ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,766
- 3,583
Kuna wengine ile ndege ya Malaysia wanajaza hadi inabananaaa
umeonaeeee waache kabisaaaaa
Kuna wengine ile ndege ya Malaysia wanajaza hadi inabananaaa
Ha si uzame tu upoteleeee
Love uliniambia unajaza bodaboda sasa tukigawa kwa mbili Napatajeeee mmmmmhhhhhhhh
Hii kesi ni kwa wote si sio jinsia ke hata sisi tunadanganya,useme ukweli ukose nyama.
Bodaboda inabeba wawili tukigawa kwa mbili anabaki mmoja ambaye ni wewe pekee
Ha ....Kuna wengine ile ndege ya Malaysia wanajaza hadi inabananaaa
hata wanaume hudanganya hasa apojua hukupitiwa na mtu.mimi memewangu alikubali kusema wanawake zaidi ya kumi ila hakuwahikukubali kulala na mschana mmoja alietahiriwa baada yakujua nimesoma nae.laajabu yule binti alikujakuongea na mimi nilipokua najiandaa kuolewa akidai hapati mtu coz ametahiriwa mimi pia sikuweza kumsaidia kwani umri ulisogea pia nilikua nimevumilia kwa muda mrefu bilakujua kinachojili chumbani.
si ndo hapo hata mimi nitakudanganya alaa hata wema naw ukimuuliza anawezaz akakwambia katembea na wanaume watatu tu wngine alikuwa na mahusiano nae ila hawakusex so kazi kwako. kuamini ama la.Umeonaee
Ivi watu wanataka kujua idadi ili iweje
We wote tuliopita humo si rahisi kutukumbuka
ndio mtulizane sasa sio mwagawa tuuuu.
sasa kama waona aibu kusema ni ishara tosha kuwa wat u doing is wrong. fungeni mapaja hayo