kula nyama basi ale nyama nyeupe (samaki au kuku wa kienyeji)
Sasa mimi najiuliza hili swali sipati jibu,mbona wamasai na yale makabila yote yenye ng'ombe,mbuzi na kondoo wengi hawadhuriki na hayo magonjwa.......... maana wenyewe ndio kitoweo chao cha kila siku.
Sasa mimi najiuliza hili swali sipati jibu,mbona wamasai na yale makabila yote yenye ng'ombe,mbuzi na kondoo wengi hawadhuriki na hayo magonjwa.......... maana wenyewe ndio kitoweo chao cha kila siku.