Sina utaalam wa umeme wa mkaa (quality), lakini najua Kiwira Coal production ni dogo na HUTOA low quality coal - mkaa umejaa ash. Kuinua quality inabidi kuosha mkaa - ina maana ghali. Isije kesho NSSF wakaanza (I doubt kama watawekeza kweli) kuagiza mkaa toka Zimbabwe ama Zambia kama walivyofanya MBEYA CEMENT.
NSSF wangewekeza KUNUNUA mgodi na kukarabati power plant iliyopo hapo Kiwira kwanza (nadhani ni 10 MW) na kuwauzia TANESCO umeme. Baada ya hapo kama kuna faida ndo watajua wafanye nini. Halafu KIWIRA coal wanamatatizo ya uzalishaji na soko kiasi kwamba wafanyakazi hawajalipwa mishahara miaka mingi - NSSF itabidi kuwalipa hao kwanza (ghali) na ni wengi maana waliajiriwa wakati huo wa 'mali ya umma'.
Humu JF karibuni kumeongelewa mradi mwingine wa Liganga-Mchuchuma (NDC & *********) wa umeme wa makaa ya mawe bil 3 usd ambapo SICHUAN-HONGDA ya China - Sichuan wame-win tender. Sasa ni vizuri mradi mmoja ukawa ktk full swing ya ujenzi ndio kina Dau watuletee hizi hadithi za NSSF. CCM waache kutuchanganya ili kupata mianya ya kutufisadi, wafanye kazi ionekane.
NSSF wangewekeza KUNUNUA mgodi na kukarabati power plant iliyopo hapo Kiwira kwanza (nadhani ni 10 MW) na kuwauzia TANESCO umeme. Baada ya hapo kama kuna faida ndo watajua wafanye nini. Halafu KIWIRA coal wanamatatizo ya uzalishaji na soko kiasi kwamba wafanyakazi hawajalipwa mishahara miaka mingi - NSSF itabidi kuwalipa hao kwanza (ghali) na ni wengi maana waliajiriwa wakati huo wa 'mali ya umma'.
Humu JF karibuni kumeongelewa mradi mwingine wa Liganga-Mchuchuma (NDC & *********) wa umeme wa makaa ya mawe bil 3 usd ambapo SICHUAN-HONGDA ya China - Sichuan wame-win tender. Sasa ni vizuri mradi mmoja ukawa ktk full swing ya ujenzi ndio kina Dau watuletee hizi hadithi za NSSF. CCM waache kutuchanganya ili kupata mianya ya kutufisadi, wafanye kazi ionekane.