NSSF kutumia Tsh 400 bil kuzalisha megawati 300: Yajitahidi kuchukua KIWIRA

Sina utaalam wa umeme wa mkaa (quality), lakini najua Kiwira Coal production ni dogo na HUTOA low quality coal - mkaa umejaa ash. Kuinua quality inabidi kuosha mkaa - ina maana ghali. Isije kesho NSSF wakaanza (I doubt kama watawekeza kweli) kuagiza mkaa toka Zimbabwe ama Zambia kama walivyofanya MBEYA CEMENT.

NSSF wangewekeza KUNUNUA mgodi na kukarabati power plant iliyopo hapo Kiwira kwanza (nadhani ni 10 MW) na kuwauzia TANESCO umeme. Baada ya hapo kama kuna faida ndo watajua wafanye nini. Halafu KIWIRA coal wanamatatizo ya uzalishaji na soko kiasi kwamba wafanyakazi hawajalipwa mishahara miaka mingi - NSSF itabidi kuwalipa hao kwanza (ghali) na ni wengi maana waliajiriwa wakati huo wa 'mali ya umma'.

Humu JF karibuni kumeongelewa mradi mwingine wa Liganga-Mchuchuma (NDC & *********) wa umeme wa makaa ya mawe bil 3 usd ambapo SICHUAN-HONGDA ya China - Sichuan wame-win tender. Sasa ni vizuri mradi mmoja ukawa ktk full swing ya ujenzi ndio kina Dau watuletee hizi hadithi za NSSF. CCM waache kutuchanganya ili kupata mianya ya kutufisadi, wafanye kazi ionekane.
 
1. Ila inabidi wakumbuke kuna tofauti kubwa sana kati ya biashara ya majengo na hii ya umeme.
2. Napendekeza mbali ya kuweka nguvu nyingi katika kuwekeza, vilevile waangalie uwezekano wa kumnufaisha mfanyakazi ambaye ndiye anayewawezesha.

Watengeneze utaratibu utakaompatia mfanyakazi japo mikopo kabla hajafikia uzeeni. Siyo kusubiri hadi afikie miaka 65 eti ndio aanze kula pensheni. Anakaa miezi 6, anaaga dunia. Iwapi faida hapo.
Kupatikana kwa umeme wa uhakika ni njia mojawapo ya kumnufaisha mfanyakazi
 
Bilioni 400 kuzalisha 300MW? REally? and is that a good deal? Kiwira ingechukuliwa na Tanesco moja kwa moja...

"Sh400 bilioni ikiwa ni makadirio ya juu"

Sentensi hiyo hujaisoma? Au umedhamiria kuponda tu?

Kumbuka, kila mtambo wa umeme unapokuwa ghali zaidi, inamaanisha ni modern zaidi na high-tech na gharama ya uzalishaji itapunguwa sana.

Mfano, unaweza kununuwa ma-jenereta ya diesel kwa billioni 150 yakazalisha 300mw lakini gharama zake za kuzalisha umeme ni kubwa ukilinganisha na gas turbines ambazo ununuzi na ufungaji wake ni wa gharama zaidi ya jenereta za diesel lakini uzalishaji wake ni wa gharama nafuu.

Nadhani umeelewa na kama hujaelewa, sijui niseme una koroma badala ya kichwa?

Pia napenda uelewe kuwa kuzalisha nishati kutoka nishati kuna hitaji utaalam wa hali ya juu, nao pia si rahisi kuupata.
 
Sababu ya pili,

Project ya kutandaza mabomba ya gesi katika miji mikubwa ya Dar na Mwanza kutasaidia kushusha gharama za maisha kwa kiwango kikubwa sana ila umakini na ungalifu mkubwa unahitajika kuhakikisha usalama wa raia. Gesi ikifika majumbani mwetu tutapunguza gharama za mkaa tunaonunua kila siku kwani gesi itakuwa bei rahisi mno. Vilevile tutahifadhi mazingira kwani mahitaji ya makaa itakwisha kwani itabidi kila mkaazi wa dar atumie gesi kwa mahitaji yake.
nia ya nssf sio kutandaza mabomba ya gesi dar (residential gas piping) bali kutoa gesi kutoka kusini kuifikisha dar (transporting gas from source to dar). kutandaza mambomba ya gesi kwenye jiji ni dreams kubwa sana neither nssf nor the govt can afford. I wish kungekuwa kuna gas majumbani lakini kabla ya gas naomba mabomba ya maji safi na maji taka ili tuachane na nyonya mavi na madumu please
Sasa kama if every thing goes to plan sijui wataweza price per unit bei gani ila mfano kama wakiweza kusupply Dar na Mwanza miji ambayo jumla ina wakaazi karibia milioni 6 au 7 . Unakutaka jamaa wana wateja kama milioni 4 ambao watabidi watumie gesi kupika, kuwashia baadhi ya mashine. wakiuza unit moja shilling 72 (my assumption).

Kwa mtumiaji wa kawaida according to experience yangu katika kazi hizi unajikuta.
Household consumer:
sidhani hata kama anapika kiasi gani unit 100 ni nyingi sana kwa mwezi= 72 x 100 = 7200 x 3,000,000 (Households Mwanza na Dar (assumption tu)= 23 Billion per month

Business consumer:
tuseme yeye anachargiwa unit 1 ni kama shillingi 100
Unit 200 kwa kila business consumer = 100 x 200 = 20,000 x 1,000,000 = 20 Billion per month

Sasa hata kama hiyo project itacost Billioni 1000 wanauwezo wa kurudisha hizo hela kwa muda mfupi sana.

wingi wa unit moja utatokana na uzito wa hiyo unit. ie unit moja ya umeme sio lazima iwe sawa sawa na unit moja ya gasi eg kuongea tigo dakika 1 ni nusu shilingi, airtel ni robo na voda ....
kuna charge kama za ewura, vat, nk...
uwekezaji mkubwa unatakiwa kurudisha hela kwa mda mrefu, ukisikia kampuni imewekeza hela nyingi halafu inarudisha hela kwa mda mfupi ujue kuna mtu anaibiwa vibaya sana ie dowans yaani bei ya kukodisha mwaka mmoja ni zaidi ya kununua hilo jenereta hii ni more than a business
 
Sadick Mtulya

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), unatarajia kutumia Sh400 bilioni kuzalisha megawati 300 za umeme na kuziingiza katika gridi ya taifa, ifikapo Desemba mwaka huu.

Naomba tujadilini nitaeleza sababu zangu baadae[/B]


kuna mtu ana audited statement za nssf za last 3yrs
kweli dr dau na usomi wake wote hataki kuweka financial report za kampuni online
kwa ajili hawa jamaa wamewekeza hela nyingi sana serikalini na hawajalipwa bado
wanawezaje tena kuja na 400bn ina maanisha nssf ni cash rich na inaweza kuwa na hata 1trillion
 
Mdondoaji, kiasi gani kinahitajika kujenga bwawa la umeme wa kuzalisha 300MW?

Kiasi gani kinahitajika kufanyia matengenezo mabwawa yaliyopo ili kuweza kuyarudisha katika kiwango cha juu cha uzalishaji wa angalau 300MW?

Mkuu,

Kujenga a river damn project itagharimu taifa much cheaper than building a coal mine na binafsi naunga mkono tujenge river damn ila indirect cost za river damn kama environmental hazards ni kubwa ila kwashida tuliyonayo hatuna namna. Na kama river damn ya Mtera inauwezo wa kuzalisha MW 530 na Mtera ina capacity ndogo kulinganisha na mto Rufiji. Tatizo ni siasa zinatumika kwani river Rufiji plan zipo (Stiegler Gorge) kuna kampuni inaitwa Energerm walifanya utafiti wakasema ina uwezo wa kuzalisha 900MW!!!! (mahitaji yetu ni 833 kadirio la juu kabisa).
 
Hivi kwa nini tunahangaika kila leo kumbe dawa ya matatizo yote tunayoyapata ni Dr. Ramadhani Dau na NSSF. Ningemshauri Dr. Ramadhani Dau asiishie kuwekeza katika umeme tu, aangalie na matatizo ya maji, elimu, usafiri, mawasiliano, afya na mambo yote yale yanayotuletea kero.

Hakika Dr. Ramadhani Dau kwa ubunifu wake katika kuboresha maisha ya Watanzania, ameonyesha ufanisi na uzalendo wa hali ya juu na sioni kwa nini wananchi wasimkabidhi kabisa nchi hii aiendeshe. Dr. Dau, upo ? Tumekwama tuokoe !

Mie ningeshauri watu kama Kina dau wapewe wizara maana najua sio wanasiasa ila watu innovative ni vema tukaibadilisha sheria yetu ya mawaziri wawe wa kuteuliwa hii biashara ya waziri lazima awe mbunge inatukosesha watu wazuri wenye kuweza kuleta maendeleo ya nchi.
 
China To Invest $400m For Kiwira Coal Project


EBR Staff Writer
Published 12 August 2009


The government of China has offered $400m loan to the Republic of Tanzania for a 200MW coal power project, informed the Chinese government.

Mizengo Pinda, Prime Minister, revealed that the Chinese government plans the investment to revive the controversy-plagued Kiwira coal mine in Mbeya Region.

Pinda said the Government and China have plans to operate the mine, with China to pump in the huge amount of funds over unspecified period. Some Chinese investors, linked with a joint venture in privatisation, aimed at generating 200MW of electricity using coal.

William Ngeleja, energy and minerals minister, informed that the funds would be invested in Kiwira coal power project, which the government has acquired from private investors.

William Ngeleja, said: "This is a short-term project. Give it two years and it will be generating 200MW."

Currently, the deamand for the electricity in the east African nation is 787MW and is expected to be increased to approximately 900MW by the end of 2009.

===================================

The Citizen
(Dar es Salaam)
12 August 2009


Tanzania: China Set to Pour Sh520 Billion Into Kiwira Coal Mine

The Chinese government is to invest $400 million (Sh520bn) to revive the controversy-plagued Kiwira coal mine in Mbeya Region, Prime Minister Mizengo Pinda announced yesterday.

Pinda said the Government and China have agreed to run the mine, with China expected to pump in the huge amount of funds over unspecified period of time in efforts revamp the mine's operations currently in limbo.

Speaking in Kiteto District yesterday as part of his tour of Manyara Region, Mr Pinda revealed that the Government had settled on China among hundreds of other bidders to take over the running of the mine.

Mr Pinda did not give further details on the Chinese deal for the mine whose privatisation in 2005, to a firm reportedly linked to former President Benjamin Mkapa, failed and ignited public resentment of the State's handling of the matter.

The Prime Minister spoke at a function to inaugurate an international school in Kiteto that was also build with support of Sh1 billion donated by China. He said the school was testimony to the continued good bilateral relation between the two countries, adding that the China was also going to play a major role in the revival of Air Tanzania Company Limited (ATCL), and also the funding of the agricultural bank.

At the Kiwira coal mine, China would be making a come back following the Asian country's contribution in building the mine in the early 1980s for Sh4.2 billion. The mine had, however, underperformed over the years and grounded to a halt following lack of investment and business, before the Mkapa administration decided to sell it in the controversial deal.

Some Chinese investors were also linked with a joint venture in the privatisation that was aimed at generating 200MW of electricity using coal. It was, still therefore, not clear if the same firms would be involved in the deal announced by Mr Pinda.

Last month, the Government, however, absolved Mr Mkapa from suspicion surrounding the mine's sale, with Energy and Minerals minister Mr William Ngeleja, telling Parliament that the former President withdrew his shares from the firm in 2005.

Mr Ngeleja explained that the former President's 200,000 shares in the venture, held through ANBEN Ltd, were recalled after the firm failed to pay for them. This appeared to absolve him from accusation that he used his influence as head of state to engineer the failed venture.

The minister said the Government had resolved to compensate other firms involved in the sale venture and retake the coal mine for development. The other firms included Devconsult International Ltd, Universal Technologies Ltd, Choice Industries Ltd and Fosnik Enterprises Ltd. Each held equal stake like that of Mr Mkapa.

The mine has since been reanmed Kiwira Coal and Power Limited (KCPL), with the Government then saying any new firm that takes over its operations would work jointly with the State Mining Corporation (Stamico) and the Tanzania Electricity Supply Company (Tanesco).


==================================

By ALVAR MWAKYUSA,
12th December 2010

CONTROVERSY still surrounds the takeover of Kiwira Coal and Power Limited (KCPL) by the government, since it is not clear who is incharge of the property.

The revelation comes at a time when the government says it has secured a soft-loan of $400 million (about 600bn/-) from China to revamp the facility which was sold to TANPOWER Resources Limited in 2005 for just 700m/- under dubious circumstances.


According to the Minister for Energy and Minerals, Mr William Ngeleja, the government has secured the soft loan from the government of China to generate some 200 megawatt (MW) of electricity at the facility.


In his contribution during the Ministry of Energy and Minerals’ working-session held in Dar es Salaam on Friday, the ministry’s Director of Policy and Planning, Mr Invocavit Swai wondered as to why the mine had not been fully taken by the government.


“We need to know whether the government owes the company or it is the other way round. There was an assessment which was to be carried on the company to establish its assets and liabilities but nothing is happening,” charged Mr Swai, at the meeting which was chaired by Minister Ngeleja.


Also present at the meeting was Deputy Minister, Mr Adam Malima as well as other top officials from the ministry.


In response, the Commissioner of Minerals in the ministry, Dr Peter Kafumu maintained that there was no going back on the issue since the decision to repossess Kiwira was reached in Parliament.


He explained that discussions were at advanced stage between the responsible parties and that unanswered questions will soon be brought to the limelight.


“Discussions are at advanced stage between the investor, Treasury Registrar, State Mining Corporation (STAMICO), Tanesco and Consolidated Holdings Corporation (CHC),” Dr Kafumu said.


Adding; “It’s after these discussions have been finalized that we will be able to know the real situation.”


Speaking to reporters later, Minister Ngeleja said it was resolved that Kiwira be put under Tanesco and Stamico, but quickly added that discussions between responsible parties would give a clear direction of the issue.


The mine was built in the 1980s for 4.2bn/- by the Chinese government, before it was sold under dubious circumstances to TANPOWER Resources Limited in 2005.


Mr Ngeleja is on record for saying that as part of the buyback plan, the government intends to reimburse shareholders' costs incurred since taking over the mine.


But the Parliamentary Energy and Minerals Committee strongly rejected such intentions, demanding instead that the private investors (TANPOWER Resources) return to the state some 17bn/-.


The committee’s then chairman and former Bumbuli lawmaker, Mr William Shellukindo had said it was absurd for the government to consider reimbursing the Kiwira mine shareholders for costs incurred, even in the face of failure to develop the facility since acquiring it from the government.


==================================

MPs query 10bn/- NSSF loan to Kiwira mine company

THISDAY REPORTER
Dodoma

THE opposition camp in Parliament has demanded explanations from the Government over the circumstances surrounding a $7m (approx. 10bn/-) loan given to the Kiwira Coal and Power Company Limited by the state-owned National Social Security Fund (NSSF).

Lawmakers noted that the short-term loan issued in 2007 was supposed to be repaid in full with interest within six months, but the privatised Kiwira mine company has so far defaulted on the payments.

’’It is surprising that the Government offered to guarantee this loan because it is the people, including NSSF members, who will be forced to shoulder this burden if the Kiwira company cannot pay,’’ the Shadow Minister for Labour and Youth Development, Salim Abdallah Khalfani, declared in Parliament yesterday.

Khalfani, the legislator for Tumbe Constituency in Pemba on a CUF ticket, was presenting the opposition camp’s rejoinder to the Ministry of Labour, Employment and Youth Development’s 2009/10 budget proposals presented by Minister Prof. Juma Kapuya.

NSSF, the country’s biggest pensions fund, falls under the portfolio of the labour ministry. The opposition camp demanded clarifications from the Government on overall expenditures amounting to more than 72bn/- made by NSSF in the previous financial year.

Khalfani echoed a catalogue of audit queries previously raised by the Controller and Auditor-General (CAG) on the hugely controversial NSSF loan to Kiwira Coal and Power Company Limited.

According to the CAG’s latest annual report, NSSF offered the hefty loan to the company running the Kiwira coal mine in Mbeya Region without any backing through collateral.


Thus NSSF, as the lender, has no entitlement to any Kiwira Coal and Power Company assets in the event of the borrower failing to repay the loan.

The July 10, 2007 loan agreement does not specify any collateral offered as security, besides generally stating under section 10.15 that all properties and business should be kept insured.

According to the CAG’s report, NSSF issued the unsecured investment loan to the company contrary to the pension fund's own regulations.

Section 2.4.1 of NSSF’s investment manual directs that security to investment loans should be first charged on fixed and immovable assets, which can be easily sold to cover any risk of default.

The loan to Kiwira Coal and Power Company, which was formed to run the mine following its 2005 privatization and hand-over to private company TANPOWER Resources in much-documented circumstances, was guaranteed 75 per cent by the Government.

Available records show TANPOWER Resources to be the current main shareholders in the privatised mine, holding a 85 per cent stake while the Government continues to retain the remaining 15 per cent.

The records also show TANPOWER Resources to be a private company whose senior shareholders include close relatives of ex-president Benjamin Mkapa and ex-energy and minerals minister Daniel Yona.

According to previously-published THISDAY findings, the 2005 ’fast-track’ privatisation exercise which ultimately saw TANPOWER Resources assume control of the mine was apparently jointly engineered by Mkapa and Yona, in their capacities as president and minister responsible for minerals at the time.

The subsequently-formed Kiwira Coal and Power Company Limited then entered into a lucrative, $271m (approx. 380bn/-) deal with the state-owned Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) to supply up to 200 megawatts of coal-fired electricity to the national power grid.

Prime Minister Mizengo Pinda recently announced in Parliament that the Government will regain 100 per cent ownership of the Kiwira mine, thus effectively reversing the dubious privatisation process.

The upcoming 2009/10 budget proposals of the Minister for Energy and Minerals, William Ngeleja, are expected to shed more light on exactly how the Government will go about re-nationalising the mine.

=======================================

Tanzania turning to coal-generated electricity

DAR ES SALAAM, TANZANIA

In a move to diversify electricity generation, the Tanzanian government is negotiating with a local coal company about generating and supplying electricity to the national power grid, local media reported recently.

Both the government and the state-run Tanzania Electric Supply Company Limited are negotiating with the Kiwira Coal and Power Company, a public firm, on the feasibility of feeding 200 megawatts of electricity to the national grid by the end of next year.

The negotiations are expected to finally conclude late this April or early next month, according to sources close to the Ministry for Energy and Minerals.

The coal company is said to have the potential of generating 400 megawatts of electricity.

But the three parties now involved in the negotiation have agreed through an agreement of intent about a scheme of tasking the coal company to generate 100 megawatts by mid next year and adding up another 50 megawatts by the end of next year.

Tanzania has been relying on hydropower for the past four decades, with seven hydropower plants combining to boast of an installed electricity generating capacity of 656 megawatts.

Yet due to the failure of rainfall in the short rain season late last year and early this year, these hydropower plants were only operating at 30 percent of their capacity, thus causing a nationwide power rationing that at one time lasted for as long as 16 hours a day in Dar es Salaam.

Tanzania's demand for electricity is 550 megawatts while its actual power consumption is around 400 megawatts.

The east African country has been resorting to natural gas- fired turbines to compensate for the electricity shortfall.

The steadily decreasing rainfall in recent years have forced the Tanzanian authorities to consider diversifying electricity generation so as to reduce sole reliance on hydropower, though affluent in the country but unreliable.

Natural gas is one source of energy for this power generating diversification program while coal stands the other, according to the ministry sources.


==================================

My Take:
Huu mtandao wa buibui utageuka na kuwakamata watu huko mbeleni tutashangaa.

Hizo fedha walizopewa na China dola milioni 400 zina uhusiano wowote na shilingi bilioni 400 (msiniulize juu ya exchange rate - maana sehemu nyingine ikigeuzwa kuwa hela ya madafu inakuwa bilioni 520) ambazo NSSF imesema iko tayari kutumia?

Maana kama NSSF itatumiwa kupitisha fedha toka China itabidi tujiulize kwanini wasiingize kupitia Tanesco au STAMICO?

Mkuu,

Hapa nakuunga mkono hasa la mkopo wa $7 Million bila ya collateral aisee!
 
Mkuu,

Kujenga a river damn project itagharimu taifa much cheaper than building a coal mine na binafsi naunga mkono tujenge river damn ila indirect cost za river damn kama environmental hazards ni kubwa ila kwashida tuliyonayo hatuna namna. Na kama river damn ya Mtera inauwezo wa kuzalisha MW 530 na Mtera ina capacity ndogo kulinganisha na mto Rufiji. Tatizo ni siasa zinatumika kwani river Rufiji plan zipo (Stiegler Gorge) kuna kampuni inaitwa Energerm walifanya utafiti wakasema ina uwezo wa kuzalisha 900MW!!!! (mahitaji yetu ni 833 kadirio la juu kabisa).

Mkuu sana ni 2100MW

Stieglers Gorge ni nini hasa? Stieglers Gorge ni mpalio mwembaba unaopatikana kwenye bonde la mto Rufiji, kilomita 374 toka jijini Dar es salaam. Kwa utafiti uliowahi kufanyika mwishoni mwa miaka ya sabini na mwanzoni mwa miaka ya themanini [ 1978-1980] kwa ushirikiano wa RUBADA [Rufiji Basin Development Authority] na M/s Norplan/Hafslund, ilionekana kwamba mradi wa Stieglers Gorge una uwezo mkubwa wa kuzalisha umeme mwingi kwa njia ya maji [Hdro-power] zaidi ya umeme ambao Tanzania ilikuwa ikihitaji katika miaka hiyo. Matokeo ya utafiti huo pia yalionyesha kwamba, mpalio wa Stieglers una uwezo wa kuhimili mitambo mitatu mikubwa ya kuzalisha umeme [3 power stations]. Mtambo 'A' wenye uwezo wa kuzalisha megawati mia nne (400MW) ambao ungefungwa upande wa kaskazini mwa bwawa. Mtambo 'B' wenye uwezo wa kuzalisha megawati mia nane (800MW) ambao ungefungwa upande chini ya bwawa, na mtambo 'C' wenye uwezo wa kuzalisha megawati mia tisa (900MW) ambao ungefungwa upande wa kusini mwa bwawa. Jumla megawati elfu mbili mia moja [2100MW].
Ilikadiriwa kwamba, kwa kipindi hicho [1978-1980], ingeigharimu serikali dola milioni 1,200 za kimarekani tu kukamilisha mradi wote.
Lakini cha kushangaza, kwa sababu zisizoeleweka, serikali ikaamua kutoendelea na mradi huu na badala yake ikaamua kuwekeza kwenye vijimradi vidogovidogo kama vile Hale, Mtera, na Nyumba ya Mungu. Matokeo yake, sina haja ya kuyaelezea.
Ndugu watanzania wenzangu, wajibu wa hatma ya nchi yetu umo mikononi mwetu sote. Mustakabali wa taifa letu hautategemea viongozi waoga toka serikali kuu wanaong'ang'ania dhana ya "status quo" kwa kutopenda kujaribu mambo mapya na makubwa ya kimaendeleo. Maendeleo ya kweli hata hivyo, yataletwa na sisi wenyewe, wananchi.
Kwasababu hiyo basi, BongoTz kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ndani na nje ya nchi tumeamua kuanzisha movement ya kuishinikiza serikali kutafuta suluhu ya kuridhisha na ya kudumu kuhusu tatizo la umeme/nishati nchini.
Lengo letu ni kukusanya sahihi zipatazo milioni moja na kuziwakilisha kwa Rais Kikwete tukiitaka serikali iwekeze kwenye mradi wa Stieglers Gorge, uliopo kwenye bonde la mto Rufiji wenye uwezo wa kuzalisha umeme wa Megawatt 2100 [mwingi wa kutosha na hata mwingine kubaki na kuuzwa nje ya nchi] ili tuweze kuondokana kabisa na tatizo hili la kukatikiwa na umeme, tatizo ambalo ni aibu kubwa kwa taifa letu.
Haileti maana kabisa kwa nchi yetu iliyobarikiwa kwa vyanzo vingi vya kuzalisha umeme kama vile makaa ya mawe--Mchuchuma na Kiwira; gesi ya asili "songo songo"--ufukweni mwa bahari ya Hindi na Mnazi bay (Mtwara); pamoja na chanzo kingine rahisi kwa njia ya maji [Hydro-power]--Stieglers Gorge, Rufiji; kuendelea kusuasua kwenye kiza kinene miaka nenda, miaka rudi.
Sio kwamba Rais wetu halijui hili, hapana, analijua fika! Yeye mwenyewe, kwenye ufunguzi wa Bunge jipya la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tarehe 30 desemba 2005 alitamka na kuahidi mbele ya wabunge, nanukuu: "Nishati ni sawa na chembe za damu mwilini. Tunapanua wigo na aina ya vyanzo vya umeme na nishati kwa jumla ili kuwa na nishati ya kutosha na yenye gharama nafuu kukidhi mahitaji ya uzalishaji ya viwanda, utoaji wa huduma za kijamii, na matumizi ya nyumbani. Tutayashughulikia kwa kipaumbele cha juu matatizo ya sasa yahusuyo upatikanaji wa umeme nchini... Ilani ya CCM ya uchaguzi wa Oktoba 2005 inasema wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Nne itaharakisha mradi wa kupata umeme kutoka makaa ya mawe ya Mchuchuma. Na Hivyo ndivyo tutakavyofanya. Aidha, Serikali ya Awamu ya Nne itafufua miradi ya umeme ya mto Rusomo na Stiglers [Stieglers Gorge]." Mwisho wa kunukuu..
Ndugu watanzania wenzangu popote pale mlipo: ushirikiano wetu sote unahitajika ili kufanikisha zoezi hili. Tafadhali sign petition hapo chini kisha wafahamishe na wengine pia. Maana tusiposhiriki sasa, nani ajuaye kesho watatuletea hadithi gani tena? Juzi ilikuwa IPTL na Richmond. Jana ilikuwa kununua mvua toka Thailand, wakati Stieglers Gorge ipo. Na kesho je...?
Yes, viongozi wetu kwasasa wanaweza kujidai kuziba masikio wasitake kusikia kilio chetu kama walivyozoea sikuzote, lakini tukumbuke kuwa sahihi 25,000 za wanaharakati wa Seberia wakiongozwa na mwana-biolojia Marina Rhikhvanova ziliilazimu serikali ya Kremlin kusitisha mpango wa kujenga bomba la kusafirisha mafuta karibu na ziwa Baikal, ziwa lenye kina kirefu duniani. Je, itakuweje kwa sahihi milioni moja toka kwa watanzania wenye uchungu na nchi yao?

[Sign petition hapa]:
 
Manji atakuwapo, Rostam Aziz atakuwapo. Jeetu atakuwapo. Hela za maskni zinaliwa yuuuuuuuu.....
 
Mkuu,

Wakijenga shule, Reli na ATCL hakuna faida as long as wanasiasa wana mkono wao. Project ya umeme ina faida na ni project ina uhakika wa kurejesha pesa kwani there is a monopolisation of market from Tanesco. Woga nilio nao ni akina Rostam (DOWANS) kutaka kumuangusha kwani MW 300 zinapunguza kama sio kuondoa kero ya umeme Tanzania (Gridi ya Taifa mahitaji ni MW 833 kadirio la juu na la kadirio la chini ni MW 701)..............

Mkuuu ndio maana likatwa NSSF sio CRDB wala NMB. Mashirika kama haya hayatakiwi kuwa profit orinted sanaaaaa. yanaakiwa yaanagalie miradi inayowalenga zaidi wanachama. NSSF inatakiwa kuchukua risk kwa ajili ya miradi itakayowanafufahisha wanachama sio mradi utakaowanufaisha wao na serikali.

Hizi FFF F za nchi nyingine zinadhaminiwa na serikali kujenga nyumba za wafanyakazi na wakazi wa mikoani sio kuzalisha umeme au kujenga madaraja. Sio tu kujenga matower

NSSF haiko kwa ajili ya kuziba na kujaladia mapungufu ya serikali. Ndio maana hata shule na hospitali zingekuwa na faida bado ingekuwa ni miradi tata kwa NSSF

NSSF inatakiwa kuwekeza kwenye miradi inayowalenga wananchi. Mfano mradi kama ile ya

  • Hosteli ya mabibo, 100%
  • kujenga nyumba. hizi wamejenga nyumba tatzio wamejenga za wachache tena viongozi tu tena mkoa wa dar salaama pekee
Matatizo ya umeme yasifanye shirika kupoteza foucs yake halisi na sisi kuona sawa.

Ingawa siungi mkono miradi kama hii sometime najiuliza bora hawa wanatakakutupiga bao kwa kufaya kitu sasa sijui yale mashirika mengine yenye FFF yanatupigaje bao.





 
Mradi lazima utaitwa Quality Power Ltd...with Manji behind it...I can't see a 400bn doll without an Indian hand in it
wahindi hawakosi tena wanaweza kuwemo wote waliomafisadi yachunguzwe haya miradi ya kutokea nchi zenye rushwa lazima wakunusishe ulewe Dr kuwa makini usije juta kwa aibu mbeleni dunia fupi hii kama usharidhika na maisha ya sasa tulia msikilize 20% anakuimbia wacha tamaa ni mbaya sababu
 
NSSF offers to buy Kiwira mine for $1 Send to a friend
Thursday, 10 March 2011 23:11
digg

By The Citizen Reporters
Dar es Salaam. The National Social Security Fund (NSSF) intends to acquire the heavily indebted Kiwira Coal Mine for only $1.Briefing members of the Parliamentary Public Organisations Accounts Committee (Poac) in Ludewa yesterday, the NSSF Director of Planning, Investment and Projects, Mr Yacoub Kidula, said Kiwira owed the Fund more than Sh15.14 billion.The mine has accumulated debts to the tune of over Sh28.72 billion, with NSSF being the major creditor, he said.

Other creditors and amounts the mine owes them are the Public Sector Pension Fund (Sh9.49 billion) and CRDB Bank (Sh4.07 billion).Mr Kidula said they were waiting for the government’s decision on the NSSF application as an evaluation of the project was being carried out.

Meanwhile, Energy and Minerals minister William Ngeleja said in Dar es Salaam the government was currently considering the NSSF’s application to purchase the mine, adding that there were alternative plans to seek $400 million from China to finance its operations.

He said during an interview with The Citizen that five entities were assessing the NSSF’s application to take over operations of Kiwira Coal Power Limited (KPLC). They are the Energy and Minerals ministry, Treasury, State Mining Corporation (Stamico), Tanzania Electric Supply Company Limited and the Consolidated Holding Corporation (CHC).
Mr Ngeleja made the remarks while clarifying the ministry’s role in providing the information on Kiwira’s status contained in President Jakaya Kikwete’s February end-of-the-month speech.

The President did not mention the NSSF’s application. “The Kiwira project has been delayed by the process of changing its ownership and obtaining $400 million to enable the construction of a 200MW power station. The issue of changing its ownership is in its final stages, and there are high prospects of getting the loan,” he said.

But Mr Ngeleja said it was “premature” to inform the Head of State on the planned acquisition as the ministry was still considering the application.“You can’t furnish the Head of State with information that is not ripe. The President needs to have exhaustive information, which officials at the ministry are still working on.

We couldn’t give him incomplete information,” he said.Mr Ngeleja said there were three possible outcomes of the vetting of the NSSF’s application.“We can decide to give NSSF full rights to run the mine, we can ask them to partner with other investors or request them to engage in another project. All these alternatives are possible.

“We will have to assure ourselves that the NSSF has the technical expertise and financial capability to run the project…we have yet to decide on their application,” he said, adding:“The government of China had already shown willingness to provide us with $400 million, when the NSSF submitted its application last December, but we still have time to decide.”

He said Chinese officials had travelled to Kiwira as they sought to ensure that the project was handed over to them.
The minister was quick to add, however, that there was no controversy surrounding the application, and that everything would be sorted out as soon as possible so that an extra 200MW of electricity could be generated by 2013.

In Ludewa, Mr Kidula said the NSSF planned to partner with a strategic investor and recapitalise the project to produce coal and generate power if the government accepted its request.The NSSF’s immediate plan is to produce 10MW six months after acquiring the mine, and 200MW and 500MW in two to three years and five years, respectively.

Mr Kidula said the project would also produce an average of 50,000 tonnes of coal annually for the domestic market.
NSSF is ready to acquire all KCPL assets and liabilities, including debts. In the process of reviving the mine, he said, they would initially employ 500 people, and the workforce would grow to 2,000 people when the mine was fully operational.

Reported by Sylivester Ernest (Dar) and Joseph Zablon (Ludewa)
 
Send to a friend Thursday, 10 March 2011 23:11


ngelejjaleo.jpg
Minister for Energy and Mineral Willium Ngeleja

By The Citizen Reporters
Dar es Salaam. The National Social Security Fund (NSSF) intends to acquire the heavily indebted Kiwira Coal Mine for only $1.Briefing members of the Parliamentary Public Organisations Accounts Committee (Poac) in Ludewa yesterday, the NSSF Director of Planning, Investment and Projects, Mr Yacoub Kidula, said Kiwira owed the Fund more than Sh15.14 billion.The mine has accumulated debts to the tune of over Sh28.72 billion, with NSSF being the major creditor, he said.
Other creditors and amounts the mine owes them are the Public Sector Pension Fund (Sh9.49 billion) and CRDB Bank (Sh4.07 billion).Mr Kidula said they were waiting for the government’s decision on the NSSF application as an evaluation of the project was being carried out.
Meanwhile, Energy and Minerals minister William Ngeleja said in Dar es Salaam the government was currently considering the NSSF’s application to purchase the mine, adding that there were alternative plans to seek $400 million from China to finance its operations.

He said during an interview with The Citizen that five entities were assessing the NSSF’s application to take over operations of Kiwira Coal Power Limited (KPLC). They are the Energy and Minerals ministry, Treasury, State Mining Corporation (Stamico), Tanzania Electric Supply Company Limited and the Consolidated Holding Corporation (CHC).
Mr Ngeleja made the remarks while clarifying the ministry’s role in providing the information on Kiwira’s status contained in President Jakaya Kikwete’s February end-of-the-month speech.

The President did not mention the NSSF’s application. “The Kiwira project has been delayed by the process of changing its ownership and obtaining $400 million to enable the construction of a 200MW power station. The issue of changing its ownership is in its final stages, and there are high prospects of getting the loan,” he said.
But Mr Ngeleja said it was “premature” to inform the Head of State on the planned acquisition as the ministry was still considering the application.“You can’t furnish the Head of State with information that is not ripe. The President needs to have exhaustive information, which officials at the ministry are still working on.
We couldn’t give him incomplete information,” he said.Mr Ngeleja said there were three possible outcomes of the vetting of the NSSF’s application.“We can decide to give NSSF full rights to run the mine, we can ask them to partner with other investors or request them to engage in another project. All these alternatives are possible.

“We will have to assure ourselves that the NSSF has the technical expertise and financial capability to run the project…we have yet to decide on their application,” he said, adding:“The government of China had already shown willingness to provide us with $400 million, when the NSSF submitted its application last December, but we still have time to decide.”

He said Chinese officials had travelled to Kiwira as they sought to ensure that the project was handed over to them.
The minister was quick to add, however, that there was no controversy surrounding the application, and that everything would be sorted out as soon as possible so that an extra 200MW of electricity could be generated by 2013.
In Ludewa, Mr Kidula said the NSSF planned to partner with a strategic investor and recapitalise the project to produce coal and generate power if the government accepted its request.The NSSF’s immediate plan is to produce 10MW six months after acquiring the mine, and 200MW and 500MW in two to three years and five years, respectively.

Mr Kidula said the project would also produce an average of 50,000 tonnes of coal annually for the domestic market.
NSSF is ready to acquire all KCPL assets and liabilities, including debts. In the process of reviving the mine, he said, they would initially employ 500 people, and the workforce would grow to 2,000 people when the mine was fully operational.
 
SAKATA la madai ya wafanyakazi wa mgodi wa makaa ya mawe wa kiwira Mkoani Mbeya limechukua sura mpya baada ya kamati Bunge ya mahesabu ya mashirika ya umma kubaini serikali ilitumia siasakuwadanya wafanyakazi hao.Hayo yalibainika jana Mjini hapa mara baada ya kamati hiyo chini ya mwenyekiti wake Zitto Kabwe, kuibua hoja na kutaka ufafanuzi juu ya kauli ya waziri kuhusu serikali kuchukua kiwanda hicho na kubainika hakuna taratibu za kisheria zilizofanyika katika kuchukua kiwanda hicho.Mara baada ya kuibuliwa hoja hiyo na mjumbe wa kamati hiyo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mwibara (CCM) Kangi Lugora, aliyetaka kujua ukweli kuhusu sakata hilo hali iliyopelekea wafanyakazi kuendelea kudaia madai yao ya fedha ikiwamo nauli mishahara ya mwezi Februari mwaka huu.
“Hapa katika hili Mwenyekirti mbona hatuelewi na kuna nini na nakubalina na nawe mwenyekiti kwa hili ilitumika siasa kuliko halisi kwa nini Waziri alifanya hivyo na lazima kupitia kamati yetu atupe majibu ya kina” alisema Mangungu.Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati hiyo Zitto Kabwe, alisema pamoja na juhudi zilizofanyika llaini bado hakuna ushahidi wa ki8sheria ulifanyika katika kuhakikisha mgodi huo kuonyesha kurudi serikalini.

Alisema toka serikali itoe tamko la kulipa malimbilikizo ya madeni ya watumishi wa kiwanda hicho lakini bado mwekezaji aliyeingia ubia na serikali kampuni ya Tan Power Resourses, kupitia kampuni yake ya KCPL, inaonyeswha kuwa bado ni miliki halali wa mgodi huo.

“Hapa hakikisha Waziri Ngeleja, aliwadanganya Wafanyakazi, hakuna utaratibu wowote wa kisheria unaonyesha mgodi kurudi serikalini, ndio maana sasa kuna mchakato wa kuhakikisha NSSF wanapatiwa kiwanda hiki ili wakiendeshe kwa taratibu nzuri ili kuweza kuzalisha na kuzalisha umeme mgodini na hata kuuza kwa Tanesco” alisema Zitto.

Awali akitoa taarifa kwa kamati hiyo Kaimu Meneja wa kiwanda hicho Aswile Mapamba, alisema kutokana na utata ulijitokeza kati ya kauli ya Waziri Ngeleja kuhusu serikali Mgodi huo hadi sasa haileweki nani hasa mmiliki halali wa kiwanda hicho kutokana na kusimamisha uzalishaji na wataalamu wa kada mbalimbali katika mgodi huo kukimbia kutokana na kukosekana na kutolipwa mishahara kwa uhakika.

“Leo tupo hapa lakini hakuna uzalishaji unaondelea kiwandani na waliobaki ni wazee huku kundi la wataalamu wakikimbia, sasa tunaomba kamati yako Mhe. Zitto itupe ufafanuzi wa kweli hali hii hadi lini “ alisema Mapamba.

Hata hivyo alisema tangu kiwanda hiccho kilipoanza kufanya kazi mwaka 2001, walikuwa wakizalisha umeme wa megawati nne huku Tanesco wakliuziwa megawati 3 na kuweza kulipwa kwa wakati tofauti na hivi sasa ambapo hakuna uzalishaji wa aina yoyote unaoendelea kiwandani hapo.

Alisema mkaa wa huo wa mawe zaiodi ya tani 34 milioni kama ungeweza kutumiwa vizuri Tanzania ingenufaika na umeme huo kwa kuzalisha zaidi ya megawati 30 ambzo zingesaidia kupunguza makali ya mgao wa umeme kwa wananchi na kuimarika kwa sekta ya viwanda vikubwa na vidogo.

Meneja huyo alisema toka mwaka 2009 hadi sasa hakuna taarifa ya mdhiti na mkaguzi wa hesabu wa serikali iliyorudishwa ambapo walilazimika kuandika barua zsaidia ya mara tatu ili kuomba taarifa hiyo.

Mwaka 2009, Waziri wa nishati na madini Wiliam Ngeleja, alifika kiwandani hapo na kutamka juu ya serikali kuchukua kiwanda hicho na hadi sasa hakuna juhudi zilizofanyika katika kuhakikisha kiwanda hicho kinarudi serikalini.


Mwenyekiti wa kamati ya bunge hesabu za mashirika ya umma Mhe.Zitto kabwe akiwatuliza wafanyakazi wa mgodi wa Kiwira ,wasihujumu mgodi huo pamoja na serikali kuchelewa kuwalipa mishahara yao


Mbunge wa viti maalum Tanga Mhe.Amina Mwidau na makamu mwenyekiti wa kamati hiyo Deo Filikunjombe wakitazama kibelenge mgodi wa Kiwira


Wajumbe wote wa kamati ya bunge hesabu wa mashirika ya umma wakiwa na wawekezaji wapya wa mgodi wa Kiwira na wale wa zamani

 
Hii ndogo ndogo ambayo imeanza kupigwa na magazeti yanayomilikiwa na mafisadi yenye lengo la kuwahadaa umma wa watanzania kwamba mgodi wa kiwira uuzwe kwa NSSF kwa bei ya dola ya kimarekani moja tu, kwa sharti kwamba madeni yote yanao ukabili mgodi huo yalithishwe kwa shirika hilo ni ulaghai mtupu.

Nasema hivyo kwasababu baada ya familia za rais mstaafu B.W.Mkapa na waziri wake Yona kujiuzia mgodi huu kwa bei ya kutupwa, familia hizo zilitumia mgodi huo kukopa mabilioni ya fedha ambazo inadaiwa hazikutumika katika kuuendeleza mgodi huo. Hivi CRDB inadai mgodi huo shs. 28 bilioni. Hii ni mbali na shs.15 bilioni zilizokopeshwa kwa mgodi huo na serikali.

Aidha mgodi huo unakabiliwa na limbikizo ya mishahara ya wafanyakazi. Hivyo jitihada za sasa zimelenga katika kuchukua mzigo huo ukaubebesha shirika hilo la umma na kuziachahizo familia za Mkapa na Yona ziendelea kupeta kwa fedha walizokopo kwa njia ya udanganyifu.
 
Natanguliza heshima katika jukwaa hili. Tangu niingie JF sijawahi kuchangia katika jukwaa hili kwa sababu naliheshimu sana, kwa uhalisia wake...lakini naomba kutoa mchango kutokana na ushahidi wa kimazingira si tu juu ya NSSF na Kiwira bali NSSF na uwekezaji mkubwa ambao imekuwa ikijihusisha nao kwa kipindi hiki cha serikali ya awamu hii.

-Ujenzi wa Majengo ya UDOM. Uwekezaji mkubwa sana.
-Ujenzi wa Daraja la Kigamboni
-Ujenzi wa........
-Ujenzi wa........
-Ujenzi wa........

Kuna tetesi ambaz mimi binafsi naziamini kuwa kuna urafiki wa karibu kati ya JK na Dkt. Ramadhan Dau, MKUU wa NSSF. Sitaki kuwa moved na hisia zaidi badala ya reasoning lakini siwezi kuamini kama urafiki wa umejengeka katika 'Upwani' au vitu vingine, naomba kuamini ni urafiki basi...

Wakati fulani kulikuwa na move moja ambayo naona inaendelea chini chini, kumwondoa Hally Kitilya pale TRA. Wakati fulani move ilikuwa ikamilike kisha mamlka hiyo akabidhiwe Dkt. Dau, hoja za kuondolewa Kitilya hazikuwa kushindwa katika majukumu yake.....baadae ikawa kama vile imeshtukiwa lakini najua inaendelea chini chini, sasa kama bado atapewa Dau sina hakika.

Lakini kinachoonekana ni kuwa baada ya serikali ya JK kufeli katika mambo mengi, 'imeamuriwa' NSSF ndiyo imwokoe ili naye aonekane amefanya mambo fulani makubwa katika utawala wake. Ndiyo maana siwezi kushangaa kusikia Zitto akipingia chapuo sana NSSF ipewe mambo makubwa.

Lakini sina tatizo na NSSF kuwekeza kwa ajili ya maendeleo ya nchi, hata kama lengo ni kumsaidia zaidi 'rafiki' JK, MY CONCERN iko hapa; je NSSF wataweza kuendelea kujali wateja wao wakubwa, yaani WAFANYAKAZI wanaokatwa mafao yao kila mwezi, LAKINI INAPOFIKIA MAHALI PA KUYAPATA INAKUWA TATIZO KUBWA!!!!!!!
 
NSSF sina hamu nao! Juhudi zinahitajika kulifanya shirika hili liwe la umma kweli.
 
Back
Top Bottom