NSSF kutatua tatizo la umeme Tanzania

Kufuwa na kusambaza umeme ni investment kubwa inayolipa vizuri sana.

Usione Tanesco invyokufa ukafikiri kuwa si biashara nzuri. Tanesco ni wenyewe wanaofanya madudu, wizi, ubadhirifu ndio unawafikisha pabaya, kama kawaida ya mashirika yote ya uma yaliyokufa.


NSSF huwa wanaingia mikataba na mashirika binafsi na wao huinvest mifedha na huwaachia wenye uzoefu wa mambo hayo kuendesha hizo kazi, na kaka ujuavyo, kila kiwanda au shirika la uma linaposhindwa, likichukuliwa na watu binafsi linashinda.

Nampa pongezi Dau kwa kuiona hii opportunity.
this is very funny... unasema ni investiment nzuri halafu una-refer na poor performance ya tanesco..

i dont know how short your memories are, but i am earger to learn from you yale madudu ya manji na ma-godown ya nssf yalkifanyikaji... lile quality plaza ilikuaje... AND HOW YOU TRUST THE VERY SAME NSSF WANAOCHOTA MAKUSANYO YETU KUGAWANA

remember when it comes to mismanagement, nssf nao wana issues lukuki na kama unaweza tuambie wapi so far wameshapata faida halafu cheki wapi wamepata hasara

any investiment agency huwa inaleta ripoti zake wa members kusaidia kuonyesha direction ya growth...

rest assured one day one of this pension scheme itakwenda into liquidation kama bado ccm inawafuata kuomba pesa za kampeni na kuwageuzia investment plans

Hivi zile nyumba za polisi zina return yoyote to investment?
hivi kile chuo cha hombolo kina nay retur to investment?
hivi tuna wakuaminika kwenye huo mradi wa umeme

something are better left to real business men and not politicians and their sitters
 
Why not now? If not now when?

Daraja as far as I know in few months time contractor atakuwa site

msimsikilize tule waziri anayeitwa POMBE alikuwa ana bwatuka tuuu bila kujua hali halisi...si mmeona kakaa kimya?

ndio wale wale... mambo ya 2004 unasema ati contractor atakua site soon... where were you in th past 6 years? and lile file na michoro ya wale wadachi si mlilitupa ili kufanikisha malengo yenu??

Pombe is the man na huwa habwatuki, anasema ukweli kwa kuweka siasa mbele

now back to nssf na umeme... its a very good idea, but hope members watakua involved and it is a high time members kuwa shareholders ili kupumnguza mamlaka ya yule mtu wenu pale
 
Wasiwasi wangu ni dhamira ya hao watu na kitakachotokea huko mbeleni. Mambo huanza hivi baadae unasikia wameingia ubia na hao wanyonyaji viona mbali halafu unasikia wameliwa tena au wanadaiwa mabilioni na huku hela za pensioners zimeondoka. Sijasahau sakata la Manji na majengo yake!

Mbopo nimekupata lakini what you need is a visionary CEO. As far as I know all is going according to plan na walau tukitimiza miaka 50 tutakuwa na umeme walau wa Megawat 700 (I might be wrong). Sidhani kama wao wanahitaji kuingia ubia na wanyonyaji kwani wanayo investment capital ya kutosha

Its sad kuwa Pensio funds zingine zimeingia mitini...lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo?

Nenda Unoversity of Dodoma ambayo inajengwa na hizi pensio funds tazama faculty iliyojengwa na NSSF (in record time) halafu tazama akina PPF na PSPF wanavyosua sua

Au pita KILWA ROAD POlisi uone...nyumba zilizojengwa na NSSF ndio ziko barabarani na zishaisha na wenyewe washa move in. Zinazojengwa na PPF ziko vile vile and no one knows when they will be ready

Kuhusu Manji it was abitter fight btn him and Reggie kama vile ilivyokuwa btn Reggie and Al Bawadi wa Kempisky (in all cases Reggie lost). Thread ipo humu nadhani tuliijadili in 2005 na records zikawekwa straight and people have moved on
 
ndio wale wale... mambo ya 2004 unasema ati contractor atakua site soon... where were you in th past 6 years? and lile file na michoro ya wale wadachi si mlilitupa ili kufanikisha malengo yenu??

Pombe is the man na huwa habwatuki, anasema ukweli kwa kuweka siasa mbele

now back to nssf na umeme... its a very good idea, but hope members watakua involved and it is a high time members kuwa shareholders ili kupumnguza mamlaka ya yule mtu wenu pale

Hakuna maamuzi yoyote ya Investment yaliyofanywa bila kuwashirikisha Members na walikuwa maweridhia. Tazama structure utaona decison making inavyokuwa ...sometimes naona there too much democracy lakini muhimu zaidi ni kuwa stakeholders wanashirikishwa unlike PPF ambako sasa ERIO amaefikia stage anawaambia staaf wasiingie JF!!
 
Hakuna maamuzi yoyote ya Investment yaliyofanywa bila kuwashirikisha Members na walikuwa maweridhia. Tazama structure utaona decison making inavyokuwa ...sometimes naona there too much democracy lakini muhimu zaidi ni kuwa stakeholders wanashirikishwa unlike PPF ambako sasa ERIO amaefikia stage anawaambia staaf wasiingie JF!!
which members are you referring here sir/madam?
 
this is very funny... unasema ni investiment nzuri halafu una-refer na poor performance ya tanesco..

i dont know how short your memories are, but i am earger to learn from you yale madudu ya manji na ma-godown ya nssf yalkifanyikaji... lile quality plaza ilikuaje... AND HOW YOU TRUST THE VERY SAME NSSF WANAOCHOTA MAKUSANYO YETU KUGAWANA

remember when it comes to mismanagement, nssf nao wana issues lukuki na kama unaweza tuambie wapi so far wameshapata faida halafu cheki wapi wamepata hasara

any investiment agency huwa inaleta ripoti zake wa members kusaidia kuonyesha direction ya growth...

rest assured one day one of this pension scheme itakwenda into liquidation kama bado ccm inawafuata kuomba pesa za kampeni na kuwageuzia investment plans

Hivi zile nyumba za polisi zina return yoyote to investment?
hivi kile chuo cha hombolo kina nay retur to investment?
hivi tuna wakuaminika kwenye huo mradi wa umeme

something are better left to real business men and not politicians and their sitters

I trust NSSF zaidi kwenye hili la umeme kuliko pension funds zingine au hao the so called BUSINESSMEN ambao hata hawajulikani walikotokea
 
Daraja laja...na kelele za ma jenereta nayo zitaondoka

si umeona KILWA ROAD nyumba za polisi?
hivpi polisi huwa wanaweka makato yao nssf eh? na zile nyumba zinarudishaje pesa??

hata daraja la kigamboni, kama tunataka return ni lazime tulipie fee.... kuhusu umeme, siungi mkono
 
I trust NSSF zaidi kwenye hili la umeme kuliko pension funds zingine au hao the so called BUSINESSMEN ambao hata hawajulikani walikotokea
basi mimi i trust zaidi business companies (for profit) ku-run business ya umeme kuliko nssf kwani core business ya nssf ni kukusanya michango na kuwekeza kwenye sustainable ventures... umeme is not the best idea

wanunue basi migodi tuwafukuze barick na wawe za pesa nyingi zaidi ya kufua umeme... mkuu hapo hat usemeje, kuna dili tu, na utasikia mitambo ya dowans yanunuliwa na nssf

we are mabwege anymore
 
acid UTAKUW ANJE YA NCHI AU UNA GENERETA?

MIE pc YANGU INAZIMA SASA HIVI tushakatiwa umeme
 
Why not now? If not now when?

Daraja as far as I know in few months time contractor atakuwa site

msimsikilize tule waziri anayeitwa POMBE alikuwa ana bwatuka tuuu bila kujua hali halisi...si mmeona kakaa kimya?

You are just kiddin me we have heard such stories like this kwa muda mrefu sana unasema contactor atakuwa site soon hiyo soon ni lini??? Where were you muda wote huo?????
 
Daraja laja...na kelele za ma jenereta nayo zitaondoka

si umeona KILWA ROAD nyumba za polisi?

Hivi zile nyumba za Kilwa zinarudishaje hela ??? I will ask the same question which Acid asked, hivi polisi huwa wanaweka makato yao NSSF?????
 
acid UTAKUW ANJE YA NCHI AU UNA GENERETA?

MIE pc YANGU INAZIMA SASA HIVI tushakatiwa umeme
niko bongo... nina jenereta ndiyo kwani ndio mtindo wa kisasa... nakatwa nssf since 1999 na sijaona bado faida ya kuchangia, afadhali hata za aar na strategies insurance tunaugua na kusaidiwa... hata nhif wazuri sana kuliko ninyi mnaokusana kwetu, mnakula na manji

tena ya daraja ndiyo usiseme, niliwahi hata kwenda kwa idara yenu ya planning na kuomba hata hiyo ramani ya daraja mwaka 2005, jamaa yenu yule kama kawa na mikogo alfu akapresent baada ya hapo sioni kitu wala n'tu

FYI... mimi ni mzalendo beyond repair
 
Daraja laja...na kelele za ma jenereta nayo zitaondoka

si umeona KILWA ROAD nyumba za polisi?

Let it be Daraja la Kigamboni kwanza then the other project maana hapa naona kuna watu wanataka ku-take advantage of the situation halafu baadae tuanze kuona uozo mwingine ukiibuka kwenye Goverment Institution
 
Hivi zile nyumba za Kilwa zinarudishaje hela ??? I will ask the same question which Acid asked, hivi polisi huwa wanaweka makato yao NSSF?????
achana nae huyo... leo ukienda ofisi zao wanakuhudumia kama pesa ni zaom, wakati tunaweka kwa kulazimishwa tu

poor mentality ya wengi walio humo ni kudhani they are helping us, while we are the one helping them... personally i wouldnt give a shit about nssf kama si ulazima tu wa mujibu wa sheria... ni bora niyo penshen yangu ningejiandalia kwa kununua ardhi mkuranga na ku-invest mwenyewe
 
achana nae huyo... leo ukienda ofisi zao wanakuhudumia kama pesa ni zaom, wakati tunaweka kwa kulazimishwa tu

poor mentality ya wengi walio humo ni kudhani they are helping us, while we are the one helping them... personally i wouldnt give a shit about nssf kama si ulazima tu wa mujibu wa sheria... ni bora niyo penshen yangu ningejiandalia kwa kununua ardhi mkuranga na ku-invest mwenyewe

Umenikumbusha usemi mmoja jamaa alisema kuwa HOW CAN A BANK BE YOUR PARTNER WHILE ITS LENDING YOU THEIR MONEY ndio hayo ya NSSF they think we need them more than wao wanavyotuhitaji sisi.
 
Back
Top Bottom