Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Jamani sijui wenzangu mna mtazamo gani juu haya mashirika ya niliyoyataja hapo juu ne mengine kama hayo katika kuwawezesha wananchi.
Binafsi naona mashirika haya kwa kiasi kikubwa hayawatendei haki wanachi ambao ndio wadau wakubwa na wachangiaji kwa kukatwa mishahara kila mwezi
Cha kushangaza mashirika haya hayaweki msukumo wa kuwa na miradi amabyo inawelnga zaidi wadau wakubwa ambao wengi ni kipato cha kawaida.mashirika haya yaningia kwenye si tu miradi mikubwa bali ambayo haina manufaa kwa wanachi wa kawaida.
Mashiriaka haya yanaangalia zaidi faida yao badala ya kuangalia faida gani wananchi wa kawaida wanapata.
kipi chenye faida zaidi kwa jamii kati ya kujenga jengo kubwa ( Tower) ambazo zinapangishwa kwa biashara au kujenga nyumba ndogo ndogo na kuziuza kwa mikopo kwa wananchi?
Mimi naona haya mashirika yaanaitakiw ayabadilishe mtazamo na ikiwezezekana serikali iyalazimishe yajenge nyumba kwa ajili ya makazi badal aya kwenda kwenye miradi yenye mtazamo wa faida zaidi na isiokuwa na faida kwa wanachi
Nina uhakika mfanyakazi anayestaafu hawezi kufaidika na mfumo ulipo wa haya mashirikia zaidi ya kumdidimiza kwenye umasikini. kwani kwa thamani ya shilingi yetu inavyoshuka haya mafao hayana faida kabisa.
Miji na vitongoji vitapangika na kupendeza zaidi kukiwa na uniform construction. Miji inayopendeza ya ulaya ni mfano mizuri wa miradi kama hii. Mfano ule mradi wa NHC wa nyumba za makazi tegeta ungetekelezwa kila mkoa na haya mashirika nadhani tungekuwa mbali kwa suala la mipango miji
Changamoto natoa kwa haya mashirika yaachane na niradi maghorofa na badala yake yajaribu kuangali faida ya wadau zaidi kuliko faida zaid. Hii ni mifuko sio kampuni.
Chanamoto nyingine kwa wadau walio tanzania ni tujaribu kujiuliza tutapokea shilingi npi kwa mwezi tukijalliwa kustaafu?
Nawasilisha
Binafsi naona mashirika haya kwa kiasi kikubwa hayawatendei haki wanachi ambao ndio wadau wakubwa na wachangiaji kwa kukatwa mishahara kila mwezi
Cha kushangaza mashirika haya hayaweki msukumo wa kuwa na miradi amabyo inawelnga zaidi wadau wakubwa ambao wengi ni kipato cha kawaida.mashirika haya yaningia kwenye si tu miradi mikubwa bali ambayo haina manufaa kwa wanachi wa kawaida.
Mashiriaka haya yanaangalia zaidi faida yao badala ya kuangalia faida gani wananchi wa kawaida wanapata.
kipi chenye faida zaidi kwa jamii kati ya kujenga jengo kubwa ( Tower) ambazo zinapangishwa kwa biashara au kujenga nyumba ndogo ndogo na kuziuza kwa mikopo kwa wananchi?
Mimi naona haya mashirika yaanaitakiw ayabadilishe mtazamo na ikiwezezekana serikali iyalazimishe yajenge nyumba kwa ajili ya makazi badal aya kwenda kwenye miradi yenye mtazamo wa faida zaidi na isiokuwa na faida kwa wanachi
Nina uhakika mfanyakazi anayestaafu hawezi kufaidika na mfumo ulipo wa haya mashirikia zaidi ya kumdidimiza kwenye umasikini. kwani kwa thamani ya shilingi yetu inavyoshuka haya mafao hayana faida kabisa.
Miji na vitongoji vitapangika na kupendeza zaidi kukiwa na uniform construction. Miji inayopendeza ya ulaya ni mfano mizuri wa miradi kama hii. Mfano ule mradi wa NHC wa nyumba za makazi tegeta ungetekelezwa kila mkoa na haya mashirika nadhani tungekuwa mbali kwa suala la mipango miji
Changamoto natoa kwa haya mashirika yaachane na niradi maghorofa na badala yake yajaribu kuangali faida ya wadau zaidi kuliko faida zaid. Hii ni mifuko sio kampuni.
Chanamoto nyingine kwa wadau walio tanzania ni tujaribu kujiuliza tutapokea shilingi npi kwa mwezi tukijalliwa kustaafu?
Nawasilisha