Elusive
JF-Expert Member
- Nov 26, 2008
- 223
- 4
Mbona hawa NSSF hawajengi kwenye ile plot yao katika makutano ya Mtaa wa India na Azikiwe karibu na Haidary Plaza? nasikia mchoro ulikuwa tayari kabla ya Mustafa Mkullo kuachia ngazi pale. Nini kimemfanya Dau ashindwe kuingiza pesa sehemu nzuri ile ya biashara?