Plans zenu nzuri lakini hazijanyumbulishwa. Katika hali ya kawaida kupokea kuwa utaongeza bajeti kwenye sekta ya elimu na kuwaongezea mishahara haitoshi...meaning haina tofauti na propaganda za sisiemu.
May be kutaja kiwango cha chini cha mshahara kwa mwalimu, mahitaji ya vitabu ni kiasi gani na vitabu gani, nyumbani za walimu kiasi gani etc. Baada ya mnyumbulisho huo ukaja na kiwango kinachotakiwa kuongezeka katika bajeti ya sekta husika itafanya mtu aifikirie hiyo serikali yenu kuwa serious na kuitofautisha na hii ya sisiemu yenye maneno mengi bolded lakini utekelezaji hakuna kwa kukosa strategic planning,.
May be kutaja kiwango cha chini cha mshahara kwa mwalimu, mahitaji ya vitabu ni kiasi gani na vitabu gani, nyumbani za walimu kiasi gani etc. Baada ya mnyumbulisho huo ukaja na kiwango kinachotakiwa kuongezeka katika bajeti ya sekta husika itafanya mtu aifikirie hiyo serikali yenu kuwa serious na kuitofautisha na hii ya sisiemu yenye maneno mengi bolded lakini utekelezaji hakuna kwa kukosa strategic planning,.