NSSF kutatua tatizo la umeme Tanzania

sawa lakini mi naona nssf wanafanya diversification of their on going project ambayo mi naona bado inapotentiallity sana kwani haifanyi sawasawa ktk ujenzi wa nyumba bado demand ipo kubwa na watumishi au wateja bado wanahitaji ndani ya existing clients(members) hawajagusa bado private sector ambao bado ni wahitaji wakubwa nimeona kisota project walivyo fanya na nyumba zikaisha mara moja bado mradiwao wa kigamboni kijichi upo half way kwanini wasifanye real estate ambayo ni almost risk free zone.
Hii ni sawa shirika la nyumba kuanzisha biashara ya microfinance wakidai kuwa inalipoa sana sasa is it within your strategic plans?

Mi naona pale investment section hapaja kaa vema inabidi wamshauri vema ceo wao kwani bado hawaja exploit all opportunity ktk hii area it is still niche sasa labda wanakurupuka tu tulijua serikali ndio haina busara ktk maamuzi kuwa inaongozwa na politicians kumbe nssf pia !

sasa mi naweza kuwasaidia plan ndogo tu wajenge low cost houses kwa kuuza in three or five yrs plan watu wapo wengi tunahitaji nyumba lakini kujenga ni issue wanahitaji wao kuingia mikataba na contractor wakubwa from china na pia mabank hata serikali wafanyakazi wake wote wapeleke ramani na aina ya nyumba wanazohitaji kujengewa basi huyu mtumishi yeye atakuwa hana tena mawazo ya kutafuta kiwanja wala fundi ujenzi anabakia kufanya kazi kwa uadilifu tu kwa kuwa nyumba ndio factor kubwa ya ufisadi kwa watumishi wake kama ukimuondolea pressure hii mtumishi wa serikali basi kwisha habari hii iende hadi vijijini .harafu wenyewe wawekee wale wakazi ya vijijini umeme jua basi hii nadhani wanaweza kuwa buzzy na mradi huu hadi vitukuu vya dau viukute bado mradi ndo mbichi igeni au chukueni mawazo haya


 
Of course Rostam will invest and he will invite other big time investors, connections za Rostam wewe kwako hata kwenye ndoto hazimo.

So you are Rostam...at last..connections?...what does TIC do then if we have you?..the lover of our country...mimi ziwezi kuwaza kuibia maskini kama wewe
 
Wamalize hii waliyoizindua tayari otherwise waache porojo za kuzima DOWANS:
  1. Kigamboni bridge

  1. DSC00760.JPG

mkuu changa la macho hili linapendeza!! ninaomba link mkuu au kama ni document please attach
 
Guys

Naomba bora tuliangalie hili suala kwa marefu na Mapana maybe for once tungeacha ushabiki na kuwa walau objective kwenye kujibu au kuchangia hii mada. One would have thought kuwa kijireserach kidogo na hasa from someone who post ina forum that prides it members as GREAT THINKERS angeweza kuliangalia hili kwaupana zaidi. Issues za kutazama hapa ni zi fuatazo:


-Current state ya Umeme Tanzania



-Makosa yaliyofanyika wakati wa liberalisation ya sekta ya Umeme



-Role ya NSSF kwenye hili itakuwa ni ipi?



-Je NSSF wanaruhusiwa na stakeholders wao kuingia kwenye hii biashara yak u generate umeme?



-Je kuna faida yoyote itapatikana kwenda NSSF?



-Je wenzetu wan je wanafanya vipi?


Sasa majibu ya hapa yanaweza yakatoa mwanga walau kiasi mkaelewa why I support hawa jamaa kufanya mambo kama haya.
Umeme Tanzania:


Tanzania mwenye jukumu la generate, transmit and distribution ya umeme zamani ilikuwa exclusively TANESCO ambayo kama mjuavyo ni shirika la umma kwa asilimia 100 na wako responsible kupply asilimia 98 ya umeme Tanzania
Statistics zinasema hivi:

- Megawati 381 za umeme ambao tunatumia sasa hivi unatokana na vyanzo vya maji


-Tanzania tuna uwezo wa kuzalisha mpaka Megawatt 5,000 ya umeme


- Per capita electricity consumption yetu ni 46/KWh per annum, ambayo inakuwa kwa asilimia 11-13 au zaidi


Hiyo ni moja kati ya sababu serikali inataka sana secta binafsi ziingie kwenye haya mambo ya kugenerate umeme. Mind you nchi ina watu milioni 40 na ni LESS THAN 10 % wako connected kwenye umeme. Serikali yetu pamoja na madudu mengi yanayotokea huwa ni competent kwa kujua matatizo ila tatizo huwa ni kwenye namna na njia ya kuyatatua hayo matatizo.

Ndio maana kama mnakumbuka miaka ya 90’s waliamua kulegeza masharti na kufanya reform kwenye hii sekta ya nishati na kuruhusu wazalishaji binafsi na hapo ndipo walipoingia the Songas na IPTL kwa nia ya kupunguza shedding, Of course it was not without controversy za akina RUGEMALILA (the same dude aliyeingia ubia na TRITEL) na mwishowe wakapelekana mahakamani, yaani IPTL na TANESCO lakini kujua haya yote inabidi uelewe connection kati ya EastCoast Energy v/s Independent Power Tanzania Limited (IPTL) v/s Songas v/s Ministry of Energy and Minerals (Wizara ya Nishati) v/s Parastatal Sector Reform Commission (PSRC) v/s Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) v/s VIP Engineering Limited (VIP), v/s (TANESCO) v/s NETGroup Solutions vs SIDASida) na bila kuwasahau waheshimiwa wa pale World Bank.



Lakini ukiachilia hao wauzaji wakubwa kulikuwa na wauzaji wengine wadogo kwa TANESCO, kama vile Tanwat (2.5 MW), Kiwira Coal Mine (6.0 MW) na bila kuwasahau Kilombero Sugar (2.5 MW) Mindhali humu kuna GREAT THINKERS nashauri mtafute Economic Recovery Program (ERP) ya 1986-1989 kati yetu na jamaa wa World Bank na IMF ndio mtaelewa kiini cha yoote haya ya reform kwenye sekta hiina zinginezo

MAKOSA TULIYOYAFANYA:



1. POOR COORDINATION: Victim mkubwa hapa alikuwa ni ESI nah ii ilisababishwa na poor coordination. Kupitia wizara mabali mbali (jambo ambalo mpaka leo linaendelea) bilakusahau wadau na wahisani wakati uleee wa kujadili mikataba ya Songas na IPTL. Kama taifa we PAID A HEAVY PRICE. Of course itakuwa ni jambo rahisi sana kukaa hapa na kuanza mambo ya finger pointing lakini haya ndio yale yale kuwa hatutaki kutatua mambo madogo madogo kama ya COORDINATION imagine HAZINA vs NISHATI vs TANESCO vs DONORS vs EVERYONE !!!



2.POOR PRIORITIZATION: Tusijindanganye, evitable consequence of poor coordination is that power sector reforms have been neither clearly prioritized nor implemented na Serikali yetu. Mfano mdogo hatuna clear policy framework for private sector investment katika secta hii, issue skama target percentage of private generation, standard investment incentives and contractual norms kwa jili ya PPA. Bila kusahau kuwa hatuna clear and feasible roadmap for how to make the main off-taker financially and technically viable. Matokeo yake Sekta hii ya Nishati Tanzana in the last 20 years has the sector has gone from dealing with crisis after crisis (kwanza kiangazi cha miaka ya 90 then issue ya high capacity charges, na mengineyo), hii yote imepelekea kudelay of the planning and execution of fundamental reforms necessary for the long-term sustainability of power supply and expansion kwenye nchi yetu na mbaya zaidi hatujui hata priority zetu ziko wapi when it comes to alternative energy!!!! Yaani tumekuwa kama motto mkiwa asiye na baba wala mama wala ndugu wa kumtazama.




3. FAIR AND INDEPENDENT REGULATION: Bila hii hatutofika na hakuna investor atakaye taka kuja kuinvest kwenye hiii sektaka kama hatuna transparency . Imagine kama regulator angekuwepo enzi zile IPTL na Songas wameanza it means akina Mhavile and Co wangekuwa wako bize kuzalisha umeme badala ya kushinda Mahakamani na kwingineko. Sasa hivi tunao EWURA lakini hao wamekuwa kama vile PPRA hawana nguvu zozote zile na sote tunajua no one knows or lets just say its unclear when truly independent oversight will commence. This fact may have cost the country past and present investments and may ultimately impact on future investments.



Sababu zingine ni kutokuwepo kwa uwazi kwenye UNFAIR BIDDING PROCESS, ARBITRATION , CURRENCY DEVALUATION na mengineyo bilakusahau kuwa tunashindwa kua attract makampuni ya uhakika kama TATA kwa kuwa we are not interested na pili hawa washazowe mambo ya transparency sie hayo hatutaki...!



ROLE YA NSSF


Kwenye hili as far as I know NSSF itakuwa ni IPP yaani independent power Producer kama walivyokuwa wengine ila kazi ya distribution ni ya Tanesco hivyo kama wataleta ma generator yao au watatengeza wa Jua au upepo au Gesi toka songo songo thats up to them


JE SHERIA INAWARUHUSU NSSF KUFANYA HIVI:

I would imagine NSSF sio PPF so I cant see them getting involved na jambo ambalo liko kinyume au sheria haiwaruhusu kulifanya. Sina sheria Mama ya ambayo naweza ku quote lakini kama kuna IPP zaidi ya 10 Tanzania sidhani kama wameenda kinyume na sheria. Nadhani hii ipo kwenye investment policy yao so this shouldn’t be an issue. Pia si vibaya mkajua kuwa shirika hili lina BOARD ambayo wao ndio wenye maamuzi ya mwisho kwenye mambo kama haya na ndani ya bodi wapo wawakilishi wa wafanyakazi sasa sidhani kama maamuzi yanaweza kufanywa na mtu mmoja

RETURNS:

Kama watu wa investment as far as I know ni kuwa kwa Tanzania inasemekana return ya investment kwenye umeme ni 300% sasa surely hapa naona ni win win situation kwa NSSF


WENZETU NJE WANAFANYAJE?

Malaysia, Philipines,Brazil,Vietnam,India, Jordan, Egypt na kwingineko Pension Funds zao wameinvest kwenye umeme na wanapata returns kubwa sana
Btw TANESCO washankatia umeme ntarudi baadae.


>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

Well argued for...... like when you started investing in COMMERCIAL REAL ESTATES. You used similar arguments. Tell us what is the NSSF's return on real estates as at now? what happened with Quality Praza and EPZA projects.
 
Huu ni wizi mpya unapikwa, kibaya zaidi safari hii wataibiwa wafanyakazi wawekao akiba yao pale na taifa kwa ujumla.
NSSF inatakiwa ikae mbali kabisa na shughuli za kuzarisha nguvu za umeme si kazi yao. Hata kwenye masuala ya Ujenzi wa nyumba na ukodishaji inabidi wajitoe kabisa wao biashara yao ni pesa na si vinginevyo

Si kila mwenye pesa anajiingiza kufanya kila biashara

sasa ndugu yangu unataka hiyo pesa ikae tu.
Pesa ni lazima izalishe pesa.
Bila kuinvest hizo pesa wataweza vipi kucover gharama zao za uendeshaji?
 
Kama umepewa "notisi" basi fanya uondoke haraka sana, hakuna kurinyuu, kuna mama mkali huyo, kinachofuatia ni tinga-tinga. Shauri yako.
that's your problem, huelewi nini maana ya taratibu na sheria... that notice was given many years back and its expiry date was oct 31st 2010, which means the older notice is null and void

eniwei kalagabaho kasema sifa kubwa ya mwafrika ni kuona mwafrika mwenziwe anashindwa... lakini amesahau kusema kwamba sifa kubwa ya mtanzania ni maneno mingi na matendo machache... its all about perception, that goes even without reflecting how many fronts nssf has which are not in their mission and vision
 
Unajua msiongee haya mambo kwa ushabiki tu ati kwasababu Tanesco wanamatatizo sasa hivi. Matatizo tunayoyapata yanaletwa na serikali kusini mikataba mibovu. Kama NSSF watashughulika na umeme, Nataka nikwambie hakuna returns nzuri na ya uhakika kama umeme. Inategemea wanataka kuinvest kwa staili gani. Nadhani wamefanya tathmini yakutosha mpaka kufikia hapo. Wewe mwanachama unachotakiwa kufanya ni kuona kama utalipwa mafao yako au la. Unajua tusipokua creative hakuna mabadiliko makubwa tunayoweza kuyapata. Hivyo tunapaswa kuwapongeza NSSF kwa ubunifu huu, Ila tu tuone ni jinsi gani tunaweza kuwashauri jinsi ya kuuboresha mpango huu.
1. Wasijihusishe na serikali hii labda ya baadaye katika kuimpliment mpango huu.

2. Wahakikishe wanachama wao wanafaidi mpango huu kwa kuwapa kipaumbele kwa kuwapunguzia gharama za umeme.

3. Wasiwatumie mawakala katika kutekeleza mradi yaani katk kuagiza au kuendesha mitambo yao.

Nidhahiri tukajaribu kushauri juu ya mfumo wao wakuendesha kuliko kushabikia kua ni changa la macho. Je lini tutakua na fikra mpya kama fikra mpya zote tunaziponda. Tafadhari WanaJF wenzangu, I know we are all patriots on this country, thats why we raise doubts for whatever news comming, let us investigate before commenting in the matter.
agreed mkuu... afadhali umeiweka ki-positive zaidi kuliko mie... pia ni vizuri kuwa na ma-angalizo, swali moja tu; hivi unajua rekodi ya investment ya nssf kwa sasa na kwamba source yake kubwa ya income ni members au return on investment?
 
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>

Well argued for...... like when you started investing in COMMERCIAL REAL ESTATES. You used similar arguments. Tell us what is the NSSF's return on real estates as at now? what happened with Quality Praza and EPZA projects.
that question is too tough for a person who only looks at the bottom line without looking at return on investments vs. other sources of income... ndio maana nilisema tunafanya mambo kishabiki badala ya kitaalam
 
Of course Rostam will invest and he will invite other big time investors, connections za Rostam wewe kwako hata kwenye ndoto hazimo.
name me one, only one rostam business investment that has benefitted the government, let alone wananchi... i mean government na sio ccm
 
tazama SOCIAL SECURITY ACT imeelezea kila kitu mle


Tell us how much does NSSF generate from Real Estates? How well NSSF investments are diversified? how prudent is the Fund? What % of the loan (real estates related) portfolio concentrated on one client i.e. government?


GIVEN POLITICAL LINKAGE OF PUBLIC CORPORATIONS NSSF WITH NO EXCEPTION GOVERNMENT AGENCIES AND GOVERNMENT WILL NO TIME START TO SERVICING SUCH FACILITIES POORLY. HEAVY RELIANCE ON ONE CLIENT (RISK CONCENTRATION CONCEPT) PREDICTS PENSION FUNDS (nssf) WILL FACE SIMILAR CHANLLENGES OF OTHER STRUGGLING CORPORATIONS IN TERMS OF CASH FLOWS AND HENCE PERFORMANCE.

A GOOD THING TO APPRECIATE CURRENT MANAGERS IS THAT THEY WONT BE THERE WHEN NSSF WILL START FACING CONSEQUENCES OF THEIR TODAY'S DECISIONS.

LET US WAIT AND SEE!
 
agreed mkuu... afadhali umeiweka ki-positive zaidi kuliko mie... pia ni vizuri kuwa na ma-angalizo, swali moja tu; hivi unajua rekodi ya investment ya nssf kwa sasa na kwamba source yake kubwa ya income ni members au return on investment?


....na kuongezea au ni PROFIT kutokana na deposit zilizoko kwenye mabenki.....Nasikia nyumba za Tabata wanataka kuuza.
 
that question is too tough for a person who only looks at the bottom line without looking at return on investments vs. other sources of income... ndio maana nilisema tunafanya mambo kishabiki badala ya kitaalam


Sijakupata mkuu
 
basi mimi i trust zaidi business companies (for profit) ku-run business ya umeme kuliko nssf kwani core business ya nssf ni kukusanya michango na kuwekeza kwenye sustainable ventures... umeme is not the best idea

wanunue basi migodi tuwafukuze barick na wawe za pesa nyingi zaidi ya kufua umeme... mkuu hapo hat usemeje, kuna dili tu, na utasikia mitambo ya dowans yanunuliwa na nssf

we are mabwege anymore

Mkuu ubarikiwe!Sitashangaa hii ikiwa ni plan C
 
swali lile gumu ulilomuuliza, yeye anaangalia hesabu kwa chini katika current way, haangalii strategic investment wala liabilities ahead... ni wale wa cash in hand


Tupo pamoja! Although a significant share of NSSF total investments is on real estates (more than 30%)the returns on real estates is less than 4% while returns on investments is less than 11.1% and return on assets is less than 10% if you do your own computations based on 2008 financials.

I Guess the fund is more liquid now and needs some ventures to off-load. why not fight for capital account liberalization?

Can they dare to present actuarial report...... who has a piece of it? please bring it here for our own good.

God bless Tanzania!
 
Ni muhimu tatizo la umeme kumalizwa Tanzania kwani ni kitu cha kuchekesha kuzungumzia maendeleo au uchumi kukua ktk nchi ambayo mpaka leo umeme ni tatizo kama vile unatolewa bure. Kama NSSF wamefanya hesabu zao wameona unalipa Ruksa.

Huwezi kutoa hoja kua wanaweza kupata hasara kwani kitu chochote kinachoitwa biashara kina hasara na faida hata hizo nyumba unaweza kupata hasara. Linaloshangaza sana ni kua raia wanazo pesa na yuko tayari kununua umee kwa bei yoyote lakin ume

me hakuna kwanini? Ni lazima tukumbuke kua umeme hautolewi bure. Sio NSSF yoyote anaetaka biashara ya umeme aruhusiwe ili kue na mashindano ya kibiashara na hapo ndio utajua kue umeme una faida.

Hao ndio viongozi tunaohitaji viongozi wenye focus na wnaofikiria mbali
 
ni muhimu tatizo la umeme kumalizwa tanzania kwani ni kitu cha kuchekesha kuzungumzia maendeleo au uchumi kukua ktk nchi ambayo mpaka leo umeme ni tatizo kama vile unatolewa bure. Kama nssf wamefanya hesabu zao wameona unalipa ruksa.

Huwezi kutoa hoja kua wanaweza kupata hasara kwani kitu chochote kinachoitwa biashara kina hasara na faida hata hizo nyumba unaweza kupata hasara. Linaloshangaza sana ni kua raia wanazo pesa na yuko tayari kununua umee kwa bei yoyote lakin ume

me hakuna kwanini? Ni lazima tukumbuke kua umeme hautolewi bure. Sio nssf yoyote anaetaka biashara ya umeme aruhusiwe ili kue na mashindano ya kibiashara na hapo ndio utajua kue umeme una faida.

Hao ndio viongozi tunaohitaji viongozi wenye focus na wnaofikiria mbali


do you remember what happened in 1997/8 when nssf the then npf?! Try to go global to find out impact of pension fund failure? Hata hawa tanesco wamefikishwa hapa na taasisi za serikali na serikali kushindwa kulipa bills zake then wakashindwa kuwa liquid..... Matatizo yakalundika hadi hapa walipo...... What am i saying here... Doing business so heavily with government is not good for security and prosperity of any corporation nssf with no exception. Once they fail to honour their obligations pensioners will suffer and probably same rescue measures that happen with tanesco will apply.. For instance, lengthening retirement age, increasing contribution rate, etc ----- in short, reflect EAC pensioners' crisis.

Wote tunaipenda tanzania lakini siyo kwa kuweka rehani pension zetu!
 
Back
Top Bottom