Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,377
Hili ndilo tatizo la ugeni. Ni juzi tu nimejiunga hapa na nina yangu ya moyoni nataka kushirikisha wanawake wenzangu lakini nashindwa kuyaweka hapa kwani naona kama vile pako hadharani mno. Nataka mahali penye faragha zaidi. Je hiyo faragha ipo hapa JF? Mahali ambapo mtu unaweza kujimwaga na mambo ya ki-utu-uzima bila wasi? Kwa anayejua anielekeze. Asanteni.