anakaa kijitonyama.
Waungwana laaziz wangu siku ya jana nilitaka kumsaplaiz ila alikuwa hapatikani kwenye simu tangu saa 11 jioni mpaka leo saa 6 mchana,nilipompigia amesema simu iliisha chaji na umeme ulikuwa hakuna..Duuuh!kidogo nilipumua..so nilikuwa nauliza kwa wakazi wa dar es salaam eti jana kulikuwa hakuna umeme hapo mjini??nataka uhakika zaidi japo namuamini,mie nipo bwagamoyo kwa sasa.
Kama luku yake iliisha si angeenda kuchaji simu kwa mangi dukani! Sikukuu imegeuka SIKU KUU! Kama presha ikipanda sana uni-pm baba nitangaze kifo chako mapemaa humu jf!
Ondoa mashaka maana tayari unamuamini na ilibidi hata usiulize juu ha jambo hilo maana utachanganywa bure Mkuu, la maana usijue itsaidia kuliko kujua!kweli lakini inawezekana luku iliisha,maana uyu binti navyomfahamu sidhani kama anaweza kufanya uhuni wa mtindo huo.
usiseme hivyo Pdidy,hapa naanza kurudia hali ya jana night..ngoja nikagonge VAT 69 huwa inanisaidia sana kipindi cha matatizo.
nimeanza darasa la nne.kabla ya hapo kinguonguo.
Rudi kwenye kinguo nguo
haiumizagi akili
hii naona bado
kama kitu kidogo tu wanywa VAT
ukimkuta kabanwa na mtu live utakunywa TRA
izo za live nimekutana nazo sana tu.ila niliamua kutulia kwa uyu mtu,maana masista duu walinichosha na drama zao..sasa kama ata hawa wakilokole mizinguo,sijui nikimbilie wapi.
Teh tutamtafutia kitu cha ukweli asipate tabuKama luku yake iliisha si angeenda kuchaji simu kwa mangi dukani! Sikukuu imegeuka SIKU KUU! Kama presha ikipanda sana uni-pm baba nitangaze kifo chako mapemaa humu jf!
Ok wait wadau wa k'nyama waje watujuze km ulikuwepo.
Jamani wana k'Nyama umeme ulikuwepo jana?