Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali wakiangalia maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam unaoratibiwa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) wakati wa ziara ya kukagua miradi ya shirika hilo iliyofanyika jana.
Nimesoma heading hiyo hapo Mwananchi lakini cha kushangaza ni kuwa habari yenyewe haina uhusiano kabisa na kichwa hicho. Sikuweza kujua ni hasara ipi iliyotokea, kama ni wizi, overestimate au ni underestimate.
Nimesoma heading hiyo hapo Mwananchi lakini cha kushangaza ni kuwa habari yenyewe haina uhusiano kabisa na kichwa hicho. Sikuweza kujua ni hasara ipi iliyotokea, kama ni wizi, overestimate au ni underestimate.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.