Mimi ni mwajiriwa katika kampuni moja jijini/mjini Arusha (jina kapuni), pamoja na wenzangu kama sita (6) hatujalipwa mishahara yetu tangu October 2010. Juzi (juma lililopita) tumelipwa mshahara wa mwezi mmoja tu tena umeandikwa ni wa January 2011.
Niliona ni vizuri kutafuta kazi nyingine wakati nasubiri kulipwa mshahara wangu mwingine uliobaki kwani tunaelezwa kuwa tutalipwa ila kwa sasa kampuni haina pesa.
Jana nimepokea statement yangu ya NSSF na kukuta kuwa michango yangu haijapelekwa tangu May 2010 - sijui kwa wenzangu.
Ninamkataba wangu wa ajira unaisha (expire) August 2011.
Wana JF naomba ushauri katika hili.
Niliona ni vizuri kutafuta kazi nyingine wakati nasubiri kulipwa mshahara wangu mwingine uliobaki kwani tunaelezwa kuwa tutalipwa ila kwa sasa kampuni haina pesa.
Jana nimepokea statement yangu ya NSSF na kukuta kuwa michango yangu haijapelekwa tangu May 2010 - sijui kwa wenzangu.
Ninamkataba wangu wa ajira unaisha (expire) August 2011.
Wana JF naomba ushauri katika hili.