Majita
JF-Expert Member
- Jan 13, 2008
- 609
- 190
[ Hivyo wananchi wa vijijini wanapigwa kweli kweli na maisha. Serikali ya CCM labda inashindwa kuelewa kuwa baada ya Ndugu Benjamin Mkapa kujenga misingi imara ya uchumi mkubwa (macro) , hii ya Ndugu Kikwete ilipaswa kutafsiri uimara wa misingi hii kwa maisha ya wananchi wa kawaida wanaotegemea kilimo.
]
Kwa kweli kwa kuliona hilo tuu,sasa naamini CHADEMA kuna vichwa.Hapa nilipo natafuta kijikadi chao CCM walichonitumia eti cha kufungulia matawi hapa ughaibuni nikipige mkasi.Hebu ngoja nikitafute haraka ili nikichane haraka kabla sijasahau........Yaaani inasikitisha mimi baada ya kwenda majita na kuona niliyojione.Kuanzia Kamnyonge (Majita road) hadi bukumi hali inatisha SANA.Wakondya Zitto