Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Hili swali ni gumu sana kwa watu wengi ikiwezekana na mimi...yaani yale mambo mengi yaliokuwa yakifanywa na wapendanao sasa watamaniao nao wameamua kuyafanya just kufaulu wanachotaka na kuanza kuonyesha rasmi wao ni nani????/
sasa kwa msaada wa wale wanaoenda kuoa ama kuolewa ni vyema ukamwomba sana mungu watu wengi wanatamani na si kupenda kama zamani enzi za ujana wetu so ni wakati wako kumjua mungu na kumwomba mungu akuonyeshe..yawezekana kuna mambo mengine zaidi ya haya ambayo unaweza mtambua mtu anaekupenda kweli ama kukutamani kabla ya ndoa ...nasema hivi maana akishaaingia kwenye ndoa hilo lwako akutamani akupende no opt...saidia hawa wanaoenda kujaza makanisa jumamosi ,ijumaa zijazo na jumapili lkukiri madhabahuni wanapendana na baada ya mwezi wanarudisha certificates za ndoa...tuwasaidiaje
sasa kwa msaada wa wale wanaoenda kuoa ama kuolewa ni vyema ukamwomba sana mungu watu wengi wanatamani na si kupenda kama zamani enzi za ujana wetu so ni wakati wako kumjua mungu na kumwomba mungu akuonyeshe..yawezekana kuna mambo mengine zaidi ya haya ambayo unaweza mtambua mtu anaekupenda kweli ama kukutamani kabla ya ndoa ...nasema hivi maana akishaaingia kwenye ndoa hilo lwako akutamani akupende no opt...saidia hawa wanaoenda kujaza makanisa jumamosi ,ijumaa zijazo na jumapili lkukiri madhabahuni wanapendana na baada ya mwezi wanarudisha certificates za ndoa...tuwasaidiaje