NSSF yatangaza hasara ujenzi daraja la Kigamboni

kbm

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
5,222
1,670
DARAJA.png

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali wakiangalia maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam unaoratibiwa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakati wa ziara ya kukagua miradi ya shirika hilo iliyofanyika jana.


MCL
 
Nimesoma heading hiyo hapo Mwananchi lakini cha kushangaza ni kuwa habari yenyewe haina uhusiano kabisa na kichwa hicho. Sikuweza kujua ni hasara ipi iliyotokea, kama ni wizi, overestimate au ni underestimate.
 
Nimesoma heading hiyo hapo Mwananchi lakini cha kushangaza ni kuwa habari yenyewe haina uhusiano kabisa na kichwa hicho. Sikuweza kujua ni hasara ipi iliyotokea, kama ni wizi, overestimate au ni underestimate.

Ugomvi na uchonganishi tu mkuu. Hakunaga kingine.
 
Back
Top Bottom