Omulangi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 1,036
- 265
Mbunge wa Ngara Ntukamazina amesema kuna tatizo kubwa kwa uteuzi wa uongozi katika nchi hii. Watu wasio na uwezo wanapewa nafasi kwa misingi ya udini, makabila na urafiki. Amesema hiyo inamyima uwezo wa kuwawajibisha.
Source: Bunge la jini saa 110. My take: Naunga mkono hoja. Tafadhali JK sikiliza wabunge wa Chama chako.
Source: Bunge la jini saa 110. My take: Naunga mkono hoja. Tafadhali JK sikiliza wabunge wa Chama chako.