NSSF wapigwa chini, Kiwira wapewa Wachina; Ngeleja abebeshwa lawama

Nakubali kuwa Tanesco ina matatizo mengi, na hata wizara ya madini inayo matatizo mengi, lakini nisichokubali hata kidogo ni kuwa mtu wa kukabiliana na matatizo hayo ni huyu Ngeleja. Huyu bwana hana uelewa achilia mbali mbinu za kutatua matatizo ya umeme Tanzania. Hana.

Hata hivyo, mimi simlaumu Ngeleja, kwa sababu sijui aliyempa nafasi ya kuongoza wizara hii nyeti alimpa 'job descriprition' gani. Ya kuhakikisha nchi inakuwa gizani? Na kama siyo inakuwaje nchi iko kwenye giza lakini uliyempa madaraka ya kuleta mwanga anabakia ofisini?
 
Imeniuma sana kuona wazawa hatupewi nafasi ya kumiliki na kuendeleza maliasili zetu.nssf ingefaa wapewe mradi huu mkubwa na wakizalendo but...oh..it is painful kusikia wageni tu halafu hakuna chochote.ok wameamua ila siyo haki kwa mzalendo.
 
Hahahaa!
Bado tunasema tuna waziri hapa? Issue ya japan imeingiaje hapa?

Hivi january na kamati yake walivyotembelea mtera walikwenda kutambika au walikwenda kuvua kambale? Nini matokeo ya ziara yao?

Hivi kuna investiment gani kwenye umeme katika kipindi hiki cha chikwete? Au ni mitambo ya richmond na majenereta ya kichina kule kariakoo?

Aliingia kwa tambo nyingi za kumaliza tatizo la umeme! Really! Miaka hamsini? Sasa hivi wapo busy wanaandaa sherehe za 50yrs! 50yrs my arse!
 
Hapa dawa ni kuondokana na hii gundu la magamba. Magamba wamelaaniwa hawataweza kuisogeza popote nchi hii kila kukicha matatizo yaleyale.


Nci hii haitapona bila kuung'oa utawala wa magamba! serikali hii kamwe haitafanikisha chochote, huwezi kutumia shida za umeme kujinufaisha kifisadi halafu ukabaki bila laana!


Ngereja aliwekwa pale na RA ili kutimiza malengo ya mafisadi. Nadhani hata sasa kinacholengwa ni kutumia hizi shida ili watu wapate deal! Mungu amesikia mateso yetu ni lazima waangukie pua na ndo utakuwa mwisho waa magamba na vitongoji vyake. Kwa mateso haya ya watanzania ni lazima walaanike mwaka huu!
 
Kweli 10% mbaya, yaani NSSF imepigwa chini? Sidhani kama huko Uchina kama Kampuni ya nje zinapewa kandarasi kubwa huku kampuni za ndani zikinyimwa.
 
The trick is in what one emphasizes. We either make ourselves miserable, or we make ourselves happy. The amount of work is the same. All of them are Miserable starting from Mr. President whom ontime used to run the Ministry of Energy and Minerals
 

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA) alisema Shirika La Umeme Tanzania (TANESCO) likitumia asilimia 70 ya mapato yake kuyalipa makampuni ya kuzalisha umeme ambayo yanazalisha asilimia 40 tu ya umeme.

ngereja bana anataka kufunga watu mdomo kwa jeuri ipi au mamlaka yapi?
yeye hasubilia moto wa kuhujumu uchumu tu siku zake zikifika hata MRAMBA alikuwa ana bwabwaja kama yeye

Na sasa dogo kakosa hata washauri wa kuthibiti kauri zake au ndio bosi wake kamuambikia maradhi ya kutolokwa na kauli zenye uvundo

hivi huu msemo kutafuta maarufu wameutoa wame?
hata waha wa kutoka sengerema wanautumi duh
 
Mtoa hoja nadhani hukuwa na sababu ya kuzungumzia maswala mengi kwa wakati mmoja hali hoja kubwa ya mada hii ni kuhusiana na ukosefu wa Umeme. labda tu iwe kwamba kicha cha mada hii hakikubeba uzito wa hoja zako..

Binafsi inanisikitisha sana wakati watanzania walipokuwa wakipiga makelele kuhusiana na ununuzi wa Dowans, sasa tazameni mitambo imenunuliwa lakini haikutosha kabisa kukidhi mahitaji yetu wakati hilo shirika la Marekani linavuta hela kama vile wananchi wanapata Umeme. Niliwahi kusema mwanzo hatuhitaji mitambo ya Dowans na hata wale wanaosisitiza tuinunue mitambo hiyo wafahamu kwamba hizo mega haziwezi kabisa kuondoa adha iliyopo kwani Dar inahitaji nguvu za umeme mara mbili ya uzalishaji unaosambazwa leo.

Halafu ni vichekesho vikubwa sana kumsikia Waziri mzima akijaribu kuhalalisha lolote kuhusiana na Umeme, hata tukiacha swala la matatizo ya mji wa Dar pekee, huyu msanii anajua fika kwamba ni asilimia chini ya 15 ya wananchi wote nchini wanapata huduma hii... ASILIMIA !!%, heee sii aibu hii. Kisha kuuza sura na kujitetea ati wabunge wetu wanatafuta Umaarufu? hivi kweli tunahitaji mawaziri wenye akili mgando kama huyu, kesho tuna miaka 50 ndani ya Uhuru wetu lakini anashindwa kuitazama picha kubwa!.
 
Imeniuma sana kuona wazawa hatupewi nafasi ya kumiliki na kuendeleza maliasili zetu.nssf ingefaa wapewe mradi huu mkubwa na wakizalendo but...oh..it is painful kusikia wageni tu halafu hakuna chochote.ok wameamua ila siyo haki kwa mzalendo.

Sasa upewe nini zaidi ya hiki?:

The minister also urged private entities and individuals to invest in power generation as the Electricity Supply Act of 2008 had opened doors for private entities to generate power.
 
Ngeleja tooookaaaaaa madarakani,leo siku ya 2 hatuna umeme radio zetu na TV zimeanza kujaa mende,majokofu yanatoa halufu vyakula vyote vimeoza,wa kukudharau ni wewe Mwongo mkubwa,wakati unateuliwa ulisema mgao wa umeme tanzania itakuwa history,kulala gizani ni history?shughuli za uzalishaji zimekwama kwa sababu yako mdanganyifu mkubwa we,Mlaaniwe kabisa kwa udhurumati wa kodi zetu walala hoi.
 
Kweli 10% mbaya, yaani NSSF imepigwa chini? Sidhani kama huko Uchina kama Kampuni ya nje zinapewa kandarasi kubwa huku kampuni za ndani zikinyimwa.

china hawana huu upumbavu tuufanyao hapa bongo,
yaani China ukizima umeme bila taarifa yeyote kuanzia waziri hadi wafagiaji mtapotea daima hamtaonekana,

sisi tunabebana sana,mtu anapewa cheo eti kwa kuwa kapiga kampeni vyema ama kwa kuwa ni rafiki ama shemeji,hatutafika popote pale

lakini pia 10% nazo zimezidi kwa nini tusibadilike na kufanya kazi kwa maslahi ya Taifa?
 
Serikali ya CCM na hasa chini ya Ngeleja na wenzake hawana nia kabisa ya kumaliza shida ya umeme Tanzania . Ngeleja ni corrupt sana . Nina ushahidi mkubwa . Kila mwenye kutaka kulisaidia Taifa kwa Umeme hawampendi kabisa . Ngeleja anakali sana proposals za watu kila mara wakija watu ambao si watoa rushwa basi wanaishia kuondoka Nchini bila kusiia hata jibu la serikali . Tanesco ni mradi wa wao kula pesa CCM hakuna mwenye nia ya dhati ya kumaliza shida ya umeme Tanzania . Tutasema sana lakini si chini ya CCM. Ngeleja ana waangusha sana Watanzania ni mbaya kwa rushwa ile mbaya na hajawekwa pale kwa bahati mbaya no . Akibisha tuta anza kuchomoa mambo ambayo yeye kazuia watu kuzalisha umeme wa jua 2000mw .
 
Akibisha tuta anza kuchomoa mambo ambayo yeye kazuia watu kuzalisha umeme wa jua 2000mw .
Huu sasa unafki, yaani maovu yake unayajua lakini huyataji mpaka abishe? kwa hiyo asipobisha utaendelea kumfichia maovu yake?
 
Ngeleja ni corrupt sana . Nina ushahidi mkubwa ... Ngeleja anakali sana proposals za watu kila mara wakija watu ambao si watoa rushwa basi wanaishia kuondoka Nchini bila kusiia hata jibu la serikali . Tanesco ni mradi wa wao ... Tutasema sana lakini si chini ya CCM. Ngeleja... ni mbaya kwa rushwa ... na hajawekwa pale kwa bahati mbaya no . Akibisha tuta anza kuchomoa mambo ambayo yeye kazuia watu kuzalisha umeme wa jua 2000mw .
Weka mambo wazi tafadhali. Hakuna faida kuficha maovu ya mtu aliyepewa dhamana ya uongozi.
 
k aka acha kutetea ujinga. ngereja yupo wizarani hapo zaidi ya miaka 5 na tatizo la umeme


miaka 10 sasa . aliingia wizarani akijua changamoto zinazomkabili na kama alikuwa han jibu la Tatizo ni bora aachie ngazi kuliko kuendelea kulea uzembe. Tunahitaji waziri amabaye atakuja na suluhish na pale serikali itakapokataa ufumbuzi wake awe tayari kujiuzulu na sio wachumia tumbo kama ngereja

.

unauita ujinga kwa vile giza linakutesa lakini sio kumlaumu waziri mmoja ni serikali nzima. na kwa vile ni serikali ya zidumu ndo imekuwepo miongo yote 5 lawama zielekezwe huko. hata umuondoe ngereja hutapata mabadiliko makubwa kwani kiongozi wake yuko wapi au amekuwa wapi siku zote - kuzimu? si hapa hapa duniani.ngereja hajichagui kuwa waziri na hana nguvu ya kuendelea kuwa waziri. msimuonee ngereja.
 
THE Government has accepted China's offer to run Kiwira Coal mine and therefore ditching the National Social Security Fund (NSSF) to run the same.

The Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, told journalists here on Sunday that the Chinese government would invest 400 million US dollars (about 600bn/-) under a soft loan arrangement.

The minister was briefing the media on current status of power generation in the country and measures taken by the government and Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) in addressing the situation.

Mr Ngeleja mentioned several criteria used to accept the Chinese government's offer including timing of applications to run the mine and magnitude of investment. Kiwira Coal mine is projected to generate 200MW upon its completion.

He revealed that five organisations including NSSF applied to run the project but the government decided to accept Chinese offer.

"NSSF applied to develop the mine last December while the Chinese applied before and pledged to invest 400 milliom US dollars through soft loans.

"NSSF advanced several reasons to take over the project including the reason that former investors of the project owe them a lot of money, but the former investors owe various institutions including CRDB Bank," the minister explained.

Mr Ngeleja noted that the government also considered other factors including capital, technology and expertise of applicants in power generation.

He further revealed that the government also took into consideration long relations between Tanzania and China.

He, however, appreciated the NSSF's offer, welcoming the Fund to invest in other projects such as development of natural gas projects.

The minister also urged private entities and individuals to invest in power generation as the Electricity Supply Act of 2008 had opened doors for private entities to generate power.

Mr Ngeleja said that the government was still pondering on whether to unbundle TANESCO in generation, transmission and distribution separate entities or not.

"Let me remind you that transmission of electricity is a very sensitive issue. But the private sector is allowed in power generation and they should seize the opportunity to generate power instead of insisting privatisation of TANESCO.

"People should not mislead the public that the government is entertaining TANESCO's monopoly, I wonder why private entities have not joined hands to generate power while they're allowed by the law," he stressed.

Speaking on the status of power supply in the country, the minister attributed the current power rationing to drought that had forced hydro power plants to operate below capacity.

He, however, expressed optimism that the situation would be addressed soon following conclusion of agreements between TANESCO and Agrrieko and Symbion in which the two firms would generate a total of 212.5MW.

Mr Ngeleja also stated that Treasury had pledged to release funds by this week to enable ITPL to generate 100MW.

He rubbished claims by some people that the government and TANESCO had not been doing enough to address power woes, adding that some people are orchestrating such claims to meet their political interests.

Source: Daily News | China to run Kiwira Mine
 
Mhhhhhhh!
~*~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~~**~**~~**~~**

By DAILY NEWS Reporter, 27th June 2011 @ 16:00,

KIWIRA coal mine in Mbeya Region, which has won a 400m US dollars (about 600bn/-) Chinese soft loan will be run by the State Mining Corporation (STAMICO) and not China as reported on Monday.

Energy and Minerals Minister William Ngeleja, has clarified that China was only a financier for the project to generate 200 MegaWatts.

A report in the 'Daily News' had quoted Mr Ngeleja as telling journalists in Dodoma last Sunday that the Chinese had been given preference over NSSF to run the mine.

"We will run it ourselves through STAMICO using a soft loan from China," said the minister by telephone from Dodoma yesterday.

Discussions with China to finance the project started in 2008/09 when the mine was repossessed by the government from a controversial local investor, Tanpower resources.
 
Kuna makosa NSSF waliyafanya na hawakuwa tayari kusikiliza kwenye suala la Kiwira. Na hawakuwa tayari kusikiliza ushauri mzuri wakiamini hawakuuhitaji. Oh well.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom