wakutomboka
Member
- Mar 11, 2012
- 25
- 4
jamani, kazi za nssf vp? Au ndo kushnei
Pole wakutomboka, bado unaziwaza hizo ajira za nssf? Kwanza unatakiwa ujisahili kuanzia dini yako mpaka ubini wako, kama watarajia credentials zako zikubebe hakika ndo utaijua kushnei.
alafu kulikuwa na tetesi cjui zimeishia wapi
Pole wakutomboka, bado unaziwaza hizo ajira za nssf? Kwanza unatakiwa ujisahili kuanzia dini yako mpaka ubini wako, kama watarajia credentials zako zikubebe hakika ndo utaijua kushnei.