nssf na ppf kukopesha wanachama

alan

Member
Feb 20, 2012
17
2
Wanaforum kuna hii kitu inaniumziga kichwa kuhusu hawa ppf na nssf ni kwa nini wanashindwa kutoa mikopo kwa wanachama wake na badala yake wanakazi ya kutoa mikopo kwa serikali na wafanyabiashara wakubwa huku ikiwaacha wanachama wake wakiwa masikini.na wengi wao masikini ya mungu hawana sifa ya kupata mikopo kwenye mabenki.kwa mfn unakuta anamichango yake nssf au ppf nk ml 7 kwanini huyu mtu asiitumie hiyo pesa yake kama dhamani akaweza kupata mkopo kwny mfuko husika akafungua hata biashara ambayo itakuwa msaidia kuongeza kipato chake hapo ndiyo ile kauli ya tuna ya jenga maisha yako ya baadaye ita leta maana.maisha ya uzeeni yana jengwa ujanani.maana tunaona hao waliostafu jinsi wanavyo taabika
 
Wanaforum kuna hii kitu inaniumziga kichwa kuhusu hawa ppf na nssf ni kwa nini wanashindwa kutoa mikopo kwa wanachama wake na badala yake wanakazi ya kutoa mikopo kwa serikali na wafanyabiashara wakubwa huku ikiwaacha wanachama wake wakiwa masikini.na wengi wao masikini ya mungu hawana sifa ya kupata mikopo kwenye mabenki.kwa mfn unakuta anamichango yake nssf au ppf nk ml 7 kwanini huyu mtu asiitumie hiyo pesa yake kama dhamani akaweza kupata mkopo kwny mfuko husika akafungua hata biashara ambayo itakuwa msaidia kuongeza kipato chake hapo ndiyo ile kauli ya tuna ya jenga maisha yako ya baadaye ita leta maana.maisha ya uzeeni yana jengwa ujanani.maana tunaona hao waliostafu jinsi wanavyo taabika

aisee kama ataweka pesa yake kama dhamana ya mkopo anaouitaji mimi na dhan huo sio mpkopo
 
sidhani kama ppf Arusha watapasta hiyo mikopo maana kuna huyo senior operations officer wa wakike sijui cheo yeye alipata kwa chupi maana anacho jua yeye ni lunga mbovu, chafu na majivuno, anaitwa WARDA. ndugu yangu Ruhasha ( Zonal Manager ) kama hujui anaye haribu PPF North Zone ni WARDA
 
aisee kama ataweka pesa yake kama dhamana ya mkopo anaouitaji mimi na dhan huo sio mpkopo

michango yako ndiyo inakufanya uwemwanacha wa mfuko husika kwa maana hiyo wingi wa michango yako ndiyo itakufanya upate mkopo mkubwa mwenye mia akopeshwe mia mbili sasa pesa yetu wako na kazi ya kuwakopesha akima manji siye wenye pesa tunabaki tunalia njaa
 
Wanaforum kuna hii kitu inaniumziga kichwa kuhusu hawa ppf na nssf ni kwa nini wanashindwa kutoa mikopo kwa wanachama wake na badala yake wanakazi ya kutoa mikopo kwa serikali na wafanyabiashara wakubwa huku ikiwaacha wanachama wake wakiwa masikini.na wengi wao masikini ya mungu hawana sifa ya kupata mikopo kwenye mabenki.kwa mfn unakuta anamichango yake nssf au ppf nk ml 7 kwanini huyu mtu asiitumie hiyo pesa yake kama dhamani akaweza kupata mkopo kwny mfuko husika akafungua hata biashara ambayo itakuwa msaidia kuongeza kipato chake hapo ndiyo ile kauli ya tuna ya jenga maisha yako ya baadaye ita leta maana.maisha ya uzeeni yana jengwa ujanani.maana tunaona hao waliostafu jinsi wanavyo taabika

Hii mifuko inawanyonya wateja wake. Is it possible for the upcoming katiba to address this!
 
Back
Top Bottom