mwana wa mtu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 220
- 53
..Ni mwendelezo tu wa Kumsaidia 'aliyeshindwa'..hatari tu ni kuwa katika kumsaidia hivyo..wanajisaidia wao kwa wao..na hivyo ni mwendelezo wa ufisadi mkubwa zaidi..naogopa sana vijana kama kina Zitto wanapoendelea kutumiwa katika 'deal' kama hizo kuzipigia chapuo n.k..poor my country Tanzania!..