MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Heshima wakuu
Naombeni munisaidie, hivi mfanyakazi akisha achishwa/kufukuzwa kazi na baada ya miezi sita kulipwa na NSSF michango yake ambayo aliwekeza NSSF, je hasitahili kulipwa gawio la faida ya vitega uchumi ambavyo NSSF wamewekeza? kwani ni pesa za michango ya mfanyakazi ambazo wametumia bila ridhaa nina ndugu yangu anataka kuwashitaki na ameniomba ushauri, sasa wana JF nimshauri vipi? maana mimi si mtaalamu wa Sheria
Naombeni munisaidie, hivi mfanyakazi akisha achishwa/kufukuzwa kazi na baada ya miezi sita kulipwa na NSSF michango yake ambayo aliwekeza NSSF, je hasitahili kulipwa gawio la faida ya vitega uchumi ambavyo NSSF wamewekeza? kwani ni pesa za michango ya mfanyakazi ambazo wametumia bila ridhaa nina ndugu yangu anataka kuwashitaki na ameniomba ushauri, sasa wana JF nimshauri vipi? maana mimi si mtaalamu wa Sheria