Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Dada Asha,
Mbona hicho ni kitu cha kawaida kwenye sheria? Wao wamekata rufaa na jaji kaamua wasikamatwe mpaka rufaa yao isikilizwe.
Pili kama jaji alisema NSSF hawana case asingelisema waende wakakubaliane nje ya mahakama. Mara nyingi cases za biashara wahusika wanapewa nafasi ya kukaa pamoja na kukubaliana nje ya mahakama mpaka pale wanaposhindwa kukubaliana.
Mtanzania,
kwa msingi huu, basi inabidi mahakama zitoe uamuzi ili ijulikane kama kuna case au hakuna. Inaonekana kuna watu huko NSSF hawataki hii case iishe na walikuwa wanataka kutumia hii case ili kuzuia presha dhidi ya serikali ili kukamata wote walioiba pesa BoT. Kumbuka how many days zimepita hapa JF ambako watu walitaka story za wizi BoT zisahauliwe.
Sasa wameumbuka na for another time, Kikwete anashauriwa na JF ili atoe majina ya waliokwiba pesa BoT. Hapa halali mtu na hawamishwi mtu mawazo mpaka kieleweke BoT!