MIUNDOMBINU
JF-Expert Member
- Apr 14, 2010
- 465
- 96
Hivyo vitabu mbona mimi sivioni wakuu?
Mhh Basi ngoja niongeze vitabu vingine kabisa!!!.
Hivyo vitabu mbona mimi sivioni wakuu?
Kaka vocha inalipa sana kwa mtaji alionao ulitaka afanye biashara gani? mimi naunga mkono kama ananunua kwa bei ya jumla anaweza kuza mtaji wake.hapa lengo ni kukuza mtaji ili aweze hata kuivest katika shamba lakeacha utani mwenzako yuko serious
hi miundombinu, asante sana kwa vitabu hivi ni material tosha ya kumfanya mtu kutoka hatua moja kwenda nyingine.
Mungu akubariki.
Hivyo vitabu mbona mimi sivioni wakuu?
Kwa mtaji huo anzisha biash
aanzishe biashara gani? Msaidie mwenzako mawazo na si maneno matupu yasiyovunja mifupa
RE:
Ntawezaje kuanza kutoka sifuri hadi mafanikio?
INAWEZEKANA TENA UKAFANIKIWA SANA, VITU MUHIMU JUHUDI NA MAARIFA.
UNAWEZA KUFANYA VITU VIFUTAVYO.
KULIMA MAHINDI YA MUDA MFUPI NA KUYAUZA MABICHI
UNAWEZA KULIMA MCHICHA WA MUDA MFUPI (SIKU 21)
UNAWEZA KULIMA BAMIA
UNAWEZA KULIMA NYANYA (HASA KIPINDI HIKI CHA MVUA)
UKIHITAJI USHAURI ZAIDI TUWASILINE
Email:mtoimathias@rocketmail.com
Tena mikopo hiyo ya 50,000/= hutolewa kwa kikundi na bado wanafanikiwa.
haya kazi kwako sasa mkuu.